Nisalimie shemeji wa kizungu hapo ubavuni....mie sijaja kufanya kazi huku, nimekuja kupopo, kula life, kula ujana, pesa niliyonayo ikiisha narudi bongo. Mpango wa kuzaa sina wala wa kuolewa, bahati ninayo tayari sitafuti ingine, karibu tule life.
Usije ukafunga breki wewe....wapendwa nimefika salama hali ya hewa sasa hv ni safi,summer tivme. Nshaanza
kula ma junk food itabidi nifanye jogging vinginevyo ntakuwa kama wao ukizingatia mie mnyamwezig looh!
Ila nimepata shida barabarani yaani kila saa najua dereva amekosea kuingia barabarani kumbe wenyetu wanatumia right hand kuendesha daah tukiingia high way unakuta barabara 5 kuelekea upande mmoja wanavo overtake sasa daah
Hahahahaaa!!! angalia sana huko uliko bhana, utawala sio wa JK tena ujue! ukila sana ujana utarudi bongo kwa michango ya ndugu na jamaa! huhuhuhuuuu!!!popo kama kawa nakula ujana
asante sana, ntakutafuta tuongee biashara kama kweli uko mitaa hiyo ya ob!karibuu
Usije ukafunga breki wewe....
Hahahahaaa!!! angalia sana huko uliko bhana, utawala sio wa JK tena ujue! ukila sana ujana utarudi bongo kwa michango ya ndugu na jamaa! huhuhuhuuuu!!!
niko fit kuliko unavyojua, mkwanja umekaa mahali pake yaaani ni madolari sio TZS nop kuchangisha
asante sana, ntakutafuta tuongee biashara kama kweli uko mitaa hiyo ya ob!
am here man, enjoying the summer time, come and feel at home man here at Obama's state lets have fun man!! u no war am saing....:A S wink::cool2: am ni kidding ma
am here man, enjoying the summer time, come and feel at home man here at Obama's state lets have fun man!! u no war am saing....:A S wink::cool2: am ni kidding ma
Aiseee hongera sana..
Sasa ebu ulizia apo mtaa wa pili kama MANKA au MASAWE wapo.. #lol
am here man, enjoying the summer time, come and feel at home man here at Obama's state lets have fun man!! u no war am saing....:A S wink::cool2: am ni kidding ma
Aiseee hongera sana..
Sasa ebu ulizia apo mtaa wa pili kama MANKA au MASAWE wapo.. #lol
yal gal, am here beside, wanna say som'thn?am here man,
Thanks for yo hospitality, but tell me, whats da province ur now?come and feel at home man
i'll PM yo my wozap no as we can speak biznezz, ok my?
Hahahaaaa!! dont coz crushes there! they'll take you back to manzese within two days!u no war am saing.
PM me immediately after receiving this quote!
right hunie? Goodday there!
yal gal, am here beside, wanna say som'thn?
hhahhahaaa u beside me? lets enjoy life man,
Thanks for yo hospitality, but tell me, whats da province ur now?
i'll PM yo my wozap no as we can speak biznezz, ok my?
am in seatle man, business ok lemmi see what kind of business ya talkin about
Hahahaaaa!! dont coz crushes there! they'll take you back to manzese within two days!
PM me immediately after receiving this quote!
crushes ndo mpango mzima ila no string attached worry not am a good girl, I don't cheap myself
right hunie? Goodday there!
just PM me we'll talk there, gudday too
Hahahahahaa....aisifuye mvua ujue imemnyea.wazungu hawana mashiko kwangu mie ni ma black tuu, halafu ile harufu yao wanayohema ikitoka puani mie aaah inanikera wananuka kama vipanya wadogo
Hahahahahaa....aisifuye mvua ujue imemnyea.
Mimi nilishawahi kuanguka dhambini na demu mmoja wa kizungu kutoka Uholanzi nikiwa Majuu, lakini hakuwa akinuka ngozi. Au hao uliokutana nao walitokea nchi gani?nilishafanya kazi customer care kwenye kampuni flani hivi kuna siku wakaja wazungu nikalazimika kukaa nao mezani ili kusolve tatizo lao, weeh mbona niliipata yaani harufu yao ya ngozi iko kama panya watoto aaaghh mie siwapendi hata hapo ndo nilisikia harufu yao sasa hivo wako na nguo wananuka hivo ntathubutu kuwasogelea wakiwa watupu katuuuuu sithubutu
mice??teh! teh! teh!/wachina ndio kufuruwazungu hawana mashiko kwangu mie ni ma black tuu, halafu ile harufu yao wanayohema ikitoka puani mie aaah inanikera wananuka kama vipanya wadogo
Mimi nilishawahi kuanguka dhambini na demu mmoja wa kizungu kutoka Uholanzi nikiwa Majuu, lakini hakuwa akinuka ngozi. Au hao uliokutana nao walitokea nchi gani?