Na kama Mzee Ndesa walikuwa hawamtaki pale Moshi wasingekubali kila uchaguzi wanamchagua mtu ambaye hana maana kwao
Wanamchagua maana wanajua anawafaa
Na pia wasingekubali kuipa ridhaa Halmashauri waipe team ambayo haina mpango kwao
Hebu Makupa tena jina la huko huko Moshi acha unazi wako
Rudi kajipange upya kuisemea Moshi na haswa Ndesa
Pambaf nia yako ilikuwa kumtongoza Angel Msoffe ndio unakuja na hii thread ili umpate pigianeni simu au pelekeni huu ********* kwenye Facebooknipo nakusubiri hapa stendi Moshi.
Mh kwanza Lucy Owenya ni wa Iringa sio ndg hao watuIna maana Ndesa, Lucy na Owenya ni ndugu? duh, kaz kweli kweli.
Mh kwanza Lucy Owenya ni wa Iringa sio ndg hao watu
ACHA KUDANGANYA WATU BARABARA INAANZIA KAWAWA ROAD MPAKA BARAZANI,(kwa mangi) NA NI KM TANO TU
SASA UNAPODANGANYA WATU HAPA INAANZIA UCHIRA KUPITIA KIRUA VUNJO THEN MARANGU, NAJIULIZA WAIJUA GEOGRAPHIA KWELI YA HILI ENEO??? KIMSINGI HAYO NI MAJUNGU, HII BARABARA NA ZILE NYINGINE ZINA UFADHILI WA BANK YA DUNIA NA SEREKALI KUPITIA TANROADS KWA SASA SWEREKALI IMEFILISIKA MARADI MINGI IMESIMAMA, NA NDO MAANA HII BARABARA INAJENGWA KWA KUSUA SUA
Nikiwa mmoja ya wadau wa maendeleo wa mkoa wa Kilimanjaro, nimekuwa nafuatilia utendaji wa wabunge waliopo, nilichogundua ni kwamba yale majimbo yalio na wabunge wazee yaani Ndesamburo na Lyatonga Mrema wananchi husika wanajuta kuwachugua kutokana na kutokutekeleza ahadi zao tangu wachaguliwe kuwa wabunge.Mfano mzee Ndesamburo aliahidi kuhakikisha kuwa hospitali ya Mawezi itaoboresha imekuwa ni kinyume chake, Lyatonga Mrema ameshindwa hata kufuatili ujenzi wa barabara ya lami kutoka uchira kupitia kirua hadi marangu.Rai yangu ni kwamba wanachi watumie fursa hii ya kuandaa upya katiba ili kuwezesha wananchi wa jimbo husika wapewe ruhusa ya kuwapigiwa wabunge kura ya kutokuwa na imani na mbunge hasa pale mbunge husika anaposhindwa kuhudumia wapiga kura wake.
Huyu mzee kwa kuchakachua ndio mwenyewe
Kisangani na Sumi sio vijiji.......Mkuu sio km 5 bali n Km 10 ambapo inapita vijiji vya Uparo, kisangani sumi na mwisho barazan takriban Km 10 toka kawawa road
Siyo kweli, uchaguzi wa 2010 ccm walichangisha mihela ili kulikomboa jimbo hilo mikononi mwa Ndesamburo, badala yake wakapoteza na mengine mkoani humo.