The Whistleblower
Senior Member
- Dec 9, 2022
- 137
- 224
Wanajamvi aina ya hizi ndege zimepigwa marufuku sehemu nyingi sana Duniani baada ya mfululizo wa ajali.
Inadaiwa Boeing 737 Max, ni ndege za kisasa mno lakini zina hitilafu kwenye mifumo yake ya utengenezajji.
Ethiopia hii ndege ilianguka na kuua watu wote, majuzi Marekani hii ndege mlango wake ulifunguka ikiwa angani.
Inadaiwa hizi ndege zimeshusha mno hadhi ya ndege za Boeing Duniani, kwa hiyo zimekuwa grounded na hivyo nyingi kurudishwa kiwandani.
Tanzania leo imepokea ndege hiyo hiyo ya Boeing 737 Max,wanajamvi hii imekaaje?
Inadaiwa Boeing 737 Max, ni ndege za kisasa mno lakini zina hitilafu kwenye mifumo yake ya utengenezajji.
Ethiopia hii ndege ilianguka na kuua watu wote, majuzi Marekani hii ndege mlango wake ulifunguka ikiwa angani.
Inadaiwa hizi ndege zimeshusha mno hadhi ya ndege za Boeing Duniani, kwa hiyo zimekuwa grounded na hivyo nyingi kurudishwa kiwandani.
Tanzania leo imepokea ndege hiyo hiyo ya Boeing 737 Max,wanajamvi hii imekaaje?