Ally Mwakujonga
New Member
- Oct 17, 2020
- 2
- 1
for sure the man"Zzk"played the major role.....am not thnkng kweny bunge la sas yup mtu makin...kam zzkToka
Richmond
Epa
Escrow
Operations tokomeza
Katiba mpya
Funga zote ambalo hamna mwingine zaidi yake ni lile la kuchukua mshahara wake tu na kuagiza posho ziingizwe kwenye mfuko wa jimbo
Hivyo aproximately ni kama majimbo yake yalikuwa yanapata 150M zaidi ya watanzania wengine kwa mwaka.
Nadhani kwa alivyoisaidia hii nchi kwa mawazo mengi na kujitolea kuokoa mabilion ya pesa nchi hii, shukrani pekee ya watanzania kwake ni kumpa Urais 2025.
#Vote4Zzk ,chaguamwami #2025uzalendombele