Ndege zinamsaidia nini bibi yangu kule kijijini?

Ndege zinamsaidia nini bibi yangu kule kijijini?

Duh! siamini kama kuna mtanzania bado anaweza kuzungumza hivyo, yaani hata shule kidogo hamna. hebu jiulize kwanza serikali inapata wapi fedha kwa ajili ya maendeleo? unadhani ni kodi tu? kalagabaho wewe!!

Maendeleo yako wapi miaka 50 ya uhuru chini ya CCM with ccm you will never achieve anything
 
Bibi yako anachangia nin kwenye hii nchi...hata kodi tuu halipi sasa hiyo barabara yanini

Wewe ni msukule wa CCM na mbumbumbu uliyenyimwa elimu na ccm ili ikutawale kifikra

Kwa Taarifa: Watanzania wote wanalipa kodi...

Fahamu kuwa ukinunua chochote, umelipa VAT.

Bidhaa zote Tanzania zina VAT

Iwe chumvi, iwe mafuta ya kupikia, iwe nguo

Labda useme viwanda havilipi VAT

Unajua maana ya VAT?
 
Nani kakwambia kipimo cha vipaumbele vya nchi ni mahitaji yako na bibi yako? Au kwa vile wewe na bibi yako hamna uwezo wa kupanda ndege basi usafiri wa ndege ufutwe?
Jamaa anauliza hali ya bibi yake kijijini wakati Rais kajitahidi kununua ndege mbili, sasa jamaa huyo angekuwa anaishi Qatar ambapo shirika lao la ndege lina ndege 250 tena Airbus -- abiria zaidi ya 200 kwa kila ndege!!!!! wakati ka nchi ni kadogo compared to Tanzania!!!!! What about Rwanda nchi ndogo kuliko mkoa wa Kagera lakini wako mbali!!
 
Vichaa wanaongezeka sana tanzania! Swali juu ya swali,mbaya zaidi mi naongelea ndege ajabu wewe unakuja na habari za mwendokasi na Ukuta
Mbona bado hujatembea uchi?
Nishasema na narudia tena kusema,ccm ikishinda mwaka huu natembea uchi siku nzma,lowasa ni raisi wa tano wa tz,kama unabisha tu beti hapa sasa hiv
 
Maendeleo yako wapi miaka 50 ya uhuru chini ya CCM with ccm you will never achieve anything
waulize hao viongozi walioipeleka nchi hii katika miaka hiyo 50, sasa hivi huyu Mh. ndiyo kwanza kachukua nchi hata mwaka haujaisha.
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.


Duh....mabasi ya mwendokasi yanamsaidia nini bibi yako kule kijijini???? Daraja la Kigamboni linamsaidia nini bibi yako kule kijijini???? Duh....Tanzania hii tuna safari ndefu sana katika kuelewa mambo.....Tunahoji kila kitu....
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.

akapande Fisi.
 
Hakuna lami na hajawahi na wala hategemei kupanda ndege,

Je zitamsaidia nini yeye hizi??hata mimi binafsi sielewi zinanisaidia nini maana sina pesa ya kulipia kwenye ndege.

Wataalamu msaada wenu.
Ndege zimewauma sana
 
Duh....mabasi ya mwendokasi yanamsaidia nini bibi yako kule kijijini???? Daraja la Kigamboni linamsaidia nini bibi yako kule kijijini???? Duh....Tanzania hii tuna safari ndefu sana katika kuelewa mambo.....Tunahoji kila kitu....
Ndiyo maana unaambiwa kila watu wanne mmoja ni kichaa(mental)! hajui kama ndege au daraja la kigamboni au la Salender ni muhimu mpaka liwe kijiji to make worse pahala ambapo ni nadra kuona gari kama kule Tumbatu Zenj.
 
Duh....mabasi ya mwendokasi yanamsaidia nini bibi yako kule kijijini???? Daraja la Kigamboni linamsaidia nini bibi yako kule kijijini???? Duh....Tanzania hii tuna safari ndefu sana katika kuelewa mambo.....Tunahoji kila kitu....

Nadhani mleta mada hatujaelewa context ya post yake. Nadhani alilenga kuwa huyu mama asiye na Dawa huku kijijini ie essential basic needs to keep soul and body intact ndege isiwe priority... something of that nature anyway, I might be wrong
 
Uliza pia hostel zinazojengwa chuo kikuu cha Dar es salaam zinamsaidiaje bibi yako. go Magufuli maneno ya watu yasikurudishe nyuma na jitihada zako za kweli kweli...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Jamaa anauliza hali ya bibi yake kijijini wakati Rais kajitahidi kununua ndege mbili, sasa jamaa huyo angekuwa anaishi Qatar ambapo shirika lao la ndege lina ndege 250 tena Airbus -- abiria zaidi ya 200 kwa kila ndege!!!!! wakati ka nchi ni kadogo compared to Tanzania!!!!! What about Rwanda nchi ndogo kuliko mkoa wa Kagera lakini wako mbali!!
Unajua kuna watu huwa wanadhani kuwa na critical thinking ni kuwa pessimistic tu daima kwa kila jambo! Anyway, sijui kiwango cha elimu ya huyu mtoa hoja. Nadhani vitu ambavyo watanzania walipashwa kuwa wanahoji kwa wakati huu ni:
  • Kitu gani kiliiua Shirika la Ndege Tanzania?
  • Waliohusika kuliuwa wamechukuliwa hatua gani?
  • Serikali inatuhakikishiaje sasa ATC haitaliwa tena ife tena?
Maswali ya aina hii ndo yanayojenga. Lakini mtu anahoji bila haya umuhimu wa nchi kuwa na shirika la usafiri wa anga karne hii? Horrible!
 
Nadhani mleta mada hatujaelewa context ya post yake. Nadhani alilenga kuwa huyu mama asiye na Dawa huku kijijini ie essential basic needs to keep soul and body intact ndege isiwe priority... something of that nature anyway, I might be wrong

In my opinion you are definitely wrong...Mleta mada nilivyomuelewa mimi na bila shaka na wengine wengi ni kuwa anashutumu kitendo cha ununuzi wa ndege, na siyo suala la priorities....mleta mada ni miongoni mwa wale wanaoshutumu almost everything cha maendeleo kinachofanywa na serikali hii....wamejipanga kwa kampeni chafu, kwa kutumia mitandao, vyombo kadhaa vya habari, baadhi ya NGO's na kadhalika...wanakebehi kila kitu kinachofanywa na serikali na Rais...kila hotuba inayotolewa na Rais wanaichambua na kuanza kujenga hoja kwa kuangalia maneno, sentensi na kuacha maudhui au maana nzima ya hotuba hiyo kwa ujumla wake kwa jamii...Suala la ununuzi wa ndege ni muhimu kwani haiwezekani nchi kama yetu isiwe na national airline katika dunia ya sasa....
 
In my opinion you are definitely wrong...Mleta mada nilivyomuelewa mimi na bila shaka na wengine wengi ni kuwa anashutumu kitendo cha ununuzi wa ndege, na siyo suala la priorities....mleta mada ni miongoni mwa wale wanaoshutumu almost everything cha maendeleo kinachofanywa na serikali hii....wamejipanga kwa kampeni chafu, kwa kutumia mitandao, vyombo kadhaa vya habari, baadhi ya NGO's na kadhalika...wanakebehi kila kitu kinachofanywa na serikali na Rais...kila hotuba inayotolewa na Rais wanaichambua na kuanza kujenga hoja kwa kuangalia maneno, sentensi na kuacha maudhui au maana nzima ya hotuba hiyo kwa ujumla wake kwa jamii...Suala la ununuzi wa ndege ni muhimu kwani haiwezekani nchi kama yetu isiwe na national airline katika dunia ya sasa....

Sidhani kuwa kuna asiyejua umuhimu wa national carrier, lakini kwa nchi ambayo watu hawana aspirin, nadhani one can suspend revival of national carrier for a while!
On the other hand, Ndio maana ya democrasi. Let people critisize as long as they are not breaking the law. Wanakupa changamoto ya kufikiri zaidi. Sidhani kama unapenda taifa la watu wasio tafakari mambo! Watu wa ndioooooooooooooooooooòooooooooooooo, Sidhani!
Sion UBAYA mtu akisema ndege za mapanga Boi zimepitwa na wakati ukakasirika. Yeye anafikiria hivyo, tumpe uhuru wa kuchambua mambo bila kuwakwaza wengine.
 
Sidhani kuwa kuna asiyejua umuhimu wa national carrier, lakini kwa nchi ambayo watu hawana aspirin, nadhani one can suspend revival of national carrier for a while!
On the other hand, Ndio maana ya democrasi. Let people critisize as long as they are not breaking the law. Wanakupa changamoto ya kufikiri zaidi. Sidhani kama unapenda taifa la watu wasio tafakari mambo! Watu wa ndioooooooooooooooooooòooooooooooooo, Sidhani!
Sion UBAYA mtu akisema ndege za mapanga Boi zimepitwa na wakati ukakasirika. Yeye anafikiria hivyo, tumpe uhuru wa kuchambua mambo bila kuwakwaza wengine.
Naiheshimu hoja yako. Ila nataka ujue kuwa kununua hizo ndege mbili hakuathiri KABISA kuwepo asprin zahanati. Sikusikia popote kuwa ununuzi wa ndege umesababisha zoezi la kununua madawa lisimame. Kama una taarifa hiyo naomba utupatie, kwamba fedha zilizokuwa zinunue asprini simetumika kununua ndege na hivyo nchi italazimika kukosa madawa ili tuwe na ndege!

Ukosefu wa madawa na huduma bora mahospitalini ni mojawapo ya changamoto nyingi ktk nchi hii na ndiyo maana nadhani Mzee Pombe siku zake za kwanza kwanza za urais wake ni kama alihamia Hospitalia ya Taifa Muhimbili kupambana na mambo kama hayo. Mi nadhani mkono wa serikali ktk kutoa huduma kwa wananchi ni mkubwa. Kunuliwa kwa ndege hakuizuii serikali kutoa huduma zingine.
 
mtoa mada c kilaza,
ila wachangiaji wengi wanajifanya wajuaji kumbe wao ndio vilaza,
mtoa mada ametoa maelezo kidogo,
na ameomba msaada wa kueleweshwa lkn,
kmkawaida ya watz wanakurupuka kujibu,
tena kwa bahati mbaya wanamlenga bibi wa mtoa mada,
mtoa mada anamtaja bibi ake km alama ya watu maskini na wengine wako remote areas,wasiokua na ajira,wakulima n.k.

hata mimi watanijibu tena kwa kukurupuka subir uone.
 
Naiheshimu hoja yako. Ila nataka ujue kuwa kununua hizo ndege mbili hakuathiri KABISA kuwepo asprin zahanati. Sikusikia popote kuwa ununuzi wa ndege umesababisha zoezi la kununua madawa lisimame. Kama una taarifa hiyo naomba utupatie, kwamba fedha zilizokuwa zinunue asprini simetumika kununua ndege na hivyo nchi italazimika kukosa madawa ili tuwe na ndege!

Ukosefu wa madawa na huduma bora mahospitalini ni mojawapo ya changamoto nyingi ktk nchi hii na ndiyo maana nadhani Mzee Pombe siku zake za kwanza kwanza za urais wake ni kama alihamia Hospitalia ya Taifa Muhimbili kupambana na mambo kama hayo. Mi nadhani mkono wa serikali ktk kutoa huduma kwa wananchi ni mkubwa. Kunuliwa kwa ndege hakuizuii serikali kutoa huduma zingine.

Umesema vizuri. Simple reasoning can make a difference. Kama nyumbani tumelala njaa baba unakuja na Rav 4, hatutakushangilia. The fact is hakuna dawa leo, ila tuna ndege. Mtu ambaye ndugu yake yupo ICU na hakuna oxygen support hatakuelewa. Hatathamini ndege. Narudia umeandika vizuri, lakini the fact is HAKUNA DAWA LEO
 
Sidhani kuwa kuna asiyejua umuhimu wa national carrier, lakini kwa nchi ambayo watu hawana aspirin, nadhani one can suspend revival of national carrier for a while!
On the other hand, Ndio maana ya democrasi. Let people critisize as long as they are not breaking the law. Wanakupa changamoto ya kufikiri zaidi. Sidhani kama unapenda taifa la watu wasio tafakari mambo! Watu wa ndioooooooooooooooooooòooooooooooooo, Sidhani!
Sion UBAYA mtu akisema ndege za mapanga Boi zimepitwa na wakati ukakasirika. Yeye anafikiria hivyo, tumpe uhuru wa kuchambua mambo bila kuwakwaza wengine.

Thanks...lakini kumbuka pia demokrasia pasipo wajibu ni disaster...ni kweli watu wa ndioooooooooooooooooooooooo wakati mwingine wanaweza kuwa hawaisadii nchi lakini ni kweli kabisa kwamba watu wa hapanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa kila kitu nao ni tatizo na janga la kitaifa....
 
Umesema vizuri. Simple reasoning can make a difference. Kama nyumbani tumelala njaa baba unakuja na Rav 4, hatutakushangilia. The fact is hakuna dawa leo, ila tuna ndege. Mtu ambaye ndugu yake yupo ICU na hakuna oxygen support hatakuelewa. Hatathamini ndege. Narudia umeandika vizuri, lakini the fact is HAKUNA DAWA LEO
Hakuna dawa, hiyo ni fact, kama hazipo. Therefore ndege zisingenunuliwa kungekuwa na dawa? Is that what you wanna say?
 
Back
Top Bottom