Ndoa imenizawadia kiharusi

Kua single ni raha, shida inakuja mtu ukizeeka.
Kuwa single sio raha mkuu, Binadamu sisi ni social being, tumeumbwa kuwa kwenye society na level ya chini kabisa ya society ni familia, na familia inaanza na mwenza. Hapo ndani lazima mama ipite pite bana ukiwa umerudi, ikufungulie geti n.k mkishindwana mnaachana atakuja mwingine, ila kukaa mwenyewe hapo ndani bila wa kuzungumza nae miezi na miezi hakuna raha yoyote.
 
Pole sana na unachoweza kuendelea kufanya ni hicho ulichoamua kufanya.

Ni muda wa kitambo kidogo umepitia na umeshavumilia na sasa ni wakati sahihi wa kuboresha maamuzi ya kuishi maisha yanayoendelea katika hali hiyo ya kigonjwa gonjwa japo yatakua ni maisha mazuri na yenye ubora wa hali ya juu.

Ni heri na bora sana kubaki mwenyewe kuliko kuendelea kuwa na mtu asiye sahihi.

Mwanaume hazeeki Maini na anaendelea kubaki kuwa bora katika umri wowote ule.

Kaa kwa kutulia, kwani Yajayo Yanafurahisha.
 
100%...Punda ni wa nyumbani..pundamilia tunakwenda kumuona porini alafu tunarudi nyumbani
 
Nomaaa πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Naam katika ndoa lazima uwe kama Stalin au Putin kabisa πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…