Sijui akili wanawekaga bondi wanawake wenzetu! Ukute hapo anapewa kila kitu na mume wake lkn anaenda kukumbuka mdinyo wa miaka 16 iliyopita lol, hata ladha itakuwa imeishaKitu ambacho wanawake hatukielewi mchepuko hawezi kukuoa kamwe!
Sasa kama hawezi kukuoa ya nini kuweka ndoa yako kwenye matatizo?!
Mweee. Kumbe jana tu ndo anawaza na kuvunja ndoa.
Mwambie huyo mama ASIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO
Na ukute huyo hawara mwenyewe ana mke na watotoBado naamini wanawake mwalimu wao ni kipofu!!
Kwa kusoma hiyo msg attached hapo bado inaonekana na huyo hawara hamtaki huyo mwanamke!
Huo sasa ndiyo upofu! Anaharibu ndoa kamili kwa kung'ang'aniza mahusiano, haoni njia huyo!!
Sasa kama havivumiliki si utoke tu kiroho safi ya nini kuchepuka? Kuchepuka ndio suluhisho la hayo aliyoshindwa kuyavumilia? Alafu miaka 15 na watoto juu umewezaje kuishi nae na kumvumilia uje ushindwe sasa hv?Ulichoongea nikweli.wengi watamlaumu huyo mwanamke bila kujua nyuma ya pazia huyo bi mkubwa amevumilia mangapi
Ni kutojielewa tuu, wala hakuna kingineSijui akili wanawekaga bondi wanawake wenzetu! Ukute hapo anapewa kila kitu na mume wake lkn anaenda kukumbuka mdinyo wa miaka 16 iliyopita lol, hata ladha itakuwa imeisha
Pumbavu sana utarudi kwenu shenz taypu wewe 🤣🤣🤣 kupooza mashine ni kazi ya baba tu. We kaa ndani utulie!Wanaume kuchepuka halali
Ila mke kupoza injini kidogo kesi
Duh!Uko sahihi kabisa. Mke wa mtu alichangia harusi ya binti wa mhadhiri
Bazazi
Suluhisho ni kuoa polygon tu,unajilia mwenyewe hadi uzeeni
Sasa wewe unaenda kuoa reject ya miss tz unategemea nini;kuchapiwa ni siri ya ndani
Tunashukuru sana kwa Matusi yakoBora wale wanaume waliojiona hawatoshi kuendesha familia wakajikalia zao wenyewe kuliko nyie mnaooa na akili hamna.
Sasa wewe unaenda kuoa reject ya miss tz unategemea nini;kuchapiwa ni siri ya ndani
Wakaazi wa Dodoma,braza P.Huyo mama ni mama d na huyo mchepuko ni fadhili.... From naipenda Jumamosi yangu story
Sasa wewe unaenda kuoa reject ya miss tz unategemea nini;kuchapiwa ni siri ya ndani
Nakuelewa mkuu,nadhani kwa sisi tunaojifunza kupitia wao..kama tuna wake mapepe inabidi kuwazalisha watoto wasiopungua 5 ili huko mbeleni mambo yakiwa tofauti,uweze kujifariji.Equation x
Hapa unamaanisha nini? Kama unadhani walikutana UD unakosea. Soma tena bandiko. Ni mpenzie wa ujanani. Ndio wakati wa teen na early 20s'. Mpenzi wa pili baada ya bikra kutolewa! Walikutana kijijini miaka ile ya tisini!
Bazazi
Hebu fanya kunitaftia mmoja anaetafuta mume tafadhali,seriously.Mwanamke mpumbavu 15 years of marriage anakimbilia mchepuko usiowezs muoa had papuchi inasugu, shauri yake aachike aone jinsi usingle ni mgumu na ujue kuna wanaokesha makanisani wapate waume
ha ha ha ha dawa ni kuoa polygon tu ukipita naye barabarani hakuna anayemtamani;na wewe ukikutana naye usiku unazima taa.Duuuuy akina Hashim Lundenga
Bado kuna wanaume wanaoa wanawake waliofika chuo?