Ndoa inataka kunishinda

Ndoa inataka kunishinda

Status
Not open for further replies.
Hapo siyo bure inahitaji akili ya ziada .hakuna stress za ivyoo kuna pepo kalushiwa shida yake mme wako hasemi ukweli katika pitapita zake .anakufa na tai shingoni
 
Watu hawajuani wanakutana leo na leoleo wanapelekeana Moto,

Wewe kabala ya uchumba sijui ni muda gani mlikuwa pamoja na Nini kilitokea,
Baada ya kuchumbiwa miezi 8+ jumlisha na muda toka mfunge ndoa miezi 16+ hebu kuwa siriazi.

Kama Yuko stressed alikuwa anaoa ili iweje? Na wewe elimu inatakiwa ikukomboe!
 
Pole sana...endelea tu kumuomba Mungu atakupa majibu yako. Yaani hata ishara kama uendelee na hyo ndoa au la. Au mtishie kuondoka kama hataki kukuambia tatizo alilonalo, kama anakupenda kweli atakuambia tu.
 
Kwahiyo Zaga bado liko silid au kuna wana washalibomoa?
 
Je wakati mmelala haujawah kuona dushe limesmama....?kama limesmama bas hana shda ila kama haujawah ona bas may be kuna shda...better umushawish mwende hospital

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Hapo Kuna tatizo dadangu

Jaribu kumfuatilia nyendo zake kwa Siri kubwa mfano simu yake rafk zake maeneo anayopenda kutembelea utapata kitu tu

Je unapomgusia swala la kusex huondoka nyumban siku3 huenda wapi siku hizo zote?

Miaka 2 n mingi dadangu na muda.wa kuzaa n huu

Fuatilia nyendo zake utaujua ukwel tu
 
Pole sana...endelea tu kumuomba Mungu atakupa majibu yako. Yaani hata ishara kama uendelee na hyo ndoa au la. Au mtishie kuondoka kama hataki kukuambia tatizo alilonalo, kama anakupenda kweli atakuambia tu.

Anataka watoto wa kumzalisha hana time for two year amwombe Mungu amjaze mimba kama bikira Maria!
 
Watu hawajuani wanakutana leo na leoleo wanapelekeana Moto,

Wewe kabala ya uchumba sijui ni muda gani mlikuwa pamoja na Nini kilitokea,
Baada ya kuchumbiwa miezi 8+ jumlisha na muda toka mfunge ndoa miezi 16+ hebu kuwa siriazi.

Kama Yuko stressed alikuwa anaoa ili iweje? Na wewe elimu inatakiwa ikukomboe!
I dated him for 4 years before marriage , and we used to have sex normally with no doubt tatizo lilianza after posa,
 
Habarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala

Ushauri mwingi utakuchanganya pata kidume zaa nae mbambike haina zambi
 
Pole sana...endelea tu kumuomba Mungu atakupa majibu yako. Yaani hata ishara kama uendelee na hyo ndoa au la. Au mtishie kuondoka kama hataki kukuambia tatizo alilonalo, kama anakupenda kweli atakuambia tu.
Nilishaondoka akanywa sumu akawahishwa hospitali na tukawekwa kikao akajib atakuwa sawa, unajua sometimes inakufanya ujiskie vibaya kila siku kuwapigia kelele ndugu juu ya tatizo la ndoa yako na mtu wao mwisho wa siku wanaamua kukausha,. Nshafanya effort nyingi sana juu ya hili tatizo
 
Habarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na mwezangu tulkua tunaishi vizur bila shida yoyote ile ya kimwili wala ya kiroho, mwaka 2019 mwez 12 alipeleka posa nyumbani toka mwaka huo hadi hivi leo sijawah kutana kimwili (sex) na tunalala kitanda kimoja, nkimgusia mwezangu swala hilo anakuwa mkali na ni ugomvi, nililiwasilisha kwa ndugu na wadhamni wa ndoa anadai anastress za kimaisha apewe mda atkaa sawa, kinachonitesa ni kwann hataki kuwa muwazi kama kuna shida tuitatue kwa pamoja kama mke na mme, ila tunaish kwa amani, kwa sasa nna ham kubwa sana ya kuwa na mtt lakin naona naharbika kisaikoljia kabisa.
Imefkia hatua nawaza kuchepuka nakimbilia two year without sex! Nashindwa ntatue kwa style gani, maan nikijaribu kuanzisha hii mada anakimbia na nyumban kabisa hata sku tatu anaeza asionekane.
Naombeni mawazo jins ya kitatua hili swala
Hebu mtafute mlezi wenu wa ndoa. Kuna mambio siwezi sema hapa
 
Life is too short to drink bad wine.

I always advocate for marriage, I love seeing people married and happy....

Ila in your case shirikisha wazazi, or church... if it doesnt work out find a way out.

Marriage is beautiful, but there is nothing more beautiful than looking into the eyes of a little human you gave birth to.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom