Nchi zenye Uchumi mkubwa Afrika -Tanzania yaporokoma na kutoka 10 bora

Kwa hiyo world bank walisema tumeingia uchumi wa kati wakati uchumi unadorora?
 
Umesahau umeongelea maziwa tuu .ngombe watoa maziwa umewasahau malisho yao
 

Acha uvivu, jaribu ku Google tu upate taarifa za hali ya kiuchumi ya wananchi wa Nigeria. Huo uchimi mkubwa nipesa za watu binafsi wanao miliki visima vichache vya mafuta.
 
Umesahau umeongelea maziwa tuu .ngombe watoa maziwa umewasahau malisho yao
Hakuna watoa maziwa waliosahaulika,shida ya wabongo ni ufinyu wa uelewa.

Mtu asiye kwenye ajira rasmi au aliyejiajiri yeye atawekewa mazingira rafiki na Serikali Ili imrahisishie kwenye Kazi zake.Hapa ni pamoja na kaimalisha maeneo ya kutolea huduma,kuondoa vizingiti kadha was kadha nk Ili lengo kupunguza gharama na kuleta unafuu kwenye shughuli na tija ionekane.

Hayo yakifanyika utaona ustawi wa maisha yako kwa namna nyingi tuu ikiwemo uwekezaji wako kuongeza au kuongeza kiyegauchumi nk nk
 
Investor confidence my ass! Upuuzi mtupu, Hayo aliyafanya sana Kikwete lakini wapi! Mwisho wa siku akatengeneza mianya ya ufisadi wa kutupwa! Swali ni moja tu! Tanzania iliingia top 10 uchumi bora Afrika awamu ya ngapi? Tanzania imeingia uchumi wa kati awamu ipi?
 
Naongea na mtu timamu au mpumbavu,kwa hiyo kwa akili yako ya kuendeshea chooni Serikali itatoa wapi kodi? Sikujibu tena seems naongea na mpumbavu
 
Kweli kabisa Mkuu
Nigeria BOKO haram na wale wanaowateka Mabikra kila siku mpaka Serikali ikawakomboe ni ajabu kuwa Raia wako salma kuliko Tanzania, hapo wanapima uzalishaji km mafuta na wizi wao wa kwenda kuhifadhi nchi za nje
 
Hii listi inawalakini . Bado Tz ipo Kwenye 10
 
TANZANIA haijawahi kuzishinda hizo nchi kwa GDP miaka ya hivi karibuni!
Katiba mpya ni ya lazima sio ombi!
 
TANZANIA haijawahi kuzishinda hizo nchi kwa GDP miaka ya hivi karibuni!
Katiba mpya ni ya lazima sio ombi!
Katiba mpya ndio inaleta GDP? πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Toka jf nenda road ukadai Katiba mpya.

Kama umesoma Uzi ni kwamba hadi 2016 Tulikuwa juu ya Ghana na Tunisia wakatupita.Mwaka Jana Tulikuwa juu ya Ivory coast,wametupita mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…