Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,842
- 31,075
Umemsahau Mwenyekiti wako anavyotukuza ukanda??Tatizo la Chadema ni ukanda!!!
Unaweza kuiitaje hatua ya Rais Magufuli kuwambia wakazi wa Mwanza kuwa "wasibomoleshwe" kwa kuwa CCM ina human face, wakati huo huo "akiwabomolesha" wakazi wa Kimara hadi Kiluvya bila hata ya kulipwa fidia, kwa kuwa wakazi hao walichagua Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015!