Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

misaada kutoka kutoka nchi za magharib are inevitable....masharti ya misaada hiyo are inevitable too. Hii foreign aid dependancy ipo fo centuries jmn..!! tumenogezwa na kuzubaishwa na misaada. Tumeshindwa kusimama wt our own feet. Mtu pekee unaeweza kumdindia ni yule uliemzid kitu flan....Africa watakataa ushoga ikiwa tuu waacha kutegemea misaada kutoka uzunguni na kuanza kujitegemea wit thea own resources! zaid ya mugabe nani mwenye moyo huo???????
 
[QUOTE

Tabia ya kuku huwa anaangalia pale alipo, wewe ndivyo ulivyo humfikii kitila hats Robo nenda shule mwanangu,
 
[QUOTE

Tabia ya kuku huwa anaangalia pale alipo, wewe ndivyo ulivyo humfikii kitila hats Robo nenda shule mwanangu,

unadhni shule inasaidia basi kwenye kuchambua mambo ya kijamii...wala usijidanganye ... shule haihusiani .. huu ni uwezo wa mtu tu hinafsi.

Hakuna Somo linaitwa ushoga kwnye taasisi ya elimu yeyote. .
 
Ina maana hujui madhara watakayopata Uganda kwa kunyimwa hiyo misaada?You must be one those uninformed Chadema supporters whose decision making is ruled by emotions and not reasoning or rationale.Uganda waliahidiwa kupewa karibu dollar million 90 kwaajili ya mradi wa afya je unadhani Uganda watapata wapi pesa kufidia kiasi hicho cha pesa walichoahidiwa na World Bank (USA Agency) ili kuendelea na miradi ya afya waliyokwishaipanga?However i still support Museven decision to sign a bill that bans a same sex marriage in Uganda.
Nawe???? Mbona kioja hiki, unatueleza (3 +5) - 8 = ..... halafu unasema hesabu katika mabano ni sahihi zaidi kuliko 8 mi sielewi sifa zako kwa Kitila na M7 halafu unasema amefanya vema kwa kusaini sheria....!
 
kwa jinsi nilivyomsoma anataka afrika isiwape adhabu yoyote mashoga! Naungana na kichwa cha habari..kama M7 amekataa ushoga lakini kitila anambeza, hii inamaanisha angekataa kusaini mswada kitila angempongeza m7. Lim7 hata kama ni lidikteta lakini hebu tulipongeze kwa kukataa ushoga. Ni mashoga tu ndio wanamuunga mkono!

hiki ndicho alichokionyesha Mtikila exacttly ...
 
Sina hakika kama umeelewa alichomaanisha Kitila!

Sidhani kama Kitilia hajaeleweka kwa watu wanaotumia kichwa kufikiria? Kitendo cha Kusema Viongozi wa Africa wanajivisha ubabe inamaana aalitaka viongozi wa Africa Kama Museveni akubali Ushoga kisa Misaada? Hapa ni wazi kuwa Dr Kitilia Ametetea Ushoga na ndio viongozi tunaowategemea wa leo wanaopenda kuyumbishwa na kutumiwa na watu wengine? hakika Kitilia kwa hili amepotoka? Hii inamuonesha ni kiongozi asiye na msimamo na w kuyumbishwa. unafikiri kesho akiwa waziri au rais hataruhusu USHOGA kisa mashrti ya mataifa tajiri? Namalizia kwa Kusema Kitilia kwa hili amepotoka? na hajitambui kama Mwaafrica?
 
Akiwa anaongea kwenye mahojiano moja kwa moja na mtangazajiwa BBC SAHILI Charles Hillary ...

Dk Mkumbo ameonekana akiutetea ushoga na kusema Museven kajivika ubabe aisiokua na uwezo nao .. Ni baada ya kuulizwa anaonaje issue juu ya Uganda na misaada iliyozuiwa na world bank baada yakupitishia sheria kali ya kuzuia ushoga ..

Kitila mkumbo kwa jinsi aliivyoongea ananyesha kabisa kwamba ni lazima nchi za Africa kuukubali ushoga .



============================
Ufafanuzi toka kwa Dr. Kitila Mkumbo
============================

Kama nitakuwa nimemuelewa Dr Mkumbo, ujasiri huu wa Mseveni ungetakiwa pia uonekane katika kushughulikia matatizo makubwa na sugu ya nchini kwake kama vile RUSHWA, wizi wa RASILIMALI, HIV na UKIMWI, na umaskini uliokithiri.

Ushoga ni si jambo ZURI na si sehemu ya utamaduni wetu na kwa hivyo lazima upigwe vita kwa nguvu, lakini itakuwa ni ajabu tukitumia nguvu kubwa katika kupambana na ushoga tu, wakati matatizo mengine ambayo ukiyatazama ni makubwa kuliko hata ushoga tukizembea au kuyapuzia katika kuyapunguza na kuyamaliza.

Alichomaanisha Dr. Kitila, pamoja na kwamba Mseveni anachukizwa na ushoga, lakini anataka kuitumia vita ya ushoga kama mtaji wa kisiasa kwa kurejesha imani yake kwa waganda. Lengo lake hilo la kuhakikisha jamii ya kiganda inaishi bila ushoga lingeenda sanjari na kupambana na umaskini na umaskini wa kipato na pia serikali ingejitahidi kuhakikisha kipato chake na ulinzi wa fedha za umma unakuwa kwa kiwango kikubwa. Hivi kama tungejiweza kiuchumi MAREKANI ingesema yote hayo au ingetudindisha na misaada yake?

TUPAMBANE NA USHOGA LAKINI PIA TUIMARISHE UCHUMI WA NCHI ZETU.

Kwa maelezo hayo Dr. Kitila hakuna mahala alipotetea ushoga, Mseveni ameshindwa kutatua matatizo mengine sugu ya waganda na ya kwamba anatumia kete ya ushoga kuwapumbaza waganda, na katu kauli hii haimaanishi msemaji(Dr. Kitila) anautetea USHOGA, angesema MASHOGA wanastahili kuheshimiwa na kuthaminiwa hapo kweli tungeweza kusema anautetea ushoga.

Kumtaka rais wa Uganda na serikali za Afrika zitambue kuna matatizo makubwa kuliko hata ushoga huko si kutetea ushoga, kwani ni kweli yapo matatizo makubwa kuliko hata ushoga, kama vile HIV na UKIMWI, RUSHWA, vifo vya watoto chini ya miaka 5, malaria, ujangiri na umaskini uliokubuhu.

Serikali shupavu isiishie kupambana na ushoga tu, bali pia ioneshe nia ya dhati ya kupambana na matatizo mengine hayo ambayo kimsingi yanaathiri maisha ya taifa na kila mmoja wetu moja kwa moja kuliko hata ushoga.


Tutake Ushoga utungiwe sheria kali na sheria hiyo itekelezwe kivitendo, lakini hivi pia sisi kama umma tunatumia nguvu hii kutaka serikali itunge sheria kali dhidi ya walarushwa na sera zenye kuwezesha upatikanaji wa huduma ya afya na hifadhi ya jamii kwa kila mmoja wetu? Dr. Kitila imetoa rai tuelekeze nguvu hii, katika matatizo haya pia, na rai yake hii katu haimfanyi kuwa ni mtetezi wa mashoga na ushoga. Dr. Kitila ametoa rai tuelekeze nguvu hii, katika matatizo haya pia, na rai yake hii katu haimfanyi kuwa ni mtetezi wa mashoga na ushoga.




ASANTE DR.KITILA NA POLE YA WALE WASIOKUELEWA.

Njano5.
0784845394
 
Sidhani kama Kitilia hajaeleweka kwa watu wanaotumia kichwa kufikiria? Kitendo cha Kusema Viongozi wa Africa wanajivisha ubabe inamaana aalitaka viongozi wa Africa Kama Museveni akubali Ushoga kisa Misaada? Hapa ni wazi kuwa Dr Kitilia Ametetea Ushoga na ndio viongozi tunaowategemea wa leo wanaopenda kuyumbishwa na kutumiwa na watu wengine? hakika Kitilia kwa hili amepotoka? Hii inamuonesha ni kiongozi asiye na msimamo na w kuyumbishwa. unafikiri kesho akiwa waziri au rais hataruhusu USHOGA kisa mashrti ya mataifa tajiri? Namalizia kwa Kusema Kitilia kwa hili amepotoka? na hajitambui kama Mwaafrica?

kitila ameeleweka vizuri tu ...." amesema viongozi wengi wa kiafrika wanajivisha ushujaa bandia wa kushupalia mambo madogo kama ushoga, huku wakifumbia macho masuala mazito kama ufisadi yanayoyatafuna mataifa mengi.....amekwenda mbali zaidi kwa kusema...Museveni anatafuta karata ya kuungwa mkono zaidi kuendelea kubaki madarakani kwa kutumia suala la ushoga.
 


Kama nitakuwa nimemuelewa Dr Mkumbo, ujasiri huu wa Mseveni ungetakiwa pia uonekane katika kushughulikia matatizo makubwa na sugu ya nchini kwake kama vile RUSHWA na wizi wa RASILIMALI. Ushoga ni si jambo ZURI na si sehemu ya utamaduni wetu na kwa hivyo lazima upigwe vita, lakini itakuwa ni ajabu tukitumia nguvu kubwa katika kupambana na ushoga wakati matatizo mengine ambayo ukiyatazama ni makubwa kuliko hata ushoga tukizembea au kuyapuzia katika kuyapunguza na kuyamaliza.

Alichomaanisha Dr. Kitila, pamoja na kwamba Mseveni anachukizwa na ushoga, lakini anataka kuitumia vita ya ushoga kama mtaji wa kisiasa kwa kurejesha imani yake kwa waganda. Lengo lake hilo la kuhakikisha jamii ya kiganda inaishi bila ushoga lingeenda sanjari na kupambana na umaskini na umaskini wa kipato na pia serikali ingejitahidi kuhakikisha kipato chake na ulinzi wa fedha za umma unakuwa kwa kiwango kikubwa. Hivi kama tungejiweza kiuchumi MAREKANI ingesema yote hayo au ingetudindisha na misaada yake?

TUPAMBANE NA USHOGA LAKINI PIA TUIMARISHE UCHUMI WA NCHI ZETU.

Kwa maelezo hayo Dr. Kitila hakuna mahala alipotetea ushoga, Mseveni ameshindwa kutatua matatizo mengine sugu ya waganda na ya kwamba anatumia kete ya ushoga kuwapumbaza waganda, na katu kauli hii haimaanishi msemaji anautetea USHOGA, angesema MASHOGA wanastahili kuheshimiwa na kuthaminiwa hapo kweli tungeweza kusema anautetea ushoga. Kumtaka rais wa Uganda na serikali za Afrika zitambue kuna matatizo makubwa kuliko hata ushoga huko si kutetea ushoga, kwani ni kweli yapo matatizo makubwa kuliko hata ushoga, kama vileHIV na UKIMWI, RUSHWA, vifo vya watoto chini ya miaka 5, malaria, ujangiri na umaskini uliokubuhu.

Serikali shupavu isiishie kupambana na ushoga tu, bali pia ioneshe nia ya dhati ya kupambana na matatizo mengine hayo ambayo kimsingi yanaathiri maisha ya taifa na kila mmoja wetu moja kwa moja kuliko hata ushoga.

ASANTE DR.KITILA NA POLE YA WALE WASIOKUELEWA.



asante kwa ufafanuzi mzuri.
 
dr kitila umenifedhehesha sana,USHOGA HAUWEZ KUWA TATIZO KUBWA KAMA RUSHWA?!!!!seriously..,unataka sasa jamii ione USHOGA ni jambo la kawaida2?!!Rushwa na USHOGA ni matatizo makubwa na mazito sana dr,yote yanapaswa kushughulikiwa kwa nguvu na ari thabiti hasa la USHOGA ambalo binafsi linadhalilisha jamii ye2 kwa ujumla
 
Ndugu yangu Kitila kumbuka kuwa pamoja na matatizo waliyo nayo viongozi wa Africa kuwa mengi,tunapashwa kumpongeza Museveni.Ukiwa na matatizo 20 ukaongelea moja ni mwanzo mzuri.Je raisi wetu ana msimamao gani?rushwa imekaa,ushoga umekaa,uvunjifu wa haki za Binadamu umekuwa maisha ya kawaida,Wiz wa pesa za serikali limekuwa jambo la kwaida mpaka wanaofanya hivyo tunawaita wajanja,wako Bungen,hata kwenye Bunge laKatiba tunawaona.Ni bora kuongealea tatitiza na kulikubali kuliko kukaa kimya.Ushoga ni dhalau ya hali ya juu kabisa kwa Mwenyezi Mungu,ndiyo maana kwenye Biblia wanaitwa MBWA.Huko nje kuna Mbwa.Hakuna anayezaliwa ili awe Shoga.Kwenye Biblia wanaambiwa hao Matowashi na wadumu katika kumtumikia MUNGU maana hao hawana cha kujifunga nancho,kwani hawana Familia.Kitila bila kumung'unya manaeno Ushonga ni mbaya kuliko dhambi zote za Dunia hii.Tuache kubadiri matumizi ya Asili,kumbuka anaye shabikia ushoga tatapata adhabu ya shoga siku ya mwisho.Mwisho kabisa Nchi kama Tanzania,Uganda kutegemea misaada hata kuwemo kwenye lisiti ya nchi masikini ni aibu kwa Resources tulizo nazo.Tuupinge ushoga kwa nia moja laana isije ikatuangukia Watanznia.Kumbuka tunapinga ushoga si Utoashi.
 
Huwezi ukasema neutral alafu ukasema hautetei ushoga..ww n mtetea ushoga.eti ushoga cyo tatzo kubwa!mmh!?hi noma dr.,
 
Mkuu Kitila,
Naona huko mnakofundisha mtakuwa mna kazi ngumu kweli kweli, maana kama interview ndogo tu hii watu wanashindwa kuelewa, huko wanakohangaika na Kiingereza si hata itakuwa balaa?

Hii inanikumbusha ile ya Bush na genge lake la Conservative kwamba you either with us or with the terorrists.

Hapa kuna akili ndogo hailewi kabisa kwamba mtu unaweza kupinga ushoga na wakati huo huo ukapinga ubabe wa akina Museveni.

In fact mtu kama Museven kuja na sheria hii ni kwasababu ni mwanasiasa na anajua kuna kundi kubwa la watu ambao ni rahisi kuwadanganya na kuwafanya wasahahau matatizo yao yote na kulewa kwenye mijadala ya ushoga huku matatizo yanayolifanya bara la Afrika liendelee kuwa maskini kama vile rushwa, ufisadi, uongozi mbovu, udikteta nk. yako pale pale.

Watu wanashangilia misaada ya watu wa Magharibi lakini wanajifanya kuchukia masharti yao. Toka lini omba omba akawa na uchaguzi?

Ushoga ni tatizo dogo sana kwa Afrika na sheria zilizopo zinatosha kabisa kulishughulikia. Hizi kelele za sheria mpya ni smokescreen tu ili kuficha failures zao kwenye mambo mengine ya msingi kwa bara letu la Afrika.

Njia pekee ya kuwa huru ni kujitegemea kiuchumi. Leo hii Ulaya na USA hawawezi kusema lolote kuhusu haki za binadamu China kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita kwasababu tu China inajitegemea kiuchumi.



Tusipotoshe. Katika mazungumzo yangu sikutetea wala kupinga ushoga kwa sababu hiyo haikuwa mada. Nilichosema:

i) Misaada kutoka nchi za magharibi huambatana na masharti. Masharti mengi yanalenga katika kuchochea utawala bora hasa ukilenga kukuza demokrasia ya kimagharibi na kulinda haki za binadamu. Moja ya haki ambazo zinalindwa sana na nchi za kimagharibi ni haki za wapenzi wa jinsi moja. Kwa hiyo ilitarajiwa kwamba nchi hizo zingeikatia misaada nchi ya Uganda pale ambapo Rais Museveni angesaini sheria inayotoa adhabu kali kwa wapenzi wa jinsi moja. Nikasisitiza hakuna njia ya kukwepa masharti haya kama nchi za kiafrika zitaendelea kutegemea misaada kutoka magharibi. Hatuwezi tukala keki na tukawa nayo at the same time.

ii) Viongozi wa kiafrika wanapenda kujivika ujasiri bandia katika mambo yasiyo na tija. Katika bara la Afrika kuna matatizo mengi na makubwa zaidi kuliko ushoga. Lakini wanatumia kadi ya ushoga kwa sababu ni swala gumu katika bara la Afrika ili kujipatia umaarufu hewa. Ushoga haliwezi kuwa tatizo kubwa kuliko rushwa na wizi wa raslimali unaoendelea bara la Afrika. Rais Museveni ana matatizo makubwa ya kiutawala na hali yake kisiasa si njema kuelekea uchaguzi wa mwaka 2016 na anatumia hili la ushoga ili kujikweza na kujiweka sawa katika kuwasaulisha waganda matatizo ya kisiasa na kiuchumi yaliyosababishwa na utawala wake. Anatumia pia kadi ya ushoga ili aendelee kugombea kiti cha urais wakati alipaswa kuondoka juzi.

Bahati mbaya mawasiliano yalikatika na nikaishia hapo.
 
kitila ameeleweka vizuri tu ...." amesema viongozi wengi wa kiafrika wanajivisha ushujaa bandia wa kushupalia mambo madogo kama ushoga, huku wakifumbia macho masuala mazito kama ufisadi yanayoyatafuna mataifa mengi.....amekwenda mbali zaidi kwa kusema...Museveni anatafuta karata ya kuungwa mkono zaidi kuendelea kubaki madarakani kwa kutumia suala la ushoga.
swala la Ushoga hakika si la kulifumbia macho kama Kitilia ameona Ushoga ni jambo dogo kwake? Swala la Ufisadi haikuanzia Africa ni hao hao wamaharibi waliwatumia Waafrica kwa njaa zetu na kupenyeza huo ufisadi kwa kutuchukulia rasilimali zetu leo hii Kitilia kisema Ushoga ni jambo dogo hakika Mugabe angemsikia angataka akaolewe na kuwa mke mdogo? Ushoga si jambo dogo hata Ng'ombe asiyekuwa na akili afanyi hujinga huo leo binadamu na utashi wao wanatetea ushoga.
 
Kitila na ZITO wanaweza kuingiza nch kwenye uliberali..nachama chao act.hawa wanatamaa sna..wakuogopwa sna
 
Mkuu Kitila,
Naona huko mnakofundisha mtakuwa mna kazi ngumu kweli kweli, maana kama interview ndogo tu hii watu wanashindwa kuelewa, huko wanakohangaika na Kiingereza si hata itakuwa balaa?

Hii inanikumbusha ile ya Bush na genge lake la Conservative kwamba you either with us or with the terorrists.

Hapa kuna akili ndogo hailewi kabisa kwamba mtu unaweza kupinga ushoga na wakati huo huo ukapinga ubabe wa akina Museveni.

In fact mtu kama Museven kuja na sheria hii ni kwasababu ni mwanasiasa na anajua kuna kundi kubwa la watu ambao ni rahisi kuwadanganya na kuwafanya wasahahau matatizo yao yote na kulewa kwenye mijadala ya ushoga huku matatizo yanayolifanya bara la Afrika liendelee kuwa maskini kama vile rushwa, ufisadi, uongozi mbovu, udikteta nk. yako pale pale.

Watu wanashangilia misaada ya watu wa Magharibi lakini wanajifanya kuchukia masharti yao. Toka lini omba omba akawa na uchaguzi?

Ushoga ni tatizo dogo sana kwa Afrika na sheria zilizopo zinatosha kabisa kulishughulikia. Hizi kelele za sheria mpya ni smokescreen tu ili kuficha failures zao kwenye mambo mengine ya msingi kwa bara letu la Afrika.

Njia pekee ya kuwa huru ni kujitegemea kiuchumi. Leo hii Ulaya na USA hawawezi kusema lolote kuhusu haki za binadamu China kama ilivyokuwa miaka 10 iliyopita kwasababu tu China inajitegemea kiuchumi.

Ndege wa Jamii moja huruka pamoja! nikimaanisha watu wanaondekeza ushoga lazima waseme ushoga ni jambo dogo......na lazima mashoga wateteane? Haki gani ya binadamu inayomdharirisha mwanadamu?
 
..mwanasiasa anatakiwa achunge kauli zake.

..masuala yenye utata yanatakiwa kuzungumzwa ktk namna ambayo there is no room for misinterpretation.

..bora ameshatimuliwa CDM, maana pangechimbika hapa.

Sikatai mkuu
samahani mkuu, kwenye ushoga kuna demokrasia?? sometimes sioni umuhimu wa kumlaumu hitler
Kama kuna mambo hatupaswi kuyapa nafasi hata ya kuyaongelea Africa ni suala la ushoga. Hata siku moja tusihalalishe u.puuzi kwa vigezo vya "democrasia"

Sidhani kama Kitilia hajaeleweka kwa watu wanaotumia kichwa kufikiria? Kitendo cha Kusema Viongozi wa Africa wanajivisha ubabe inamaana aalitaka viongozi wa Africa Kama Museveni akubali Ushoga kisa Misaada? Hapa ni wazi kuwa Dr Kitilia Ametetea Ushoga na ndio viongozi tunaowategemea wa leo wanaopenda kuyumbishwa na kutumiwa na watu wengine? hakika Kitilia kwa hili amepotoka? Hii inamuonesha ni kiongozi asiye na msimamo na w kuyumbishwa. unafikiri kesho akiwa waziri au rais hataruhusu USHOGA kisa mashrti ya mataifa tajiri? Namalizia kwa Kusema Kitilia kwa hili amepotoka? na hajitambui kama Mwaafrica?

Ni mtazamo tu mkuu, ila kama kuna Mwafrica mwenye akili timamu atetee USHOGA, basi ni bora afe siku hiyo hiyo kupitia mateso makali akiwa hai!!!
 
Wote wanaoonesha kuwa wanasapoti ushoga si vibaya nika conclude kuwa nao ni mashoga regardless of their justified opinions.
Toka enzi tuna kuwa mpaka sasa mababu zetu wametufundisha maadili mema ya jamii na ndiyo maana leo hii tunajivunia kuwa Watu wenye hekima, busara na maadili mema. Wao Kama wangeamua kutufundisha otherwise leo hii tungekuwa na Nchi ya Namna gani?
Kama wanyama tu wanajua kuwa huyu ni me na huyu ke na wanajua linalowapasa kufanya kwa nini sisi binadamu tushindwe kujua?
 
Back
Top Bottom