kulangwa22
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 739
- 548
Ata somalia na sudani ilianza ivi2 taratb ipo siku
[emoji41] [emoji41] ajaribu me ntamsikia TBCMTOA MADA HEBU JARIBU UONE .... UTAJUA NI KWANINI BIRINGANYA HAIWEKWI KWENYE KACHUMBARI
Wewe ni jambazi na nyumbani mwako ni jela milele walahi!
Unacho waza ndio utakachopata mfungwa wewe walahi!
Ni failure wenzake hao,wengi wao walinunua vyeti na walio baki ni dvn 4 ya 30 mpka 33 .na aliyekua wanamwagia soda aliondoka na zero iyo form 4!!!! Sasa mtu mweny chet cha kununua kwa nn asifanye kaz ya dhuluma ili abaki salama?Video ya Makonda na wale polisi wana ccm ni AIBU KUBWA SANA KWA NCHI HII ITAKAYODUMU MILELE
mabepari walitumia makosa yake ya Kuwanyima wananchi wake demokrasia.Huelewi wewe, ghadafi kaondolewa na mabepari wa ulaya na marekani, na hadi sasa walibya wana wish angelikuwepo ghadafi.
Usitishe watu. Acha tujadili what the next.Wenzako walijaribu wakaishia kuasiwa, hebu na wewe jaribu bahati yako, mapori ni mengi Sana
Nenda Somalia ama Libya tuachie Tanzania yetu salama
Na nikifikiria mkuu alivyosema kua wafungwa wafanye kaz usku na mchana ndo napata hofu,,ila kuna sehem mtu inafkaga anasema liwalo na liwe kwa kwelWewe ni jambazi na nyumbani mwako ni jela milele walahi!
Unacho waza ndio utakachopata mfungwa wewe walahi!
Kama ni hivyo natamani NATO ije ifanye ilivyofanya Libya.Msio ijua history na Ukweli wa mambo hua nawaonea huruma Sana.
Gaddafi hakutolewa na nguvu ya umma, bali ni mabeberu wakitumia NATO, na walibya wanajuta kwa sasa, kama hujui Jambo ni bora kunyamaza kulinda heshima yako kuliko Kuonyesha uzuzu wako hadharani
Huyo anachezea buku saba zenu aiseeStop your nonsense ! Usipime akili za watu humu JF ! People think greater than your....whatever !
Mkuu hongeraa kwa kujua tulipotoka,tulipo na tunakoelekea.....hayo uliyosema ni kweli kabisa sasa naongezea tu CCM imeharibu sana nchi hii kwa sasa senior officers wote wanaochaguliwa JWTZ ni makada wa ccm, TISS wotee ni vijana kutoka uvccm, hao wakurugenzi wote wa TISS ni CCM, ukija magereza hivyo hivyo, sasa hakuna mkuu yoyote ktk vyombo vya usalama ambaye yupo kizalendo wote ni uchama na ukada!!
Mi choko utaijua. Hivi mwenye akili timamu anaweza kuwaza na kuandika hivi. Ki uhalisia huyu ni shoga.Ingia msituni tuone umwamba wako,
Thibitisha kwa mifano kuntuMkuu hongeraa kwa kujua tulipotoka,tulipo na tunakoelekea.....hayo uliyosema ni kweli kabisa sasa naongezea tu CCM imeharibu sana nchi hii kwa sasa senior officers wote wanaochaguliwa JWTZ ni makada wa ccm, TISS wotee ni vijana kutoka uvccm, hao wakurugenzi wote wa TISS ni CCM, ukija magereza hivyo hivyo, sasa hakuna mkuu yoyote ktk vyombo vya usalama ambaye yupo kizalendo wote ni uchama na ukada!!
Atakavyofanywa jiwe ( kama alivyofanywa Doe nipo mtaijua thamani ya democracy.toka uwe na akili democracy imekusaidia nini?
Bado hujatoa povu,toa hasa mpaka ujinyee ikibidiMagufuli ni wakala wa shetani ,alitumwa na Lucifa kuivuruga Tanzania ktk kikao alichokaa Lucifa,na wasaidizi wake wakuu 6/6/2006 Saa 6:6:6 na walikuwa sita ktk kikao kizito huko kuzimu.
"Tumtume nani akaivuruge Tanzania?"
Lucifa aliyauliza mapepo yaliyokuwa yamemzunguka.
"Kuna binadamu anaitwa Magufuli huyu anafaa kuivuruga Tanzania, tulimwandaa tangu angali mtoto".
Kuu la mapepo lilimjibu Lucifa.
Mipango ikafanyika,mapepo 66 yakatumwa toka kuzimu na kuivaa kamati ya CCM Lowassa akakatwa jina,mapepo 60 yakarudi kuzimu na 6 yakabaki na kumvaa Magufuli, ndo mapepo hayo yanaongoza Tanzania hadi sasa hivi lengo ni kumwaga damu.
Mwenye masikio na asikie maneno haya.
Amina.
Jela hazijajengwa kufugia kuku.Wewe ni jambazi na nyumbani mwako ni jela milele walahi!
Unacho waza ndio utakachopata mfungwa wewe walahi!
Nauchukia mno utawala huu, na ninaahidi kulipiza kisasi, ikishindikana sasa hata kwa vizazi vyao.LAZIMA nilipe udhalimu huu.Nilikuwa nikisikia waasi nchi jirani nikawadharau sana kuwaona watu wa ajabu,nimenza kupata somo halisi live chanzo na sababu za uasi.Shetani alivyo anazidi kuwapa roho ngumu,kibri kufanya dhuluma jambo la wazi na kawaida!Uhakika sio mbali watavuna wanachopanda.
Lugha hizi za nyuma ya keyboards ni za kawaida kabisa ,endelea kumuinamia Makengeza ajaze vizuri,bado haujagota,papara ya nini?Mi choko utaijua. Hivi mwenye akili timamu anaweza kuwaza na kuandika hivi. Ki uhalisia huyu ni shoga.
Usitupangie cha kufikiri. Acha tuwaze na kweli itatamalaki.(ukiona kiza kinazidi jua mapambazuko yanakaribia). Time 'll tell.Stop your nonsense ! Usipime akili za watu humu JF ! People think greater than your....whatever !
Itakua unaangalia sana muvi lakini huwezi kua sniper kiukwelikweli kwasababu unajioteshaMimi huwa naotaga
Najiotesha kuwa sniper,
Natungua mtu kwa mbali,
Alaf napita tunnel kwa tunnel,
Mpaka baharini;navaa suit kuogelea.