barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
licha ya hivyo ukweli unabaki, chadema haipendwi kama mnavyodhani humi ktk mitandao ya kijamii.Of course kwa mfumo wa siasa na uchaguzi uliopo sasa, ni vigumu kwa chama tofauti na CCM kushika dola! Utashindanaje na chama dola kweli?
CCM kama ina ubavu, iache mazingira ya ushindani yawe fair na transparent! Halafu tuone kama unaweza kusema ulivyosema.