Ndoa miaka 11 naomba ushauri

Iwe ni chai au true story, hivi inakuaje kuaje hadi mkeo anakupiga??? Labda kama ni vile vimakofi vya kimahaba🥰

Mkuu hui sio chai na why nidanganye sasa??hii ni kweli kabisa....Na amefanya kama mara kadhaa ila nimetulia sema nchi ambayo mipo nikimshika tu atakuwa amemaliza maisha yangu maana atawapigia police nitakuwa arrested na kuaribu kila kitu....
 
Andaa jeneza lako tuje kukuzika kama hutaki kuondoka, Umelogwa, rudi kwenu Huko kakae na Wazee wako au kama ni muumini mzuri omba Mungu.

Wazee walishaniambia tayari nirudi nyumbani mara kibao mungu anaona....Watu wengi wameniambia unacheza na maisha yako kuwa makini sanaaa....sema mpaka sasa nawaza ndoa tu....
 
Kuamini kwamba anaweza kubadilika na kumuonea sana huruma ndipo kunafanya wanaume tunapata maumivu makali kwa mwanamke.

Ni kweli kabisaa na mimi ndio nipo hapo sasa hivi mkuu hivyo unavyosema upo sawaa kabisaa huyo ndio mimi kwa sasa....Huruma huruma....ila yeye hakuwa na huruma na mimi kipindi napitia matatizo yote hii miaka yote....
 
Pndikizi. Hakuna mwanaume anaweza kueleza ama kufanyiwa haya uliyoandika. Hii ni stori ya kitunga

Asante sana mkuu nimeambiwa mda mrefu ila sijasikiliza kabisaa ushauri nimepewa nashukuru sana na hamna neno kabisaa....Nitaufanyia kazi na nitarufi tena...
 
Ushauri wangu ni uachane na huyo mwanamke vinginevyo mpo kwenye hatari kubwa sana ya kudhuriana.

Asante sana mkuu ndio hivyo nataka nifanye juzi wakati tumegombana mpaka akaniambia mwanaume alikuwa ana mtreat vizuri kuliko mimi....Hivi naongea nimerudi kutoka dubai ilikuwa birthday ya mtoto wake na wakati huyo mtoto ana baba yake ila mimi ndio nimetoa kila kitu na hela zote...
 
Wewe ndio mpumbavu, mpaka unakuja kuomba ushauri kitu ambacho maamuzi yanajulikana, na ndio maana anakutukana anajua huna maamuzi

Mi kweli kabisaaa na nimejuwa hicho kitu anasema muda wote weka maamuzi nijue nini unataka tena kwa dharau sana tena sanaaaa...
 

Kila tukigombana anasema ndoa imeisha mda mrefu sana kama sijui basi nijue sasa ndio alivyosema yeye.....Sasa hata unyumba hatoi tena anakataa kabisaa...Anasema anajuta hata baba wa mtoto wake alikuwa ana mtreat vizuri kuliko mimi....Na jamaa alikuwa anampiga vibaya sanaa sio kidogo.....ila amejaribu kwangu na ni professional nikimgusa ataniharibia kazi ambayo nafanya....
 
HIvi uko katika ndoa hii kwa sababu gani? Unatukanwa, unatukaniwa wazazi wako, unapigwa na juu ya yote unalea mtoto sio wako! kinachokufanya uwe katika ndoa hii ni nini hasa? Unauliza kama ni bora uondoke? Hapana usiondoke baki hapo hapo uwe joke of the street na usubiri siku akupige kisu badala ya chupa!!!!!
 
Daaah kaka kakupa na dharau huna uwezo wa kumzalisha halafu yeye anataka aendeleee kuwasiliana na baba wa mtoto ambaye sio wako🥲

Halafu anakunyanyasa kwa kukupiga tena na chupa basi mkuu wewe ni mpole sanaaaaa


USHAURI WANGU FANYA KILE UNACHOONA POA WEWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…