Ndalichako awa Profesa

Ndalichako awa Profesa

Aliyekuwa Katibu mtendaji wa NECTA, Joyce Ndalichako, amerudi kwenye uwanja wa Taaluma. Moja kwa moja amepandishwa na kuwa Associate Professor wa Educational Evaluation & Measurement katika Aga Khan University.

nimefurahi sana kwa hii taarifa coz nilikuwa najiuliza huyu mama wamemtoa pale yuko wapi? kumbe karudi kazini kusikochunguzwa kwa majungu hongera mama yangu. thanks Logician Mkuu.
 
afadhali alikuwepo wakati elimu bado ni elimu
 
Hongera zake, waliokuwa wanapiga kelele, walikuwa wanamuonea wivu. Ni miongoni mwa watendaji ambao walikuwa smart and yuko smart. Anastahili kufika hapo alipofika, hajabebwa. ANa sifa, mnaomuonea wivu muonea ila fahamu kuwa hamuwezi kumvua uprofesa wake
 
Hongera mama, achana na hao wanaotengeza GPA. Kuna siku Mungu atakujalia ufanye na watu wanaotaka elemu bora katika nchi hii.
 
Kwani hakuna maprofesa wajinga? Kwani hakuna msprofesa vihiyo? Naye alikuwa kama hao. Akwende zake kule, mission aborted.
 
Binafsi nampongeza mama huyu, maana vyeti vya wa tz wengi vina mtambua. Ila kama mwanadamu wa kawaida kukosea ni wajibu. Kama alifanya makosa kwa makusudi au kuchomekewa yeye na mola wake wanajua ukweli. Ila si vyema kuweka mlolongo wa mazungumzo yanayoakisi kundi la imani fulani. Tanukeni kifikra.
 
Tunune na uprofesa wa kupeana.Tunachoshukuru makubadhi yanamaprofesa wa ukweli nchini.Hatubahatishi sisi.Angalia hawa fananisha na wako associated pr.Marehemu Kighoma Malima,Haroub Othman;Ibrahim Lipumba;Hamza Njozi na Issa Shivji.Hao wenu mnaweza mkaorodhesha mia ndio wafiti kwa hawa hapa nchini kwetu.
 
Anaweza kweli kukawa na hitlafu katika utendaji wake alipokuwa NECTA, lakini ni upuuzi kumtoa kwa sababu ya malalamiko yaliyoegemea katika udini.

I know Ndalichako, ni mchapakazi. Hongera Joyce.
 
Endelea kujidanganya, Prof Ndalichako anasinga mbele na ni kada mahiri wa ccm inayowachukia waislam na kuwadharieisha ambayo wewe tahira ndio unayoisapoti kila kukicha,

hakuna anaezuia kusonga mbele kwa prof ndalichako kwani hata maprof waislam wapo mfano njozi, safari na wengineo, tatizo kwanini uzuie haki za wengine? tatizo we mburula nazani huo uprof wa ndalichako nawe utakuwa prof, sisi waislam kama mtu ni prof ni yeye wengine haituhusu kuku wewe!
 
Back
Top Bottom