Drones za Korea ya Kaskazini yalichezea anga la Korea ya kusini mbele ya Air defense system za Marekani kwa masaa 7 na kurudi salama kituoni

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,039
Kama kuna siku Marekani imechezewa sharubu ni leo!! Marekani hudai majeshi yake yako korea ya kusini ili kuilinda korea ya kusini dhidi ya kitisho cha korea ya kaskazini. Anga la korea ya kusini linalindwa na air defense za marekani zikiwemo Patriot air defense system na THAAD. Lakini leo drones tano (5) za Korea ya kaskazini zilivuka mpaka na kuingia korea ya kusini na kutamba kwenye anga hilo kwa masaa 7!! Kuona drones zimeingia kwenye anga lake, korea ya kusini ilituma ndege zake za kivita ili kuzishambulia bila mafanikio. Ndege za kivita za korea ya kusini zilizirushia makombora 100 lakini makombora yote hayo yaliambulia patupu!!!

Kilichoshtua sana ni kuwa drone moja ilienda mpaka pembezoni mwa anga lililo juu ya mji mkuu wa korea ya Kusini-Seoul. Ndege nyingine ya korea ya kusini ilirushwa kwenda kuongezea nguvu lakini iliishia kuanguka!! Kuona hivyo korea ya kusini ikahisi kuwa ndege yake imepigwa tochi (imeelekezewa electronic warfare na kuzidiwa), hivyo korea ya kusini ikatoa amri ndege zake za kijeshi zikiwemo za kiraia zisiruke kwa masaa kadhaa!!

Baada ya kufanya "manuva" kwenye anga la korea ya kusini kwa masaa 7 na zikafanikiwa kukwepa makombora 100 toka ndege za kijeshi za korea ya kusini, drones hizo zilirudi kwenye vituo vyake huko korea ya kaskazini zikiwa salama salimini!!

Hebu fikiri hasara iliyopata korea ya kusini: 1. Ndege yake moja ya kijeshi imedondoka na kuwaka moto japo marubani wake wawili waliruka kwa miamvuli 2. Makombora 100 ya gjarama kubwa yamerushwa bila mafanikio!! Hii imetokea siku kadhaa baada ya Marekani na Korea ya Kusini kufanya MAZOEZI ya pamoja ya KIJESHI ili kujilinda na kitisho cha Korea ya Kaskazini. Hii inaonesha kuwa Marekani haina uwezo wa kulinda anga lolote kwa uhakika!!

Kama ilishindwa kulinda anga la kituo chake cha kijeshi nchini Iraq hadi ikashambuliwa na makombora lukuki nya Iran, inabidi mtu awe anafikiri kwa kutumia tumbo kuamini kuwa Marekani inaweza kulinda kwa ukamilifu anga la nchi yoyote ikiwemo UKRAINE!!!

Details of North Korean drone incident revealed – media​

A North Korean drone ventured into its neighbour’s airspace for at least seven hours, South Korean media said, citing the military
Details of North Korean drone incident revealed – media

A South Korean Army Apache helicopter fires.

The South Korean military has said it fired more than 100 rounds at a trespassing North Korean drone on Monday, but failed to down it, according to Yonhap news agency. It is estimated that several unmanned aerial vehicles (UAV) remained in the South Korean airspace for seven hours.
 
Mtaacha lini kupost ujinga humu?

Details of North Korean drone incident revealed – media​

A North Korean drone ventured into its neighbour’s airspace for at least seven hours, South Korean media said, citing the military
Details of North Korean drone incident revealed – media

A South Korean Army Apache helicopter fires.
The South Korean military has said it fired more than 100 rounds at a trespassing North Korean drone on Monday, but failed to down it, according to Yonhap news agency. It is estimated that several unmanned aerial vehicles (UAV) remained in the South Korean airspace for seven hours.
 
Wanakuja team nato kujibu mapigo vikali
Acha waje wakutane na ushahidi huu hapa:

Details of North Korean drone incident revealed – media​

A North Korean drone ventured into its neighbour’s airspace for at least seven hours, South Korean media said, citing the military
Details of North Korean drone incident revealed – media

A South Korean Army Apache helicopter fires.

The South Korean military has said it fired more than 100 rounds at a trespassing North Korean drone on Monday, but failed to down it, according to Yonhap news agency. It is estimated that several unmanned aerial vehicles (UAV) remained in the South Korean airspace for seven hours.
 
Yaaani unavyoandika kishabiki utadhani unasimlia mechi ya mpira ya FAINALI za kombe la dunia
Hujawahi kuwasikia wanaoshabikia Marekani/NATO (almaarufu kama mashabiki wa ushoga) ambavyo huwa wanaishobokea marekani? Au na wewe ni mmojawapo? Marekani imejiweka kama mbabe wa dunia lakini inapigwa za uso kila uchwao!! Nikukumbushe tu Marekani ilivurumishwa huko Afghanistan na Taleban ikakimbia na kuacha silaha zake nyuma!! Hilo timu Marekani hujifanya kama hailifahamu!!
 
Kama drone ilipiga 600km deep in russia, tena kwenye airbase sasa hapo nini cha ajabu.

Alafu kuwa na akili kidogo huwezi tumia THAAD/PARTIOT kwenye cheap target kama hizo.

Kwa hiyo ukiona 100 rounds akili yako inakwambia makombora 100 ? (Pole sana)
Usipotoshe!! Drone haikupiga Russia, bali DRONE ILIPIGWA na kudondoshwa na AIR DEFENSE za Urusi, yale masalia yake/debris yakiwa yanawaka moto ndo yakawaagulia askari 3 waliokuwa kwenye ulinzi. Soma mwenyewe kipande cha habari toka CNN, au ingia kwenye tovuti ya mashirika mbali mbali ya habari ujisomee mwenyewe!

CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory.

Kama hauijui lugha ya Malkia tafuta mkalimani!!
 
Shukran Chief. Umekazia post yangu hapo juu.
Kama unaijua lugha ya malkia soma hapa au tafuta mkalimani. Drones hazikupiga uwanja bali ZILIPIGWA na AIR DEFENSE za Urusi wakati zinakaribia kiwanja cha ndege!! Masalia ya drones/Debris yakiwa yanaungua baada ya kupigwa ndio yaliwaangukia baadhi ya walinzi wa uwanja.

CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory.

Kama hauijui lugha ya malkia usione aibu, omba mkalimani kuliko kujiaibisha jukwaani hapa na kudai kitu ambacho hakipo.
 
Usipotoshe!! Drone haikupiga Russia, bali DRONE ILIPIGWA na kudondoshwa na AIR DEFENSE za Urusi, yale masalia yake/debris yakiwa yanawaka moto ndo yakawaagulia askari 3 waliokuwa kwenye ulinzi. Soma mwenyewe kipande cha habari toka CNN, au ingia kwenye tovuti ya mashirika mbali mbali ya habari ujisomee mwenyewe!

CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory.

Kama hauijui lugha ya Malkia tafuta mkalimani!!
Aisee jamaa kumbe dunia imekuacha eenh.

Je unajua 5 December, Engels ilipigwa. Hii ni se cond time bro.

Pia inakuaje drone ina safiri 600km deep into your country?
 
Kama unaijua lugha ya malkia soma hapa au tafuta mkalimani. Drones hazikupiga uwanja bali ZILIPIGWA na AIR DEFENSE za Urusi wakati zinakaribia kiwanja cha ndege!! Masalia ya drones/Debris yakiwa yanaungua baada ya kupigwa ndio yaliwaangukia baadhi ya walinzi wa uwanja.

CNN —
Three Russian servicemen were killed Monday after a Ukrainian drone was shot down by air defenses as it approached a military airfield in Saratov Oblast, deep inside Russian territory.

Kama hauijui lugha ya malkia usione aibu, omba mkalimani kuliko kujiaibisha jukwaani hapa na kudai kitu ambacho hakipo.
Na wewe hata uwage na akili uache mahaba. Hii ni second time Engels inalengwa. Mbona unajizima data mzee

View attachment 2459118
 
Kilichoniogopesha ni drone moja ya korea kaskazini kwenda karibu na mji mkuu wa korea kusini wa Soul,mishoga imeshindwa kutungua hata drone moja, wataalamu wanasema hizo drone zimefanikiwa kufanya upelelezi na kupiga picha maeneo nyeti ya kijeshi ya korea kusini
 
Back
Top Bottom