Ndoa Inavunjika Hiyo!

Ndoa Inavunjika Hiyo!

Bazaaaaziiii, pole mapenzi hayana mjanja!!
Unanishangaza kwa wewe kujifanya kushangaa kuwa mwanasheria hajui juu ya sheria ya ugoni, anajua saaanaaa ila mapenzi yana nguvu bwana,
Naona unataka kushift blame kwa mshikaji kweli usaliti haujawahi acha mtu salama.

Kukushauri take your time kudigest issue, kinachomsumbua bibie si mapenzi ni fantasy za kukumbushia mapenzi ya ujana ila hata yeye hajui hili, akimpata jamaa ( mwanasheria) awe wake kabisa atamzoea, atamchoka, atamwona wa kawaida ( kwa maana it is always greener on the other side of the garden) na process ya cycle ya fantasy za mapenzi itaanza upya kwa wakati huo anaweza kuwa anapata tamaa ya kuwa na wewe( bazazi)
Hizi fantasy hutokea ila inategemea sana maturity na willing power ya mtu kushinda hili jaribu
Kwani wewe huwa hutamani kurudia mambo uliyofanya ujanani huko??
MSAMEHE.
 
Mapenzi kitu cha kifala sana. Ina maana miaka yote hiyo 15 alikua anagegedana na childhood friend wake?
Kuna uwezekano hata baadhi ya watoto/mtoto sio wa mume wa ndoa ni wa mchepuko.
Miaka 15 ukavunje ndoa kisa mchepuko angekupenda kweli si angeomba yeye mvunje ndoa zenu muoane.

Alietuoroga kafa
 
Hatari tupu
Mapenzi kitu cha kifala sana. Ina maana miaka yote hiyo 15 alikua anagegedana na childhood friend wake?
Kuna uwezekano hata baadhi ya watoto/mtoto sio wa mume wa ndoa ni wa mchepuko.
Miaka 15 ukavunje ndoa kisa mchepuko angekupenda kweli si angeomba yeye mvunje ndoa zenu muoane.
Alietuoroga kafa
 
Nimesoma post hii Kwa umakini mkubwa sana ...
Ila niwaambie tu kuwa msibase sana na miaka 15 ya ndoa.. Hamuwez jua mwanamke amevumilia nn Kwa miaka yote hyo.. Hakuna mjinga wa kuvunja ndoa ya miaka 15 kwaajili ya Hawara..huyo Jamaa mmeona alichoandika?
@KAENI..CHINI..MYAMALIZE
Nna uhakika kuna ugomvi mkubwa sana tena wa muda mrefu na huyo mwanamke amekuwa akitulizwa munkali na huyo Hawara yake for long time pindi akikumbana na mumewe..
Cha kufanya.. Wewe rafiki wa huyo mume Waite uwasikilize wote kisha utakuja kutupa mrejesho hapa.. There's a big problem.
 
Nimesoma post hii Kwa umakini mkubwa sana ...
Ila niwaambie tu kuwa msibase sana na miaka 15 ya ndoa.. Hamuwez jua mwanamke amevumilia nn Kwa miaka yote hyo.. Hakuna mjinga wa kuvunja ndoa ya miaka 15 kwaajili ya Hawara..huyo Jamaa mmeona alichoandika?
@KAENI..CHINI..MYAMALIZE
Nna uhakika kuna ugomvi mkubwa sana tena wa muda mrefu na huyo mwanamke amekuwa akitulizwa munkali na huyo Hawara yake for long time pindi akikumbana na mumewe..
Cha kufanya.. Wewe rafiki wa huyo mume Waite uwasikilize wote kisha utakuja kutupa mrejesho hapa.. There's a big problem.
Ulichoongea nikweli.wengi watamlaumu huyo mwanamke bila kujua nyuma ya pazia huyo bi mkubwa amevumilia mangapi
 
TAARIFA
Mabaharia wote tutakua na kikao jumatatu asubuhi pale makao makuu ya chama kujadili kuhusu muswada mpya unaolenga kuzuia mabaharia wote kuoa wanawake waliofika degree na kuendelea. Lengo la muswada huu ni kupunguza na kuondoa kabisa mateso kwa mabaharia wanayopata kutoka kwa wanawake wasomi.

Imetolewa na
Katibu wa Mabaharia Taifa
 
Bazaaaaziiii, pole mapenzi hayana mjanja!!
Unanishangaza kwa wewe kujifanya kushangaa kuwa mwanasheria hajui juu ya sheria ya ugoni, anajua saaanaaa ila mapenzi yana nguvu bwana,
Naona unataka kushift blame kwa mshikaji kweli usaliti haujawahi acha mtu salama.

Kukushauri take your time kudigest issue, kinachomsumbua bibie si mapenzi ni fantasy za kukumbushia mapenzi ya ujana ila hata yeye hajui hili, akimpata jamaa ( mwanasheria) awe wake kabisa atamzoea, atamchoka, atamwona wa kawaida ( kwa maana it is always greener on the other side of the garden) na process ya cycle ya fantasy za mapenzi itaanza upya kwa wakati huo unaweza kuwa anapata tamaa ya kuwa na wewe( bazazi)
Hizi fantasy hutokea ila inategemea sana maturity na willing power ya mtu kushinda hili jaribu
Kwani wewe huwa hutamani kurudia mambo uliyofanya ujanani huko??
MSAMEHE.
Mkuu client3

Maisha yana changamoto zake. Jamaa ana hasira mbaya yaani zimefurika. Hasira ni kuwa anaona kabisa ANAISHI NA MKE WA MTU ingawa ni mke wa ndoa.

Ushauri atafute RETREAT CENTRE aendee na mkewe labda inaweza amsha mapenzi upya.

Bazazi
 
Mapenzi kitu cha kifala sana. Ina maana miaka yote hiyo 15 alikua anagegedana na childhood friend wake?
Kuna uwezekano hata baadhi ya watoto/mtoto sio wa mume wa ndoa ni wa mchepuko.
Miaka 15 ukavunje ndoa kisa mchepuko angekupenda kweli si angeomba yeye mvunje ndoa zenu muoane.

Alietuoroga kafa
@Mzigua90

Hapana. Kiporo kimekumbukwa July, 18 walipokutana kijijini. Mhadhiri alikuwa na mkewe. Walibadilishana namba na mambo ndo yakawa Mambo

Bazazi
 
Back
Top Bottom