Ndoa Inavunjika Hiyo!

Ndoa Inavunjika Hiyo!

Mkuu nimekuelewa sana kuna kitu nimekigundua kupitia komenti yako, itakuwa kuna shida hapo inawezekana baba alifanya kosa kwa mkewe sasa mama akaona usiwe tabu ngoja nitafute jamaa yangu wa ujana hili nitulize moyo mwisho wa siku jamaa kagundua text mambo yakawa wazi
Lazima kuna kitu nyuma ya pazia
 
Hakuna ustaarabu wowote hapo, huyo jamaa ni baharia tu.
Hakuna mwanaume anayetaka kuoa mke wa mtu.
From my point of view Jamaa yaani mchepuko ni mtu mstaarabu, shortly genius.. Kama mtu mwenye akili huwezi kutaka kuvunja ndoa ya watu iliyodumu kiasi hiko.
Somo lingine hapa dada zangu mjifunze.. wanaume zenu wa huko nje huwa wanataka uchi tu.. hawapo tayari kuchukua majukumu..kuchepuka kusikufanye umshushie thamani mumeo!

Kwa upande wa mwanaume aendeleze gambe..asivunje ndoa..hakuna mwanamke atakuwa wa peke yake, avumilie safari waifikishe salama!

Khan!
 
Nikishakutanga na hiz habar basi najioneaga chenga tu halaf nafanya yangu.Imagine 15 years !!? Hiz ndo zetu Mungu tu azinusuru.
 
Bado kuna wanaume wanaoa wanawake waliofika chuo?
Bado kuna mazumbukuku yanaoa na tena elimu ndio kigezo chao kikuu.

Kila siku tunasema mwanamke aliyesoma sana ni mpumbavu, yaani kadri anavyozidi kusoma ndivyo anavyozidi kuwa mpumbavu na hili limedhibitika mara nyiiiingi sana, na linazidi kuthibika mfano angalia kama huyu anaeongelewa kwenye hii mada, tena ni msomi wa kada ya sheria, kada ambayo inaaminika ni ya Watu wenye reasoning ya hali ya juu, lakini angalia upumbavu anaoufanya. Sasa hapo elimu imemsaidia nini kama sio kumuongezea upumbavu?

Cha kustahajabisha kwa hii meseji kuna wapumbavu wataisoma hapa na wataishia kuniona mimi nimeandika upumbavu kwakuwa tu wao wanaamini katika kuoa hao wapumbavu ndio akili, na hawajui kwamba wao ndio wapumbavu kwa kuamini katika upumbavu.


Btw, nafurahi kukuona bado uko hai, inavyoonekana huko sehemu salama kama Sandton mpaka unapata muda wa kuchaji simu na kuingia mtandaoni, maana naskia huko sasa hivi kila mtaa ni "vuuu-vyeee-vyuiwee-gwsee-igwenya-wena jsejse!! Jse jsee!!" najaribu kuimba nyimbo za kizulu zinazoashiria vita. Kuna waraka nimeuona unatembea ukiwataka nyie "makwerekwere" kufikia tarehe 9 ya mwezi huu yaani leo hii, muwe mmeshaondoka nchini kwao vinginevyo watawageuza majivu nyinyi nyote. Haijalishi wewe ni documented au undocumented immigrant.

"gwinya, kslehee kslehee, kwere kwere"
 
Waungwana, Bazazi kasimuliwa na mdau wake jinsi ndoa yake inavyoyumba. Kafumania simu ya mke ikiwa na sms za wasap na za kawaida. Anawasiliana na mpenzi wake wa pili baada ya kiwambo kuondolewa. Ni sms za mahaba hasa tena mazito. Mume kambana mkewe, mke hafunguki. Ana ahidi atavunja mawasiliano lakini havunji (mgogoro umeanza Augost '19)

Hasira za mume zimejaa na kufurika baada ya kuona wasap sms ya mchepuko inayoonesha mke anataka kuvunja ndoa. Mke anabembeleza warudishe majeshi ili wawe pamoja lakini mwanaume hataki (anakwepa majukumu labda wakati alikuwa anamega kisela). Anamshawishi ugomvi na mumewe waumalize kwani wao walikuwa childhood friends tu na kwasasa hawawezi geuza lolote na itakuwa ngumu wao kuwa pamoja. Mwanaume ni Mhadhiri Mwandamizi wa Shule ya Sheria ya UD. Mume ana Uzamili ilhali mke ana Shahada.

Hizi ndoa ni changamoto kuu ktk maisha. Ndoa ya miaka zaidi ya 15 yenye watoto leo inatembea ktk uzi mwembamba uliooza. Nimeamini kuoa mwanamke aliyebikiriwa ni KUOA MKE WA MTU.

NB: Kinachomshangaza Bazazi ni kuwa msomi wa sheria hajui kuwa ni kweli Ugoni ni kesi ya MADAI kwa sheria za nchi lakini ni JINAI kwa sheria za Kitaa? Kweli Plato alisema sawa "Love is a serious mental disorder problem"

Bazazi
"Uyo jamaa pumbav kabisa kuku wa taa uyo unakula mpaka mifupa Naanzaje kukataa nyapu ya free in charge iyo. " alisikika kichaa mmoja asiejua uchungu wa mke.
 
Mwanamke mpumbavu 15 years of marriage anakimbilia mchepuko usiowezs muoa had papuchi inasugu, shauri yake aachike aone jinsi usingle ni mgumu na ujue kuna wanaokesha makanisani wapate waume
 
"Uyo jamaa pumbav kabisa kuku wa taa uyo unakula mpaka mifupa Naanzaje kukataa nyapu ya free in charge iyo. " alisikika kichaa mmoja asiejua uchungu wa mke.
"Unakula mpaka mifupa" maanaye ni kumbikiri Mkundun. Yaani wake za watu wanafirwa sana na michepuko!

Bazazi!
 
Mapenzi kitu cha kifala sana.

Ina maana miaka yote hiyo 15 alikua anagegedana na childhood friend wake?

Kuna uwezekano hata baadhi ya watoto/mtoto sio wa mume wa ndoa ni wa mchepuko.

Kiporo kimeanza kupashwa moto.Julai, 2018. Watoto ni wa mumewe.

Bazazi
 
Mapenzi kitu cha kifala sana. Ina maana miaka yote hiyo 15 alikua anagegedana na childhood friend wake?
Kuna uwezekano hata baadhi ya watoto/mtoto sio wa mume wa ndoa ni wa mchepuko.
Miaka 15 ukavunje ndoa kisa mchepuko angekupenda kweli si angeomba yeye mvunje ndoa zenu muoane.

Alietuoroga kafa
Hahahahahah aliuawa na mjerumani maeneo ya Iringa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom