digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,162
- 22,091
Kazi nzuriWaokolewe kwa lipi wakati wapo mazoezini?
Kazi nzuriWaokolewe kwa lipi wakati wapo mazoezini?
Marvelous!Kazi nzuri
Ili asirudi kama alivyoenda?Huko ni wapi? Nilisema bibi aondoke na helicopter kwenda kwamandela
Hao ni warusi mkuu!!Watu wanaongea coded language tu. Ni ubaguzi wa wazi kwa sisi tuliopata D mbili pekee.
Sijui wamefanya uzembe gani hawa mabwana mpaka hii ndege imepata ajali kirahisi hivi.
Hii ajali imetokea baharini wakiwa wanafanya kazi za offshore.
View attachment 3020078
Hawa walikuwa kwenye mazoezi offshore,sema zoezi limeenda vibaya,wakapata ajali ya ndege kubinuka.Sijui wamefanya uzembe gani hawa mabwana mpaka hii ndege imepata ajali kirahisi hivi.
Hii ajali imetokea baharini wakiwa wanafanya kazi za offshore.
View attachment 3020078
Kwani Gairo si ndiyo ile waarabu wanaiita Cairo kwa kina Shabbiby!Dogo,
Gairo kuna bahari?