Ndege inatunguliwaje wakati huwa juu futi 33,000 kwa speed ya 900km/hr ?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Wadau nimesoma hii post kuwa ndege ya Ukraine ilitunguliwa na Iran kimakosa.

Pamoja na tukio hili na mengine ya ndege kutunguliwa , kuna mshangao kidogo...

Ndege ikiwa angali huenda umbali (elevation from sea level) mpaka ya futi 33,000 ( kilomita 20) na kwa speed ya mpaka 990km/hr.

Inatunguliwaje katika hizo scenario wakuu ?



Hatimaye Serikali ya Iran imekiri kuitungua ‘kwa bahati’ mbaya ndege ya Ukraine iliyoua watu 176, ikisema ni “kosa lisilosameheka.”
Ndege ya Ukraine aina ya Boeing 737-800 ilianguka Jumatano asubuhi muda mfupi baada ya kuruka wakati Iran ikirusha makombora dhidi ya kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Iraq kulipiza kisasi kwa mauaji ya kiongozi wake wa kijeshi, Qasem Soleimani.



Taifa hilo limeeleza kujutia kitendo hicho kilichosababisha maafa makubwa, amesema Rais wa Iran Hassan Rouhani kupitia ukurasa wake wa Twitter.



“Uchunguzi wa ndani wa vyombo vya dola umebainisha kuwa kwa bahati mbaya makombora yaliyorushwa kwa makosa ya binadamu yalisababisha ndege ya Ukraine kuanguka na vifo vya watu 176 wasio na hatia,” aliongeza.



“Uchunguzi unaendelea kuwatambua na kuchukua hatua kwa kosa hilo lisilokuwa na msamaha.”
IMG_20200111_120728.jpeg
iran%2Bpic.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndege ya Ukraine aina ya Boeing 737-800 ilianguka Jumatano asubuhi muda mfupi baada ya kuruka wakati Iran ikirusha makombora dhidi ya kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Iraq kulipiza kisasi kwa mauaji ya kiongozi wake wa kijeshi, Qasem Soleimani.
Hapo si tayari kuna jibu?! Inaelekea kabla haijafika huko kwenye mafuti elfu kadhaa, ikakutana na kitu! Na usisahau. ile ni surface to air missile ambazo by general rule, zinakuwa faster kuliko chombo kinachoruka angani ili hatimae iwe ina uwezo wa kutungua hicho chombo!! Na pia usisahau, chombo kinacholengwa hapo ni vyombo vya kijeshi, kama vile ndege za kijeshi!!

Na bila shaka ndege za kijeshi zina kasi kubwa zaidi kulinganisha na ndege za kiraia. Kwa maana nyingine, wakati mzinga umeundwa kushambulia a faster moving target, unakuja kuushughulia fast moving object. Sasa ukichanganya hayo yote, bila shaka inatoa uwezekano usio shaka wa namna gani iliwezekana kuitungua ndege ya kiraia ambayo ilikuwa haijafika kwenye hayo makilometa uliyotaja!
 
Wadau nimesoma hii post kuwa ndege ya Ukraine ilitunguliwa na Iran kimakosa.

Pamoja na tukio hili na mengine ya ndege kutunguliwa , kuna mshangao kidogo...

Ndege ikiwa angali huenda umbali (elevation from sea level) mpaka ya futi 33,000 ( kilomita 20) na kwa speed ya mpaka 990km/hr.

Inatunguliwaje katika hizo scenario wakuu ?



Hatimaye Serikali ya Iran imekiri kuitungua ‘kwa bahati’ mbaya ndege ya Ukraine iliyoua watu 176, ikisema ni “kosa lisilosameheka.”
Ndege ya Ukraine aina ya Boeing 737-800 ilianguka Jumatano asubuhi muda mfupi baada ya kuruka wakati Iran ikirusha makombora dhidi ya kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Iraq kulipiza kisasi kwa mauaji ya kiongozi wake wa kijeshi, Qasem Soleimani.



Taifa hilo limeeleza kujutia kitendo hicho kilichosababisha maafa makubwa, amesema Rais wa Iran Hassan Rouhani kupitia ukurasa wake wa Twitter.



“Uchunguzi wa ndani wa vyombo vya dola umebainisha kuwa kwa bahati mbaya makombora yaliyorushwa kwa makosa ya binadamu yalisababisha ndege ya Ukraine kuanguka na vifo vya watu 176 wasio na hatia,” aliongeza.



“Uchunguzi unaendelea kuwatambua na kuchukua hatua kwa kosa hilo lisilokuwa na msamaha.”View attachment 1319372View attachment 1319373

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtawanyiko wa vipande vya ndege sio wa natural disaster be it mechanical pilot error etc
 
Wadau nimesoma hii post kuwa ndege ya Ukraine ilitunguliwa na Iran kimakosa.

Pamoja na tukio hili na mengine ya ndege kutunguliwa , kuna mshangao kidogo...

Ndege ikiwa angali huenda umbali (elevation from sea level) mpaka ya futi 33,000 ( kilomita 20) na kwa speed ya mpaka 990km/hr.

Inatunguliwaje katika hizo scenario wakuu ?



Hatimaye Serikali ya Iran imekiri kuitungua ‘kwa bahati’ mbaya ndege ya Ukraine iliyoua watu 176, ikisema ni “kosa lisilosameheka.”
Ndege ya Ukraine aina ya Boeing 737-800 ilianguka Jumatano asubuhi muda mfupi baada ya kuruka wakati Iran ikirusha makombora dhidi ya kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Iraq kulipiza kisasi kwa mauaji ya kiongozi wake wa kijeshi, Qasem Soleimani.



Taifa hilo limeeleza kujutia kitendo hicho kilichosababisha maafa makubwa, amesema Rais wa Iran Hassan Rouhani kupitia ukurasa wake wa Twitter.



“Uchunguzi wa ndani wa vyombo vya dola umebainisha kuwa kwa bahati mbaya makombora yaliyorushwa kwa makosa ya binadamu yalisababisha ndege ya Ukraine kuanguka na vifo vya watu 176 wasio na hatia,” aliongeza.



“Uchunguzi unaendelea kuwatambua na kuchukua hatua kwa kosa hilo lisilokuwa na msamaha.”View attachment 1319372View attachment 1319373

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kutungua ndege ndio wakati application ya mafomula ya hesabu msiyoyapenda yanapofanya kazi
 
Duh!! Mkuu unashangaza kidogo! Kwa hiyo unafikiri kwa mfano ndege ya adau ikiwa inaruka angani kwa speed kubwa basi itaachwa kutunguliwa?! Kwa kifupi kabisa ni kwamba kuna tecnologia inayoweza kutungua ndege kama hizo!
 
Wadau nimesoma hii post kuwa ndege ya Ukraine ilitunguliwa na Iran kimakosa.

Pamoja na tukio hili na mengine ya ndege kutunguliwa , kuna mshangao kidogo...

Ndege ikiwa angali huenda umbali (elevation from sea level) mpaka ya futi 33,000 ( kilomita 20) na kwa speed ya mpaka 990km/hr.

Inatunguliwaje katika hizo scenario wakuu ?



Hatimaye Serikali ya Iran imekiri kuitungua ‘kwa bahati’ mbaya ndege ya Ukraine iliyoua watu 176, ikisema ni “kosa lisilosameheka.”
Ndege ya Ukraine aina ya Boeing 737-800 ilianguka Jumatano asubuhi muda mfupi baada ya kuruka wakati Iran ikirusha makombora dhidi ya kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Iraq kulipiza kisasi kwa mauaji ya kiongozi wake wa kijeshi, Qasem Soleimani.



Taifa hilo limeeleza kujutia kitendo hicho kilichosababisha maafa makubwa, amesema Rais wa Iran Hassan Rouhani kupitia ukurasa wake wa Twitter.



“Uchunguzi wa ndani wa vyombo vya dola umebainisha kuwa kwa bahati mbaya makombora yaliyorushwa kwa makosa ya binadamu yalisababisha ndege ya Ukraine kuanguka na vifo vya watu 176 wasio na hatia,” aliongeza.



“Uchunguzi unaendelea kuwatambua na kuchukua hatua kwa kosa hilo lisilokuwa na msamaha.”View attachment 1319372View attachment 1319373

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza, bado haijatokea kuwepo ndege ya abiria kuruka urefu km 20 juu. Pili, kwa hii ya sasa ndiyo ilikuwa imeanza kupaa na ilikuwa futi 8000 tu. Tatu, hizo missiles zinasafiri umbali mrefu, kwa kasi na zinaongozwa kufikia target yake kwa mionzi. Mfano ni wa ndege ya Malaysia nchini Ukraine.
 
Ili kukwepa ndege isitunguliwe na kombora inabidi rubani aizime kitu ambacho hakiwezekani kwa sababu 1. Alikuwa hajui kama anafuatiliwa 2. Alikuwa hayuko umbali mrefu kutoka usawa wa bahari.
Hii ni kwa makombora ya zamani sana yaliyokuwa yakifuata joto. Siku hizi ni laser guided, yaani inatumia miale kama ya xray na hiyo kwa kutumia computer wakilengesha target huna pa kulikwepa. Hayo ndiyo wanayotumia hata hao wamarekani walipompata generali wa Iran.
 
Back
Top Bottom