Ndesamburo na Lyatonga Mrema hawatakiwi

Ndesamburo na Lyatonga Mrema hawatakiwi

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
7,235
Reaction score
4,343
Nikiwa mmoja ya wadau wa maendeleo wa mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nafuatilia utendaji wa wabunge waliopo, nilichogundua ni kwamba yale majimbo yalio na wabunge wazee yaani Ndesamburo na Lyatonga Mrema wananchi husika wanajuta kuwachugua kutokana na kutokutekeleza ahadi zao tangu wachaguliwe kuwa wabunge.Mfano mzee Ndesamburo aliahidi kuhakikisha kuwa hospitali ya Mawezi itaoboresha imekuwa ni kinyume chake, Lyatonga Mrema ameshindwa hata kufuatili ujenzi wa barabara ya lami kutoka uchira kupitia kirua hadi marangu.Rai yangu ni kwamba wanachi watumie fursa hii ya kuandaa upya katiba ili kuwezesha wananchi wa jimbo husika wapewe ruhusa ya kuwapigiwa wabunge kura ya kutokuwa na imani na mbunge hasa pale mbunge husika anaposhindwa kuhudumia wapiga kura wake.
 
Nikiwa mmoja ya wadau wa maendeleo wa mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nafuatilia utendaji wa wabunge waliopo, nilichogundua ni kwamba yale majimbo yalio na wabunge wazee yaani Ndesamburo na Lyatonga Mrema wananchi husika wanajuta kuwachugua kutokana na kutokutekeleza ahadi zao tangu wachaguliwe kuwa wabunge.Mfano mzee Ndesamburo aliahidi kuhakikisha kuwa hospitali ya Mawezi itaoboresha imekuwa ni kinyume chake, Lyatonga Mrema ameshindwa hata kufuatili ujenzi wa barabara ya lami kutoka uchira kupitia kirua hadi marangu.Rai yangu ni kwamba wanachi watumie fursa hii ya kuandaa upya katiba ili kuwezesha wananchi wa jimbo husika wapewe ruhusa ya kuwapigiwa wabunge kura ya kutokuwa na imani na mbunge hasa pale mbunge husika anaposhindwa kuhudumia wapiga kura wake.

katika halmashauri bora tanzania kwa utendaji ni Moshi mjini mpaka magufuli anasifia!!pia ukumbuke ndesamburo amejitahidi sana kuboresha hospitali ya mawenzi mpaka hapo unapoiona walau kabla ya ubunge palikua pananuka kila mahali hakuna magodoro,gari ya ubunge yeye alijitolea iwe ambulance mawenzi hospital..ACHA MAJUNGU NDUGU YANGU,ccm imefanya nini 50yrs of independence?
 
Magamba at work...! Mi napita tu.:lol:
 
Makupa hebu funguka macho bana
Hata kama ni magamba at work jitahidi hata kuficha ficha unazi wako
Sio kila kitu unaponda mpaka visivyofaa
At least huyo Mrema ila sio mzee Ndesa pale Moshi Mjini
 
Kumbe kichaa sio Lusinde peke yake wako wengi...

Ukifika pale Moshi mjini ile hali ya usafi iliyopo na ambayo inasimamiwa na sheria ndogo za halmashauri huwezi kuikuta sehemu yoyote Tanzania. Hapo inamaanisha madiwani na mbunge wako kazini. Kujenga au kukarabati hospitali sidhani kama ni kazi ya mbunge, labda wenye uelewa juu ya mfuko wa maendeleo ya jimbo watujuze. Kwa Mrema siwezi kushangaa kama kunadoda kwa kuwa kajifungamanisha sana na CCM.
 
vitanda, wheel chairs, ambulance na vifaa kibao pale Mawenzi hospitalametoa Ndesamburoyeye binafsi .... yawezekana wewe ni jaluo au kikuyu
 
Na kama Mzee Ndesa walikuwa hawamtaki pale Moshi wasingekubali kila uchaguzi wanamchagua mtu ambaye hana maana kwao
Wanamchagua maana wanajua anawafaa
Na pia wasingekubali kuipa ridhaa Halmashauri waipe team ambayo haina mpango kwao
Hebu Makupa tena jina la huko huko Moshi acha unazi wako
Rudi kajipange upya kuisemea Moshi na haswa Ndesa
 
Nikiwa mmoja ya wadau wa maendeleo wa mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nafuatilia utendaji wa wabunge waliopo, nilichogundua ni kwamba yale majimbo yalio na wabunge wazee yaani Ndesamburo na Lyatonga Mrema wananchi husika wanajuta kuwachugua kutokana na kutokutekeleza ahadi zao tangu wachaguliwe kuwa wabunge.Mfano mzee Ndesamburo aliahidi kuhakikisha kuwa hospitali ya Mawezi itaoboresha imekuwa ni kinyume chake, Lyatonga Mrema ameshindwa hata kufuatili ujenzi wa barabara ya lami kutoka uchira kupitia kirua hadi marangu.Rai yangu ni kwamba wanachi watumie fursa hii ya kuandaa upya katiba ili kuwezesha wananchi wa jimbo husika wapewe ruhusa ya kuwapigiwa wabunge kura ya kutokuwa na imani na mbunge hasa pale mbunge husika anaposhindwa kuhudumia wapiga kura wake.
Mbona nasikia yeye ndiye anawezesha uchimbaji wa visima huko Arumeru.
 
Emu kaseme huu ***** wako pale KIBOROLONI uone watakavyo chomoka na hicho kichwa.
 
Hivi kukaa kimya haiwezekani? Kwa nini uropoke bila ya kufanya utafiti? Ndesambulo waweza mlinganisha na nani? Acha upuuzi wako.
 
Hivi kukaa kimya haiwezekani? Kwa nini uropoke bila ya kufanya utafiti? Ndesambulo waweza mlinganisha na nani? Acha upuuzi wako.


nafikiri anamlinganisha na Mwigulu na Lusinde
 
Siyo kweli, uchaguzi wa 2010 ccm walichangisha mihela ili kulikomboa jimbo hilo mikononi mwa Ndesamburo, badala yake wakapoteza na mengine mkoani humo.
 
wewe ni nani? sample yako ni watu wangapi? maana usijekuwa umemuuliza mgombea wa ccm aliyepita wa udiwani na ubunge unaleta conclusion zako hapa!!!
 
Nikiwa mmoja ya wadau wa maendeleo wa mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nafuatilia utendaji wa wabunge waliopo, nilichogundua ni kwamba yale majimbo yalio na wabunge wazee yaani Ndesamburo na Lyatonga Mrema wananchi husika wanajuta kuwachugua kutokana na kutokutekeleza ahadi zao tangu wachaguliwe kuwa wabunge.Mfano mzee Ndesamburo aliahidi kuhakikisha kuwa hospitali ya Mawezi itaoboresha imekuwa ni kinyume chake, Lyatonga Mrema ameshindwa hata kufuatili ujenzi wa barabara ya lami kutoka uchira kupitia kirua hadi marangu.Rai yangu ni kwamba wanachi watumie fursa hii ya kuandaa upya katiba ili kuwezesha wananchi wa jimbo husika wapewe ruhusa ya kuwapigiwa wabunge kura ya kutokuwa na imani na mbunge hasa pale mbunge husika anaposhindwa kuhudumia wapiga kura wake.

ACHA KUDANGANYA WATU BARABARA INAANZIA KAWAWA ROAD MPAKA BARAZANI,(kwa mangi) NA NI KM TANO TU

SASA UNAPODANGANYA WATU HAPA INAANZIA UCHIRA KUPITIA KIRUA VUNJO THEN MARANGU, NAJIULIZA WAIJUA GEOGRAPHIA KWELI YA HILI ENEO??? KIMSINGI HAYO NI MAJUNGU, HII BARABARA NA ZILE NYINGINE ZINA UFADHILI WA BANK YA DUNIA NA SEREKALI KUPITIA TANROADS KWA SASA SWEREKALI IMEFILISIKA MARADI MINGI IMESIMAMA, NA NDO MAANA HII BARABARA INAJENGWA KWA KUSUA SUA
 
nadhani wewe umeangalia umri wa Nndesamburo hukuangalia mambo aliyoyafanya katika jimbo lake......
 
Muweweseko huo wa kupoteza jimbo la arumeru!! Mtajuta kudadadeki!
 
Back
Top Bottom