Ndesamburo na Lyatonga Mrema hawatakiwi

nakuomba uje uyaseme hayo hapa stendi ya Moshi au Soko la Mbuyuni Moshi, na ndani ya dkk 1 utapata majibu
 
acha kukurupuka wewe barabara ya lami kutoka kawawa mpka marangu inamalizika karibuni na hospital ujenzi na unaendelea...usijije ukarudia hyo maneno yako hapa moshi
 
Jamani tuache uzandiki Mimi ni mtu wa Kilimanjaro Kwa kweli ninampa Big Up Mzee ndesapesa kwa mambo aliyo yafanya huwezi kulinganisha na mbunge yoyote. Vile vile tuangalie mambo ya kitaifa kwanza Mzee ndesa ametoa mchango mkubwa sana bungeni na nje ya bunge, Kwa kiasi fulani amekisaidia sana sana CDM kufikia hapa kilipo kwa hiyo we should not be local too much we have to think globaly.. I Love this man i wish kama angekuwa na nguvu agombee tena ni Mapenzi ya mungu.
 
Kwa hyo unadhan wananch wa jimbo la Ndesamburo wanao kesha wakilinda kura zao ni wendawazimu?
 
Hasira hasiraaaaaaaaaaaaa kali. Kama ntakumbuka vyema kuna Makupa alikuwa anagombea kacheo fulani CDM! Hakupata nafasi! Akaahidiwa labda kwenye viti maalimu nako hakupata kitu! Basi awe hata mjumbe wa wa halmashauri kuu nako kakosa! Akiangalia sana kule kuna mzee Ndesa, Lucy Owenya na Grace Kiwelu anajiuliza iweje yeye asipate? Kama anavyohisi yeye kuwa Ndesa asingekuwepo angalao angefanikiwa. Well nachukulia ni hasira zake Makupa tu! Rudi tujenge chama Makupa.
 
Hasira hasiraaaaaaaaaaaaa kali. Kama ntakumbuka vyema kuna Makupa alikuwa anagombea kacheo fulani CDM! Hakupata nafasi! Akaahidiwa labda kwenye viti maalimu nako hakupata kitu! Basi awe hata mjumbe wa wa halmashauri kuu nako kakosa! Akiangalia sana kule kuna mzee Ndesa, Lucy Owenya na Grace Kiwelu anajiuliza iweje yeye asipate? Kama anavyohisi yeye kuwa Ndesa asingekuwepo angalao angefanikiwa. Well nachukulia ni hasira zake Makupa tu! Rudi tujenge chama Makupa.
Usultani hauko arabuni tu hata kwenye vyama loh
 
Moshi inaongoza kuanzia usafi,barabara,maji safi,afya na elimu na Ndesamburo amekuwa mbunge tokea mwaka 2000, sasa lazima ushangae anayesema hafai.
 
Kumbe kichaa sio Lusinde peke yake wako wengi...

Ukifika pale Moshi mjini ile hali ya usafi iliyopo na ambayo inasimamiwa na sheria ndogo za halmashauri huwezi kuikuta sehemu yoyote Tanzania. Hapo inamaanisha madiwani na mbunge wako kazini. Kujenga au kukarabati hospitali sidhani kama ni kazi ya mbunge, labda wenye uelewa juu ya mfuko wa maendeleo ya jimbo watujuze. Kwa Mrema siwezi kushangaa kama kunadoda kwa kuwa kajifungamanisha sana na CCM.

Hivi usafi wa mji wa moshi umeanza lini? baada au hata kabla Ndesa hajawa mbunge wa Moshi mjini?
 
We chali una matatizo! Kwani utendaji wenye mapungufu ni kwenye majimbo ya upinzani pekee? Mbona hujatoa hoja kwenye jimbo lililo chini ya MAGAMBA? Vipi utekelezaji wa ununuzi wa meli 3 kwa ajili ya ziwa Victoria, Tanganyika na Nyasa umefikia wp? Kiwanja cha ndege Bukoba na UUMBAJI WA MTO KWENYE JIMBO LE2 UMEFIKIA WAPI?
 
Back
Top Bottom