Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

si kila aliyesoma ameelewa alichosoma, wengine walikalili tu ndio maana baada ya muda wanasahau!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!tehe! tehe!...tehe!... hii nchi bwana
 
nimemuelewa vizuri. Alitaka M7 asipinge kwa kuwa nae ana mapungufu kama nilivoeleza hapo juu. Jiulize swali; je usa,sweden, danish na netherland walikuwa wanaipa UG misaada ili wasapoti ushoga? Kwa hili kama dr kitila alipewa pesa ili aisambaratishe chadema...Ninaanza kuamini. Ina maana alikubali pesa ya ccm aisambaratishe chadema kwa kuwa viongozi wa chadema wana mapungufu? Mitego kama hii lazma kama wewe ni dr lazma utumie akili ya kuzaliwa na si kulishwa vitamu na vichungu
Nimemzarau sana mwl.wangu Dr Kitila,jinsi muda unavyozidi kwenda jamaa uwezo wa kung'amua unapotea,anataka kutuambia kwa matitizo yaliyopo Africa basi tuhalalishe na mengine tena kwa amri ya wale wanaodai wanatusaidia..
 
Hii issue ya USHOGA huwa inanipa tabu sana...hivi kuna mwanaume mwenye akili TIMAMU anaweza kuchukua dume jenzake nakuanza ku....nalo? this is realy the end of this world!hakuna namna yeyote ambayo mwanadamu anaweza kujitetea mbele za MUNGU juu ya UOVU huu mpya hapa duniani..
 
Hii issue ya USHOGA huwa inanipa tabu sana...hivi kuna mwanaume mwenye akili TIMAMU anaweza kuchukua dume jenzake nakuanza ku....nalo? this is realy the end of this world!hakuna namna yeyote ambayo mwanadamu anaweza kujitetea mbele za MUNGU juu ya UOVU huu mpya hapa duniani..
Binafsi naona ikiwa binadam ni kiumbe pekee chin ya jua mwenye akili na utashi lakini ni kiumbe pekee anaefanya mambo ya ajabu kuliko mnyama,akili hii inamfanya apende kujaribu kila lilopo mbele yake,kujua kila lilopo mbele yake,kwa binadamu anaejitambua na kuhoji akili yake atajua kila kilichopo kipo kwa sababu yake na ni muhimu kuheshimu uwepo wake na uzuri katika uumbaji Mungu aliainisha,Mungu atujalie tujitambue zaidi kupitia yeye na sio kwa utashi wetu..
 
Watu wengine wanashida sana kusikiliza na kuelewa, shule za kata noma sana!
 
Kaongea point lakin ushoga sie hatutaki yaan nije niwe na mtoto shoga namnyonga na kumzika mzima mzimaa
 
Ina maana hujui madhara watakayopata Uganda kwa kunyimwa hiyo misaada?You must be one those uninformed Chadema supporters whose decision making is ruled by emotions and not reasoning or rationale.Uganda waliahidiwa kupewa karibu dollar million 90 kwaajili ya mradi wa afya je unadhani Uganda watapata wapi pesa kufidia kiasi hicho cha pesa walichoahidiwa na World Bank (USA Agency) ili kuendelea na miradi ya afya waliyokwishaipanga?However i still support Museven decision to sign a bill that bans a same sex marriage in Uganda.
"You must be one those uninformed Chadema supporters whose decision making is ruled by emotions and not reasoning or rationale" For this statement you are referring to yourself I guess! otherwise you have to have lucid of the topic prior snap responses
 
Nina ushahidi kwamba Bw.Dr. Kitila Mkumbo ali/anatayarishwa na Wazungu yeye pamoja na wenzake ambao nafikiri labda tutawajua hapo baadae waje Watawale Nchi hii kama vile Mlm.Nyerere alivyotayarishwa na kuendelea kulinda na kutetea maslahi ya Wazungu (Wakoloni Weusi)!

Sasa ushahidi wangu ni huu hapa: "Hatuwezi tukala keki na tukawa nayo at the same time". Bw.Dr.Mkumbo alitumia huo msemo ambao mimi naujua ni msemo wa kiingereza na alichofanya ni kuutafsiri tu moja kwa moja kwa Kiswahili lkn hauleti maana yoyote kikwetu, na Mtanzania ambaye hajui Kiingereza hawezi kuuelewa hata kidogo, kwanza watu ambao hata wanakula keki TZ hawafiki hata 1% achilia mbali wanaojua hata keki ni nini, sasa wanawezaje kuuelewa msemo kama huo?

Hilo linaonyesha kama alivyokuwa Mlm. Nyerere jinsi gani hawa wanaoitwa wasomi wanavyodharau na kupuuza walikotoka (Jamii zao), na bado siku zinavyokwenda tutasikia mengi....
 
Ana laana ya usaliti.Kwani misaada ni nini bwana mbona mababu zetu waliishi bila misaada.
 
Duh! nimeona ulichokimaanisha Dr. sasa labda turudi katika nchi yetu na kiuhalisia kwa hiki ulichokiandika ni moja kwa moja nchi yetu inakubaliana na suala la USHOGA na inawezekana limefanyika kwa makubaliano ya siri kama hii mikataba mingine inayosainiwa kisirisiri,
labda naomba nipate ufafanuzi kutoka kwako juu ya hili swali langu.

- Wewe umeishaweka waraka zako mbalimbali katika mitandao ya kijamii ukiwataka Watanzania wapate chama mbadala wa CCM na CDM je kama hicho chama mbadala kitapatikana hili suala la USHOGA litawekwaje na chama hicho? na vipi kuhusu utegemezi wa Misaada kutoka hizo taasisi za nje na nchi za magharibi zitawekwaje na hicho chama mbadala?
 
Hv kumbe swali lilikuwa hivyo!
Nimefungulia TV yangu nikasikia tu anajibu sikuelewa ameulizwa nini. Kama ni hivyo hakujibu hilo swali aliloulizwa kabisa.
Unajua hapa mkuu kuna watu wanaleta ushabiki tu lakini ukweli ni kwamba analytically Dr kachemka sana katika kujibu hoja stahiki, yeye amejibu kishabiki kwa kujaribu kukosoa mfumo wa utawala wa mseveni ambapo indirect anapingana naye kwenye hoja mezani kuhusu athari za ushoga, ndio maana wanao draw kwamba katetea ushoga wako sahihi pia kwa sababu ameshindwa ku address issue aliyokuwa ameulizwa na mtangazaji.

Nijuavyo mimi Philosophy ni uwezo wa kufikiri sana (analytical and critical) ina maana yeyote aliye attain level hii hatoi majibu mepesi kwenye hoja yoyote, unless Dr alishutukizwa kujibu on air bila kupewa swali kwanza kabla ya kumuweka hewani.
 
Duh! nimeona ulichokimaanisha Dr. sasa labda turudi katika nchi yetu na kiuhalisia kwa hiki ulichokiandika ni moja kwa moja nchi yetu inakubaliana na suala la USHOGA na inawezekana limefanyika kwa makubaliano ya siri kama hii mikataba mingine inayosainiwa kisirisiri,
labda naomba nipate ufafanuzi kutoka kwako juu ya hili swali langu.- Wewe umeishaweka waraka zako mbalimbali katika mitandao ya kijamii ukiwataka Watanzania wapate chama mbadala wa CCM na CDM je kama hicho chama mbadala kitapatikana hili suala la USHOGA litawekwaje na chama hicho? na vipi kuhusu utegemezi wa Misaada kutoka hizo taasisi za nje na nchi za magharibi zitawekwaje na hicho chama mbadala?

hakika, maelezo yake japo hajatamka moja kwa moja, ila ana ukakasi na m7 kupinga ushoga.wote tunajua udikteta wa m7 lakini hatuna budi kumshukuru kwa hili alilofanya na tuendelee kumkosoa kwa hayo mengne anayodai kitila
 
hii ndiyo shida ya kuwa na wasomi wasiotaka uhuru kamili.....West wamefunga njia, kama tunahitaji misaada nani tumwangalie EAST sounds okay, so is Russia. kama hatutaki misaada then ni kurudi kwenye drawing board na kupanga strategies.
 
Angaikeniiiiiii tu Mara kabang mumekubali swala LA ushoga hapa nchini mtajuta na hapo ndpo mwenyez atakapo shusha kile alichokifanya enz za nabii ruti
 
tatizo la wasomi wetu wanatumika kwenye kuwaza, wasomi kama akina kitila ni ma-neoliberal ambao wanawaza kama wamagharibi
 
Kitila hata mimi nilikusikiliza vizuri sana.....tatizo watu wanataka kuhamishia hasira za kisiasa kwenda upande usiohusika.

mtu ana doctorate anapewa swali anashndwa kuwa positive au negative hivi tukisema ni ndumilakuwili(hataki kukwaza upande wowote ) tutakuwa tunakosea? Basi kama ana mtoto wa kiume atangaze watu wakamkaze halafu aje atoe msimamo wake kuhusu ushoga, hakika lazima atapata upande wa kuusuport!
 
mkuu hebu sema alichosema Dr.kitila huenda mimi sijasikia,lakini kama ile habar ya BBC swahili na charles hilary kitila hajasema na wala hajaulizwa kama anaunga mkono ushoga au la.

"Read between the lines" .kukataa sio lazima useme 'nakataa' na kukubali sio lazima useme 'nakubali'..just read between the lines!
 
Back
Top Bottom