Aliyekuwa Katibu mtendaji wa NECTA, Joyce Ndalichako, amerudi kwenye uwanja wa Taaluma. Moja kwa moja amepandishwa na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation & Measurement katika Aga Khan University.
aibu kwa waliomtoa kuwa anashusha elimu ya nchi, bora vyeti vyangu vilisainiwa na associate prof.
Aliyekuwa Katibu mtendaji wa NECTA, Joyce Ndalichako, amerudi kwenye uwanja wa Taaluma. Moja kwa moja amepandishwa na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation & Measurement katika Aga Khan University.
u prof wake hauna tofauti na u dr wa slaa
kudos madame umetisha sana..Aliyekuwa Katibu mtendaji wa NECTA, Joyce Ndalichako, amerudi kwenye uwanja wa Taaluma. Moja kwa moja amepandishwa na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation & Measurement katika Aga Khan University.
NECTA ni taasisi pana yenye idara nyingi kwahiyo usiwe na mawazo kwamba kiongozi wake ndiye anayefanya kazi zote. Lawama na laana mnazotoa hazina msingi
Hapa naona UKAWA inaingia mataribuni kwa mara nyingne.
Unajua nashangaa wanaompa hongera kwa kuwa hawajui alichokifanya baraza la mitihani. Halafu chuo chenyewe wanaompendekeza eti ni The Aga Khan jamani! Hapo hata wewe nenda tu unaukwaa uprof. Vyuo vingine bana. Utadhani IMTU tuhiko chuo ata wewe ukitaka unakuwa proffesor wa JF
BIG UP PROF