Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
- Thread starter
- #41
@jangalaNimesoma post hii Kwa umakini mkubwa sana ...
Ila niwaambie tu kuwa msibase sana na miaka 15 ya ndoa.. Hamuwez jua mwanamke amevumilia nn Kwa miaka yote hyo.. Hakuna mjinga wa kuvunja ndoa ya miaka 15 kwaajili ya Hawara..huyo Jamaa mmeona alichoandika?
@KAENI..CHINI..MYAMALIZE
Nna uhakika kuna ugomvi mkubwa sana tena wa muda mrefu na huyo mwanamke amekuwa akitulizwa munkali na huyo Hawara yake for long time pindi akikumbana na mumewe..
Cha kufanya.. Wewe rafiki wa huyo mume Waite uwasikilize wote kisha utakuja kutupa mrejesho hapa.. There's a big problem.
Kuna kitu hukukiona. Mgogoro ni wa Agosti 19 baada ya sms kuonekana. Mhadhiri anatuma sms Sept 3. Hauoni anaomba msamaha kwa yaliyotokea? Yaani alitegemea mume hatajua uhusiano. Hakukuwa na mgogoro kabla.
Bazazi