Ndesamburo na Lyatonga Mrema hawatakiwi

Ndesamburo na Lyatonga Mrema hawatakiwi

Pambaf nia yako ilikuwa kumtongoza Angel Msoffe ndio unakuja na hii thread ili umpate pigianeni simu au pelekeni huu ushenzi wenu kwenye Facebook
kijana usinitafute ubaya MI SIJAJIUNGA JF KWA AJILI YA KUTONGOZWA, na usinivunjie heshma yangu kwa mambo ya kipumbavu, TUHESHIMIANE
 
Kumbe kichaa sio Lusinde peke yake wako wengi...

Ukifika pale Moshi mjini ile hali ya usafi iliyopo na ambayo inasimamiwa na sheria ndogo za halmashauri huwezi kuikuta sehemu yoyote Tanzania. Hapo inamaanisha madiwani na mbunge wako kazini. Kujenga au kukarabati hospitali sidhani kama ni kazi ya mbunge, labda wenye uelewa juu ya mfuko wa maendeleo ya jimbo watujuze. Kwa Mrema siwezi kushangaa kama kunadoda kwa kuwa kajifungamanisha sana na CCM.


acha uchadema wako kuhusu mrema, mrema alichaguliwa kwa kura nyingi kuliko ndesa pesa, na alikuwa nje ya jimbo toka 1995, wana vunjo hawa kumchukia leo ndani ya miaka miwili eti wamtoe, acha uzandiki, nyie nyie ndio mlisema hatashinda ubunge leo yamewatokea puani. tafuta hoja za msingi acha mrema afanye kazi yake ya ubunge...
 
vitanda, wheel chairs, ambulance na vifaa kibao pale Mawenzi hospitalametoa Ndesamburoyeye binafsi .... yawezekana wewe ni jaluo au kikuyu

wajaluo hatuko hivyo pls pls pls tuombe radhi, huyo ni kufikilia kwake kwa masabuli, tuombe radhi aisee
 
Kumbe ndio maana nchi yetu itaendelea kuwa maskini! kwani watu kama ninyi bado mnaendelea kuishi. Lakini siku mkiisha tutakuwa kama China. Usilinganishe NDESA na wabunge wako wengine Njoo MO town ujionee usiambiwe
 
wewe ni ccm na huna jipya na hoja yako ya ajabuajabu.sirili chami moshi kikijini kafanya nini.ana kilango na magembe wamefanya nini huko upareni.wape watu muda miaka bado mitatu na kiherehere cha nini
 
cheza na wengine lakini si ndesapesa,kama huna hoja kalale si lazima useme chochote humu ndani,yawezekana hata moshi haukujui,gamba mkubwa we
 
Back
Top Bottom