Ndo mara yangu ya kwanza...!

Ndo mara yangu ya kwanza...!

mie sijaja kufanya kazi huku, nimekuja kupopo, kula life, kula ujana, pesa niliyonayo ikiisha narudi bongo. Mpango wa kuzaa sina wala wa kuolewa, bahati ninayo tayari sitafuti ingine, karibu tule life.
Nisalimie shemeji wa kizungu hapo ubavuni....
 
wapendwa nimefika salama hali ya hewa sasa hv ni safi,summer tivme. Nshaanza
kula ma junk food itabidi nifanye jogging vinginevyo ntakuwa kama wao ukizingatia mie mnyamwezig looh!
Ila nimepata shida barabarani yaani kila saa najua dereva amekosea kuingia barabarani kumbe wenyetu wanatumia right hand kuendesha daah tukiingia high way unakuta barabara 5 kuelekea upande mmoja wanavo overtake sasa daah
Usije ukafunga breki wewe....
 
Usije ukafunga breki wewe....

yaaani huwa nakanyaga breki hadi basi na kukaa nyuma siwezi ataona kama namkodi daaah najikaza kisabuni tuu nikiwa barabarani. Ukiwa unajua kuendesha kisha ukaa mbele halafu unaendeshwa unahisi kama dereva anaweza gonga gari anytime aaah
 
Hahahahaaa!!! angalia sana huko uliko bhana, utawala sio wa JK tena ujue! ukila sana ujana utarudi bongo kwa michango ya ndugu na jamaa! huhuhuhuuuu!!!

niko fit kuliko unavyojua, mkwanja umekaa mahali pake yaaani ni madolari sio TZS nop kuchangisha


asante sana, ntakutafuta tuongee biashara kama kweli uko mitaa hiyo ya ob!

am here man, enjoying the summer time, come and feel at home man here at Obama's state lets have fun man!! u no war am saing....:A S wink::cool2: am ni kidding ma
 
am here man,
yal gal, am here beside, wanna say som'thn?

come and feel at home man
Thanks for yo hospitality, but tell me, whats da province ur now?
i'll PM yo my wozap no as we can speak biznezz, ok my?


u no war am saing.
Hahahaaaa!! dont coz crushes there! they'll take you back to manzese within two days!
PM me immediately after receiving this quote!

right hunie? Goodday there!
 
yal gal, am here beside, wanna say som'thn?

hhahhahaaa u beside me? lets enjoy life man,

Thanks for yo hospitality, but tell me, whats da province ur now?
i'll PM yo my wozap no as we can speak biznezz, ok my?

am in seatle man, business ok lemmi see what kind of business ya talkin about

Hahahaaaa!! dont coz crushes there! they'll take you back to manzese within two days!
PM me immediately after receiving this quote!

crushes ndo mpango mzima ila no string attached worry not am a good girl, I don't cheap myself

right hunie? Goodday there!

just PM me we'll talk there, gudday too
 
mgh kwenye ku puu hujatucmlia ka ulixhamba kwer nahic urisahau kwa woga
 
Yaani mashauzi mengine, mtu anaelekea Simiyu na Champion Express anapost anaelekea kwa obama, haya endelea kujifurahisha na ndoto zako
 
Hahahahahaa....aisifuye mvua ujue imemnyea.

nilishafanya kazi customer care kwenye kampuni flani hivi kuna siku wakaja wazungu nikalazimika kukaa nao mezani ili kusolve tatizo lao, weeh mbona niliipata yaani harufu yao ya ngozi iko kama panya watoto aaaghh mie siwapendi hata hapo ndo nilisikia harufu yao sasa hivo wako na nguo wananuka hivo ntathubutu kuwasogelea wakiwa watupu katuuuuu sithubutu
 
nilishafanya kazi customer care kwenye kampuni flani hivi kuna siku wakaja wazungu nikalazimika kukaa nao mezani ili kusolve tatizo lao, weeh mbona niliipata yaani harufu yao ya ngozi iko kama panya watoto aaaghh mie siwapendi hata hapo ndo nilisikia harufu yao sasa hivo wako na nguo wananuka hivo ntathubutu kuwasogelea wakiwa watupu katuuuuu sithubutu
Mimi nilishawahi kuanguka dhambini na demu mmoja wa kizungu kutoka Uholanzi nikiwa Majuu, lakini hakuwa akinuka ngozi. Au hao uliokutana nao walitokea nchi gani?
 
Mimi nilishawahi kuanguka dhambini na demu mmoja wa kizungu kutoka Uholanzi nikiwa Majuu, lakini hakuwa akinuka ngozi. Au hao uliokutana nao walitokea nchi gani?

hata sikujua mie nilipomaliza kuwahudumia sikutaka kujua chochote juu yao, may be wanatofautiana
 
Napenda tu unambie, Dubai International Airport kama ulikaa masaa ya kutosha kuzunguka ulijisikiaje??
Ile sehemu bna inafanya uione tanzania kama takataka tena za choo kabisa... waarabu wamejenga si utani, unatoka transfers section kwenda kupiga msoc McD hadi upande train, uvuke waterfalls, uvuke hotels, shops zinang'aa nyingine saa za dhahabu, magari, ati ndani ya jengo moja.. dhambi hii
 
Back
Top Bottom