Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

nimemuelewa vizuri. Alitaka M7 asipinge kwa kuwa nae ana mapungufu kama nilivoeleza hapo juu. Jiulize swali; je usa,sweden, danish na netherland walikuwa wanaipa UG misaada ili wasapoti ushoga? Kwa hili kama dr kitila alipewa pesa ili aisambaratishe chadema...Ninaanza kuamini. Ina maana alikubali pesa ya ccm aisambaratishe chadema kwa kuwa viongozi wa chadema wana mapungufu? Mitego kama hii lazma kama wewe ni dr lazma utumie akili ya kuzaliwa na si kulishwa vitamu na vichungu

Hoja za Tundu Lisu kumnanga M7 hazinishangazi hata kidogo kwani yeye ni muumini mzuri wa demokrasia isiyo na mipaka!Ndiyo maana vita yao ni juu ya wahafidhina(CHADEMA) na waliamua kuchagua aina hiyo ya vita ili Mashoga huko nje wawasikie na kuwasapoti kwa kuwaona wao kama wanaoweza kutekeleza sera zao kwa uaminifu.Haya mambo yatadhihirika si muda mrefu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
acha unafiki na kufikiri chini ys uwezo wako... hajatetea ushoga ila kasema viongozi wa africa wanajivisha ubabe wasio uweza. kauli hiyo inamaana kubwa kwa mtu mwenye uwezo mdogo na mvivu wa kufikiri kama ww hawezi kumuelewa dr badala yake utaishia kuponda na kuweka itikadi za kivyama mbele.... UOTE=mandella;8832752]Akiwa anaongea kwenye mahojiano moja kwa moja na mtangazajiwa BBC SAHILI Charles Hillary ...

Dk Mkumbo ameonekana akiutetea ushoga na kusema Museven kajivika ubabe aisiokua na uwezo nao .. Ni baada ya kuulizwa anaonaje issue juu ya Uganda na misaada iliyozuiwa na world bank baada yakupitishia sheria kali ya kuzuia ushoga ..

Kitila mkumbo kwa jinsi aliivyoongea ananyesha kabisa kwamba ni lazima nchi za Africa kuukubali ushoga .[/QUOTE]
 
ikumbukwe kwamba Dr.Mkumbo alipewa laki 2 tu na Zito kuisailiti chama kubwa
 
Sina hakika kama umeelewa alichomaanisha Kitila!

..mwanasiasa anatakiwa achunge kauli zake.

..masuala yenye utata yanatakiwa kuzungumzwa ktk namna ambayo there is no room for misinterpretation.

..bora ameshatimuliwa CDM, maana pangechimbika hapa.
 
  • Thanks
Reactions: 911
Jamani, nimeanza kugundua kuwa CHADEMA hawakufanya makosa kumtimua. Kumbe ana akili chafu namna hiyo? Basi kumbe zzk na samson wa arusha watakuwa wa aina hihii pia. Maana waswahili husema, ndege wenye mbawa zinazofanana, huruka pamoja.
 
Ina maana hujui madhara watakayopata Uganda kwa kunyimwa hiyo misaada?You must be one those uninformed Chadema supporters whose decision making is ruled by emotions and not reasoning or rationale.Uganda waliahidiwa kupewa karibu dollar million 90 kwaajili ya mradi wa afya je unadhani Uganda watapata wapi pesa kufidia kiasi hicho cha pesa walichoahidiwa na World Bank (USA Agency) ili kuendelea na miradi ya afya waliyokwishaipanga?However i still support Museven decision to sign a bill that bans a same sex marriage in Uganda.

Madhara ya ushoga ni makubwa zaidi kuliko misaada waliyonyimwa waganda.M7 kaza kamba kabisa wale mabwabwa wote wafungwe maisha.Nchi za kiafrika zinaweza kujitegemea kabisa kama viongozi wataacha ufisadi.
 
Isije ikawa ni demu wa MM, maana kutetea ushoga wakati wewe sio shoga haiwezekani
 
Inasikitisha sana kuona jinsi tunavyoweza kujishusha mno na kuwa tayari kufanywa lolote eti kwa sababu ya misaada. Ushoga haukubaliki kwani hata wanyama hawafanyi uchafu huo sembuse sisi tunaojitambua na kujipembua kwamba ni wanadamu. Hakuna kisingizio chochote kiwrzacho kuhalalisha taifa kulazimishwa ulawiti na usagaji kuwa utamaduni wake. Na kiongozi yeyote akubaliye ushoga eti kwa kuogopa kukatiwa misaada basi anatakiwa nguvu ya umma imuoneshe kuwa hatukubali kufuramishwa kwa sababu yoyote. Ukikubali hilo basi wewe huwezi hata kufananishwa na mnyama kwa sababu wanyama hawana mapenzi ya jonsia moja wala ndoa za jinsia moja na pia tembo pamoja na ukubwa wake hajawahi kumsimamia punda dume ampande punda dume kwa kutishia kumnyima eneo la malisho. Eh Mola Wetu tuepushe na umaaluni huo.
 
nimemsikia mwanzo mpaka mwisho mawasiliano yakakatika,Sijasikia Dr.kitila eti anatetea ushoga.amesema viongozi wa Afrika wanajivika ubabe kwa vitu ambavyo hawaviwezi.m7 amesaini sheria utadhani kweli Uganda haihitaji misaada ya wazungu,tayari analalamika kua jumuia ya kimataifa imesaliti uganda.Alijipangaje kuishi bila misaada?hii ndio ilikua hoja ya Dr. kitila sema mawasiliano na BBC yakakatika.Acheni chuki wadau,jamaa kaongea vizuri na hajatetea mashoga.

Pixel u can actually see IQ za wenzetu hapo juu zilivyo,wakiambiwa wana udumavu wa akili huwa hawaamini
 
Ina maana hujui madhara watakayopata Uganda kwa kunyimwa hiyo misaada?You must be one those uninformed Chadema supporters whose decision making is ruled by emotions and not reasoning or rationale.Uganda waliahidiwa kupewa karibu dollar million 90 kwaajili ya mradi wa afya je unadhani Uganda watapata wapi pesa kufidia kiasi hicho cha pesa walichoahidiwa na World Bank (USA Agency) ili kuendelea na miradi ya afya waliyokwishaipanga?However i still support Museven decision to sign a bill that bans a same sex marriage in Uganda.
Ukipewa msaada wakakupelekea moto upande wa pili utakubari??
 
Ina maana hujui madhara watakayopata Uganda kwa kunyimwa hiyo misaada?You must be one those uninformed Chadema supporters whose decision making is ruled by emotions and not reasoning or rationale.Uganda waliahidiwa kupewa karibu dollar million 90 kwaajili ya mradi wa afya je unadhani Uganda watapata wapi pesa kufidia kiasi hicho cha pesa walichoahidiwa na World Bank (USA Agency) ili kuendelea na miradi ya afya waliyokwishaipanga?However i still support Museven decision to sign a bill that bans a same sex marriage in Uganda.

Russia na China
 
Dah this white peaple are devils, better die poverty but not to accept gays, in fact hata misaada yao iyo not productive to african nations
 
Nadhani nyote nyie, kwa vile mnaongozwa na hisia, mkiona au kusikia mtu anasema kwamba watu wasipangiwe maisha yao mnamuona mtu huyo kana kwamba anatetea ushoga wakati ukweli wa mambo ni kwamba anatetea uhuru wa watu binafsi kujiamulia namna ya kuishi maisha yao.

So you mean hiyo haki yakujiamulia mambo Uganda kama nchi haitakiwi kuwa nayo? Majority of Ugandan hawakubali mashoga maana ni something against their culture, is exotic imposed from foreign countries sasa leo eti hao waliokuwa imposed wapewe haki na wale wa asili wanyimwe; ndiyo definition mpya ya democracy?

Mimi nadhani Museven anatakiwa kuwa supported with other African countries kuwa hao World Bank if they want to be called world institution basi hawana haki ya kuwanyima Uganda kwasababu hiyo itakuwa dictation maana majority ya wananchi wamekataa unless kama wao ni representation ya developed countries and so the word World Bank inakosa legitimacy. Kama hivi ndivyo kwanini nchi za Africa zisijiondoe kwenye umoja wa mataifa kuishinikiza hiyo bank kama wanavyowafanyia wao Uganda kwa niaba ya America?

Tuache uoga waafrika hatuna chakupoteza kama ni shida tunezizoea tutaishi maisha yetu nje ya huu mfumo dhalili. Tungeweza hili wangekuja wenyewe kutuomba na maneno yao yakisanii deplomacy!

Kwanza Kitila kaidanganya dunia Museven na waganda hawajaanza leo kupinga ushoga wamelipinga hili kwa muda mrefu na kumekuwa na argument zao kwa muda sasa, tangu 2011 and even before. Atafute documentation kwenye mtandao aone hadi U-tube zipo za Waganda kupinga hilo....
 
..mwanasiasa anatakiwa achunge kauli zake.

..masuala yenye utata yanatakiwa kuzungumzwa ktk namna ambayo there is no room for misinterpretation.

..bora ameshatimuliwa CDM, maana pangechimbika hapa.
Hizi zote ni siasa za mataifa makubwa.
Huo muswaada umefadhiliwa na kuchochewa na conservatives wa Marekani. Kwa hiyo kuusaini huo muswaada hakumaanishi kuwa yeye ni mzalendo sana.

Pia, kutokuusaini ni kufuata matakwa ya nchi za magharibi. Cha muhimu ni kuukataza ushoga kwa kutoa adhabu kwenye matendo ya kishoga kama Tanzania na Kenya zinavyofanya. Siyo kuwaadhibu watu kwa kuwa labda wamevaa magauni.
Huko ni kuingilia haki za binadamu.

Nigeria wamesaini muswaada kabla ya Uganda, mbona hawasemwi?
Mbona Sudan, Mauritania zote zinapata misaada na mikopo? Kuna nchi 38 Africa zinazopinga ushoga na Tanzania ni mojawapo, ila unaupingaje? .... kufananisha shoga na muuaji si haki.
 
Back
Top Bottom