Ndalichako awa Profesa

Ndalichako awa Profesa

logician mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
792
Reaction score
221
Aliyekuwa Katibu mtendaji wa NECTA, Joyce Ndalichako, amerudi kwenye uwanja wa Taaluma. Moja kwa moja amepandishwa na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation & Measurement katika Aga Khan University.
 
Haha hata vyangu.vina wino wake.hongera zake.
 
Aliyekuwa Karibu mtendaji wa NECTA, Joyce Ndalichako, umerudi kwenye uwanja wa Taaluma. Moja kwa moja amepandishwa na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation & Measurement katika Aga Khan University.

Go go; the Sky is the limit Dr Ndalichako; wachana na haya makazi ya kisiasa.
 
hiko chuo ata wewe ukitaka unakuwa proffesor wa JF

BIG UP PROF
 
hiko chuo ata wewe ukitaka unakuwa proffesor wa JF

BIG UP PROF

mkuu sio kila kitu ni cha kubeza.kama ni rahisi hivyo,mbona wewe unabidii ya kupost jf ,na haujafikia wadhifa wa huyo mama?!.halafu sio "Proffesor" ni Professor.
 
Kumbe katunukiwa u Professor?



Lohhh
 
Hongera Professor! Mungu akusimamie, akulinde na maadui wote, akuangazie nuru ya uso wake, mafanikio tele! Na kukupa amani Amina!
 
Back
Top Bottom