Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

Ndani ya BBC: Kitila Mkumbo atetea 'Ushoga'

Nimeangalia huyo mwanazuoni alivyojibu hoja kama ilivyoelekezwa kwake na Bw Charles Hilary kuhusu athari za sheria ya ushoga Uganda.
Nikajiuliza umakini wake una kiwango gani kama hata vitu vidogo kama maoni ya kunyimwa misaada yanawezaje kuathiri Nchi hana majibu sahihi!

Halafu ni mhadhiri chuo kikuu DUCE. Muuaji mkubwa wa Vipaji vya watoto wetu
 
Akiwa anaongea kwenye mahojiano moja kwa moja na mtangazajiwa BBC SAHILI Charles Hillary ...
Dk Mkumbo ameonekana akiutetea ushoga na kusema Museven kajivika ubabe aisiokua na uwezo nao ..
Ni baada ya kuulizwa anaonaje issue juu ya Uganda na misaada iliyozuiwa na world bank baada yakupitishia sheria kali ya kuzuia ushoga ..

Kitila mkumbo kwa jinsi aliivyoongea ananyesha kabisa kwamba ni lazima nchi za Africa kuukubali ushoga .

acha kupotosha. Kitila amesema tatizo ni utegemezi ndio maana tunalazimishwa kutii matakwa yao. Kasema Mseveni alikuwa anajua kitakacho tokea. Amesema hata Demokrasia ya vyama vingi Afrika ni shinikizo kutoka kwa Wazungu. Amesema tuachane na haya yote ni kuacha utegemezi. Bila shaka utakuwa Shoga.
 
Wacha kupotosha wewe,wakati anaongea tupo na kaeleweka kama unataka kuwavuta wasomaji ili nawe uonekane umeandika sawa lkn Dk hakutetea ushoga kabisa,kazungumzia suala zima la misaada tunayopewa AFRIKA na viongozi wengi wanavyoogopa kutoa maamuzi kwa kuogopa kunyimwa misaada,na zaidi kaongea kuwa yaonekana museven kasain kwa vile amebakisha mwaka na nusu kuondoka madarakani na sio huo upotoshaji wako,kwanza kichwa cha habari na ulichoandika ni tafauti.
nashukuru kwa vile nawe uneangalia ...
alikua na maana gani kusema ... Museven kajivisha ubabe asio kua na uwezo nao ?? .
alitaka Museven afanyahe instead...
 
Kiukweli pamoja na binafsi kuchukia ushoga lakini kiukweli kwa umasikini huu wa nchi zetu hatuwezi kupambana sasa hivi otherwise umejipanga kwelikweli.

Museveni angepambana na ushoga kimya kimya kupitia vyombo vya usalama bila kuhitaji sheria rasmi.

Ubabe katika lindi la umasikini ni kujidanganya tusikatae ukweli.Ushoga ufyekwe kwa mbinu nyingine ili isipeleke nchi ilipo Zimbabwe.

Tujadili....
 
Akiwa anaongea kwenye mahojiano moja kwa moja na mtangazajiwa BBC SAHILI Charles Hillary ...
Dk Mkumbo ameonekana akiutetea ushoga na kusema Museven kajivika ubabe aisiokua na uwezo nao ..
Ni baada ya kuulizwa anaonaje issue juu ya Uganda na misaada iliyozuiwa na world bank baada yakupitishia sheria kali ya kuzuia ushoga ..

Kitila mkumbo kwa jinsi aliivyoongea ananyesha kabisa kwamba ni lazima nchi za Africa kuukubali ushoga .

Mbona umeandika utadhani watu wote wameona hicho kipindi. Ningekuona wa maana kama ungeweka na maelezo aliyotoa Kitila, kuliko kutuambia kuwa anatetea ushoga bila kusema kauteteaje.
 
nimemsikia mwanzo mpaka mwisho mawasiliano yakakatika,Sijasikia Dr.kitila eti anatetea ushoga.amesema viongozi wa Afrika wanajivika ubabe kwa vitu ambavyo hawaviwezi.m7 amesaini sheria utadhani kweli Uganda haihitaji misaada ya wazungu,tayari analalamika kua jumuia ya kimataifa imesaliti uganda.Alijipangaje kuishi bila misaada?hii ndio ilikua hoja ya Dr. kitila sema mawasiliano na BBC yakakatika.Acheni chuki wadau,jamaa kaongea vizuri na hajatetea mashoga.

Acha kupotosha, kwa jinsi alivyoulizwa na alivyojibu ameonyesha dhahiri kabisa angependa mashoga waachwe huru, huyu hafai kabisa ndiyo maana CDM walimfukuza. Mhadhiri mzima unatetea ushoga? Au na yeye ni shoga?
 
Yeye dr nilivyomuelewa mm nikwamba huyu Museveni amesigni sheria hiyo ili waganda waweze kumruhusu aendele kuitawala nchi hiyo hali mda wake umeisha
 
Nadhani nyote nyie, kwa vile mnaongozwa na hisia, mkiona au kusikia mtu anasema kwamba watu wasipangiwe maisha yao mnamuona mtu huyo kana kwamba anatetea ushoga wakati ukweli wa mambo ni kwamba anatetea uhuru wa watu binafsi kujiamulia namna ya kuishi maisha yao.

Huo uhuru uusemao ni upi??? Be serious, uhuru upi? Ushoga na usagaji kweli unasema ni uhuru? Watoto wako wakiwa mashoga utawaambia kuwa endeleeni tu maana ni uhuru? Hayo yote ni matokeo y shetani
 
nimemsikia mwanzo mpaka mwisho mawasiliano yakakatika,Sijasikia Dr.kitila eti anatetea ushoga.amesema viongozi wa Afrika wanajivika ubabe kwa vitu ambavyo hawaviwezi.m7 amesaini sheria utadhani kweli Uganda haihitaji misaada ya wazungu,tayari analalamika kua jumuia ya kimataifa imesaliti uganda.Alijipangaje kuishi bila misaada?hii ndio ilikua hoja ya Dr. kitila sema mawasiliano na BBC yakakatika.Acheni chuki wadau,jamaa kaongea vizuri na hajatetea mashoga.

yaani ww pixel acha kua mvivu kuchambua maelezo ya mtu ..

ww ulitaka aongee direct...

Na kwann kasema bado afrika tunahotaji misaada ... ukirelate na issue ya Uganda ni kwamba anataka Museven asingesign mkataba huo au.. anmeonyesha kujali misaada kuliku Ushoga .

Kuasema Muaeven kajivisha ubabe asioueza maana yake nn ...embu tuambie ..
au ww unaona hayo aliyoyasema yana relate vip basi kwa upande wako ,ikiwa swali aliloulizwa ni juu ya ushoga,embu tupe maoni yako.
 
Sina hakika kama umeelewa alichomaanisha Kitila!

nimemuelewa vizuri. Alitaka M7 asipinge kwa kuwa nae ana mapungufu kama nilivoeleza hapo juu. Jiulize swali; je usa,sweden, danish na netherland walikuwa wanaipa UG misaada ili wasapoti ushoga? Kwa hili kama dr kitila alipewa pesa ili aisambaratishe chadema...Ninaanza kuamini. Ina maana alikubali pesa ya ccm aisambaratishe chadema kwa kuwa viongozi wa chadema wana mapungufu? Mitego kama hii lazma kama wewe ni dr lazma utumie akili ya kuzaliwa na si kulishwa vitamu na vichungu
 
Akiwa anaongea kwenye mahojiano moja kwa moja na mtangazajiwa BBC SAHILI Charles Hillary ...
Dk Mkumbo ameonekana akiutetea ushoga na kusema Museven kajivika ubabe aisiokua na uwezo nao ..
Ni baada ya kuulizwa anaonaje issue juu ya Uganda na misaada iliyozuiwa na world bank baada yakupitishia sheria kali ya kuzuia ushoga ..

Kitila mkumbo kwa jinsi aliivyoongea ananyesha kabisa kwamba ni lazima nchi za Africa kuukubali ushoga .

Sera ya ACT Hiyo kusapoti ushoga!
 
Ngojeni wazime ka simbion kao wiki moja tu kila MTU ataomba isainiwe haraka sana Ubaya Wa ushoga nini? Kama bado watu niwazinzi
 
Kitila alitoka nje kabisa ya key..na hata alipo kua anarudishwa kwenye njia na charles hilary yeye alikomaa kuendelea kujadili off line....wat a shame..
 
Huo uhuru uusemao ni upi??? Be serious, uhuru upi?

Wa kuchagua nani ulale naye.

Ushoga na usagaji kweli unasema ni uhuru?

Ushoga wa wengine wewe unakuhusu nini? Au wao waki.***** na wewe huwa unajisikia kufi.rwa?

Watoto wako wakiwa mashoga utawaambia kuwa endeleeni tu maana ni uhuru? Hayo yote ni matokeo y shetani

Hivi kwani suala zima ni la watoto au watu wazima?
 
Nadhani nyote nyie, kwa vile mnaongozwa na hisia, mkiona au kusikia mtu anasema kwamba watu wasipangiwe maisha yao mnamuona mtu huyo kana kwamba anatetea ushoga wakati ukweli wa mambo ni kwamba anatetea uhuru wa watu binafsi kujiamulia namna ya kuishi maisha yao.
Hakuna Uhuru usiokuwa na mipaka! Mseveni kwa hili namuunga mkono.
 
Back
Top Bottom