Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,828
- 10,874
Kama ticha miyeyusho lazima uzingue aisee.Hii topic ilinikimbiza chuo cha maji, nafkr ticha wetu alikuwa miyeyusho Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ticha miyeyusho lazima uzingue aisee.Hii topic ilinikimbiza chuo cha maji, nafkr ticha wetu alikuwa miyeyusho Sana
America anavosema kua hao hawastahili kumiliki mambohayo ,yukosahihi tumuunge mkonoHesabu hiyo, hujawai kulenga vindege kwa manati vikiwa vinaruka??? Hesabu ya kawaida unaangalia speed ya silaa yako, umbali na speed ya kilengwa, unakitangulizia kwa mbele kitu buuuuuuum!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuuliza Si Ujinga!Kuna vitu vingine ni high level kama ujasoma mambo ya projectile motion hutambulia kitu Endelea kupiga kitabu apo Datstar college mambo ya Tourism and Hospitality. Mana physics sio poa mkuu
Ndege za kawaida ndio zinakwenda900km/hr jet fighter ni zaidi.Mbona hiyo teknolojia unayoishangaa ni teknolojia ya zamani sana,kama wanaweza kitungua jetfighter zenye kwenda mpaka km 900 kwa saa sembuse ndege za kawaida za abiria...!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisharekebisha hiyo post...
Hayo mabomu ya kutungua ndege yanafuata moshi, kwa hiyo Bomu linaenda moja kwa moja kwenye exhaust pipe, hata ikitokea ndege ikakata kona Bomu linafuataWadau nimesoma hii post kuwa ndege ya Ukraine ilitunguliwa na Iran kimakosa.
Pamoja na tukio hili na mengine ya ndege kutunguliwa , kuna mshangao kidogo...
Ndege ikiwa angali huenda umbali (elevation from sea level) mpaka ya futi 33,000 ( kilomita 20) na kwa speed ya mpaka 990km/hr.
Inatunguliwaje katika hizo scenario wakuu ?
Hatimaye Serikali ya Iran imekiri kuitungua ‘kwa bahati’ mbaya ndege ya Ukraine iliyoua watu 176, ikisema ni “kosa lisilosameheka.”
Ndege ya Ukraine aina ya Boeing 737-800 ilianguka Jumatano asubuhi muda mfupi baada ya kuruka wakati Iran ikirusha makombora dhidi ya kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Iraq kulipiza kisasi kwa mauaji ya kiongozi wake wa kijeshi, Qasem Soleimani.
Taifa hilo limeeleza kujutia kitendo hicho kilichosababisha maafa makubwa, amesema Rais wa Iran Hassan Rouhani kupitia ukurasa wake wa Twitter.
“Uchunguzi wa ndani wa vyombo vya dola umebainisha kuwa kwa bahati mbaya makombora yaliyorushwa kwa makosa ya binadamu yalisababisha ndege ya Ukraine kuanguka na vifo vya watu 176 wasio na hatia,” aliongeza.
“Uchunguzi unaendelea kuwatambua na kuchukua hatua kwa kosa hilo lisilokuwa na msamaha.”View attachment 1319372View attachment 1319373
Sent using Jamii Forums mobile app
🤔 kweli ?Nashangaa watu wanapondaga na huku watalaamu wanahitajika kila kona.
Haya mahesabu nimecheza nayo sana kwenye university physics ile ya njano nikiwa advance. Ni vitu vya kawaida kwa msoma physics Nina imani tunaelewana
Nashangaa watu wanapondaga na huku watalaamu wanahitajika kila kona.
Haya mahesabu nimecheza nayo sana kwenye university physics ile ya njano nikiwa advance. Ni vitu vya kawaida kwa msoma physics Nina imani tunaelewana
Hukusoma Projectile motion hebu google upate hints hafu urudi tenaWadau nimesoma hii post kuwa ndege ya Ukraine ilitunguliwa na Iran kimakosa.
Pamoja na tukio hili na mengine ya ndege kutunguliwa , kuna mshangao kidogo...
Ndege ikiwa angali huenda umbali (elevation from sea level) mpaka ya futi 33,000 ( kilomita 20) na kwa speed ya mpaka 990km/hr.
Inatunguliwaje katika hizo scenario wakuu ?
Hatimaye Serikali ya Iran imekiri kuitungua ‘kwa bahati’ mbaya ndege ya Ukraine iliyoua watu 176, ikisema ni “kosa lisilosameheka.”
Ndege ya Ukraine aina ya Boeing 737-800 ilianguka Jumatano asubuhi muda mfupi baada ya kuruka wakati Iran ikirusha makombora dhidi ya kituo cha kijeshi cha Marekani nchini Iraq kulipiza kisasi kwa mauaji ya kiongozi wake wa kijeshi, Qasem Soleimani.
Taifa hilo limeeleza kujutia kitendo hicho kilichosababisha maafa makubwa, amesema Rais wa Iran Hassan Rouhani kupitia ukurasa wake wa Twitter.
“Uchunguzi wa ndani wa vyombo vya dola umebainisha kuwa kwa bahati mbaya makombora yaliyorushwa kwa makosa ya binadamu yalisababisha ndege ya Ukraine kuanguka na vifo vya watu 176 wasio na hatia,” aliongeza.
“Uchunguzi unaendelea kuwatambua na kuchukua hatua kwa kosa hilo lisilokuwa na msamaha.”View attachment 1319372View attachment 1319373
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani lilitumika laser guided missile, hili ndilo hufuata targeted object hata ikibadili mwelekeo...Hili sio la aina hiyo. Kuna mchangiaji mmoja amesema kuwa aina hii ya makombola hufuata uelekeo wa targeted object, kwa maana ya kuwa ikitokea hiyo object ika-change direction kabla ya kufikiwa na kombola, kombola nalo hubadili uelekeo kuifuata. Tofauti na aina hii unayoongelea, ambayo mara nyingi hutumika kupiga stationary objects. Hapa hupigwa hesabu ya target ilipo (range), kimo (maximum height) itakayofikiwa na hilo kombola, na projection speed yake. Wengine wanaenda mbali zaidi, wanapiga hesabu za magnitude ya velocity ya hilo kombola at the instant it is shooting the target. Hiyo ndio projectile motion unayosema (trajectory motion).
Nadhani lilitumika laser guided missile, hili ndilo hufuata targeted object hata ikibadili mwelekeo...
Thana ya kufuata moshi ni technology ya miaka ya 50.Sasa ni laser guided missle na artificial intelligence kombora lenyewe likiwa angani likigundua badiliko nalo linapiga akili linabadili uelekeo.Hayo mabomu ya kutungua ndege yanafuata moshi, kwa hiyo Bomu linaenda moja kwa moja kwenye exhaust pipe, hata ikitokea ndege ikakata kona Bomu linafuata
Huyo mmarekani akipiga maharusi na wanafamilia na kuua mamia ya watu akidhani anapiga msafara wa Al Awlaki huko Yemen those years yeye ndie wa kupongezwa sio ! Acha bhanaaa !Mwarabu muda mwingine akili zao si za kawaida mnapiga ndege na kuua mnasema ni bahati mbaya USA some time nampongeza