TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,773
- 21,270
Toka imeondoka nchini kuelekea kule Arabuni nadhani ndiyo ilikuwa safari ya mwisho hadi leo sijaona ikiwa hapa uwanja wa ndege Dar Es Salaam au kule Zanzibar.
Kwenye ile rada maarufu ya kutrack ndege inayoitwa Flightradar24 haionekani, lakini ukiacha hiyo ambayo inawezekana ikafahamika ilipo je ile ya abilia iliyoshikiliwa iko wapi?.
Ndugu zangu ndege yetu iko wapi na nini sababu ya kupotea hata kwenye rada?
Kwenye ile rada maarufu ya kutrack ndege inayoitwa Flightradar24 haionekani, lakini ukiacha hiyo ambayo inawezekana ikafahamika ilipo je ile ya abilia iliyoshikiliwa iko wapi?.
Ndugu zangu ndege yetu iko wapi na nini sababu ya kupotea hata kwenye rada?