Nchi yangu inaniandaa kuwa muasi

Nchi yangu inaniandaa kuwa muasi

Nimegundua uasi na ugaidi sometimes huwa na sababu za kuwepo.
Uasi na ugaidi husababishwa na ujinga na hamasa hasi.

Ukitaka kupata majibu na utatuzi wa kiutawala na watawala angalieno mitume waliishi vipi na watu wao ?
 
Sisi tufanyaje kama tunamtaka Mbowe aachie madaraka na yeye ameng'ang'ania?

Tunachokifanya ni kusepa kama Lowasa
 
Msio ijua history na Ukweli wa mambo hua nawaonea huruma Sana.
Gaddafi hakutolewa na nguvu ya umma, bali ni mabeberu wakitumia NATO, na walibya wanajuta kwa sasa, kama hujui Jambo ni bora kunyamaza kulinda heshima yako kuliko Kuonyesha uzuzu wako hadharani
Hayo yalisababishwa na ukichaa kama wenu ndio hao beberu unaowasema wakapata mwanya wa kuingia

Mabeberu hao uliowasema unafikiri kuingia hapo bongo hawawezi tena na huo umoja mliouvunja lazima mpandwe kibeberu ili kichaa kiwapande vzr
 
Kama kijana nayeipenda nchi yangu, nayependa amani, demokrasia na maendeleo nafanyaje?

Nafanyaje Askari wanaposherehekea ushindi wa dhulma wa chama tawala kwa kuimba 'soldier nyakua'?

Nafanyaje mheshimiwa rais anapotoa ilani ya kumshughulikia Mkurugenzi atakayemtangaza mpinzani kuwa mshindi kwenye uchaguzi?

Nafanyaje napoona viongozi wangu wa chama, wapenda demokrasia na amani, wakidhalilishwa na polisi kila leo,wakinyang'anywa Mali zao kwa nguvu, wakilazimika kuzunguka mahakamani kila uchao na wakidhalilishwa wao na familia zao?

Nafanyaje napoona vijana wenzangu wa Rika wakishawishiwa na kushawishika kwamba demokrasia haina nafasi Bali siasa za visasi, hujuma na matumizi ya nguvu ya dola ndio mtindo wa kileo?

Nitaendeleaje kuamini katika uchaguzi huru na wa haki wakati tume yenyewe ya uchaguzi haiamini Wala vyombo vya dola haviamini?

Kwanini wakati wa apartheid vijana wa Afrika kusini walikuja kujifunza hapa mbinu za uasi?
Kwanini hawakuitisha tu mikutano ya siasa nchini kwao na kwenda kupiga kura?

When democracy has no chance, it is the responsibility of everyone and anyone to give it a chance!

SOLDIER NYAKUA, NYAKUA!
Nenda Somalia ama Libya tuachie Tanzania yetu salama
 
Upo sawa kabisa, shida vijana wengi wa leo vipao mbele vyetu ni hamisa mobeto na voice note za mganga au gigiy money na mo jay au dogo janja na airine uwoya, mambo ya siasa tunasema hayatuhusu!!


Ilimradi tuna vicomputer tunaweka nyimbo kwenye simu tupate bando lakusoma udaku na tumeruhusiwa kuchuuza bidhaa bila kulipa kodi kwa kuzitandika mpaka ofisi ya mkuuwa wilaya mengine hayatuhusu!!

Sasa hayo ya siasa usituambie we tuambie habari za kuvaa vijinzi vinaitwa kamatia chini, na mambo ya vikuku na nk!!!

Ilimradi tumeamka asubui tunapata hela yakula, basi inatosha!!! Uo uasi kaaanao, utakuwa wewe peke yako, naivi tumemaliza form four na zero zero hatuitaji hayo mambo!!!


Hiiinchi kati ya watu milioni 50 wenye uelewa ni milion 5 usitegemee unacho fikiri!!
Sasa bro siasa ya kidemokrasia ina jipya gani zaidi ya ujinga ujinga na umbea umbea ?

Kwahiyo wanao hamasisha uasi na kuzungumzia uasi ndio werevu na wenye akili kuliko wengine au ndio wana uchungu na nchi yao sana ama ? Huu uelewa wako unapaswa kusahihishwa.
 
Kama kijana nayeipenda nchi yangu, nayependa amani, demokrasia na maendeleo nafanyaje?

Nafanyaje Askari wanaposherehekea ushindi wa dhulma wa chama tawala kwa kuimba 'soldier nyakua'?

Nafanyaje mheshimiwa rais anapotoa ilani ya kumshughulikia Mkurugenzi atakayemtangaza mpinzani kuwa mshindi kwenye uchaguzi?

Nafanyaje napoona viongozi wangu wa chama, wapenda demokrasia na amani, wakidhalilishwa na polisi kila leo,wakinyang'anywa Mali zao kwa nguvu, wakilazimika kuzunguka mahakamani kila uchao na wakidhalilishwa wao na familia zao?

Nafanyaje napoona vijana wenzangu wa Rika wakishawishiwa na kushawishika kwamba demokrasia haina nafasi Bali siasa za visasi, hujuma na matumizi ya nguvu ya dola ndio mtindo wa kileo?

Nitaendeleaje kuamini katika uchaguzi huru na wa haki wakati tume yenyewe ya uchaguzi haiamini Wala vyombo vya dola haviamini?

Kwanini wakati wa apartheid vijana wa Afrika kusini walikuja kujifunza hapa mbinu za uasi?
Kwanini hawakuitisha tu mikutano ya siasa nchini kwao na kwenda kupiga kura?

When democracy has no chance, it is the responsibility of everyone and anyone to give it a chance!

SOLDIER NYAKUA, NYAKUA!
Mkuu hongeraa kwa kujua tulipotoka,tulipo na tunakoelekea.....hayo uliyosema ni kweli kabisa sasa naongezea tu CCM imeharibu sana nchi hii kwa sasa senior officers wote wanaochaguliwa JWTZ ni makada wa ccm, TISS wotee ni vijana kutoka uvccm, hao wakurugenzi wote wa TISS ni CCM, ukija magereza hivyo hivyo, sasa hakuna mkuu yoyote ktk vyombo vya usalama ambaye yupo kizalendo wote ni uchama na ukada!!
 
Una elimu ya dini ya gani ?

Na dini yako inakuelekeza vipi uende na hali hizi za kisiasa ?

Japokuwa unaweza kuwa na elimu ya dini na usiifnyie kazi. Hii nimekupa ziada.
Nina elimu ya dini ya Kikristo.
Musa alipomkuta mmisri akimuonea muisrael, alimuua na Kisha akachimba shimo kwenye mchanga akamzika.
 
Ameuliza anafanyaje kama mambo ndo hayo? Mpeni jibu badala ya kumkebehi na kumtisha...
Swali la kijana jepesi tu
NAFANYAJE NINAPOYAONA HAYA YANAYOTENDEKA?
Kijana labda nikusaidie kitu
Wanaofaidi maisha sio wenye akili nyingi wala wenye nguvu nyingi ... bali wenye uvumilivu na fikra pevu.
Anachotakiwa awe mvumilivu na afanye ya msingi na yenye manufaa na yeye.

Hakuna mtu atakae muuliza kwanini hakuipigania nchi yake kwani si wajibu wake bali hatochekwa kwa kutoipigania nchi yake.

Ila amani ikikosekana lazima uikumbuke amani. Amani ni shani kubwa sana na yenye kupiganiwa isitoweke kwa hali na mali.
 
Nina elimu ya dini ya Kikristo.
Musa alipomkuta mmisri akimuonea muisrael, alimuua na Kisha akachimba shimo kwenye mchanga akamzika.
Sasa bro ulitakiwa kujua kitu kimoja katika mapambano. Kiasili mapamo ya kumtoa mtawala huwa hayataki kushindwa na yanataka maandalizi.

Musa pale alikuwa anandoa uovu sababu alikuwa na uwezo wa kufanya,na ndio maana baada ya tukio hilo hapakutokea umwagaji damu.

Yaani aliondoa uovu bila kuruhusu uovu mwingine utokee.

Sasa nyinyi mnaotaka kuasi mnaweza kufanya kama lile alilofanya Musa ? Yaani mnaweza kuondoa uovu bila kusababisha hatari kubwa zaidi kutokea ?

Na hapa ndipo siri ya mapambano ambayo wengi hawaijui.

Nasubiri jibu.
 
Msio ijua history na Ukweli wa mambo hua nawaonea huruma Sana.
Gaddafi hakutolewa na nguvu ya umma, bali ni mabeberu wakitumia NATO, na walibya wanajuta kwa sasa, kama hujui Jambo ni bora kunyamaza kulinda heshima yako kuliko Kuonyesha uzuzu wako hadharani

Sawa ,lakini alitoka au hakutoka ?
 
Una eneo lingine tofauti na msituni?, kwa maana huko ukibanwa waweza waeleza ulienda kulima, watakuelewa

Mkuu ,Vita ni Akili.Hilo la Msituni ni wewe unafikiria hivyo ,unaweza kupigwa hata Nyumbani kwako .
 
Sasa wewe mleta mada unalia lia nini hapa JF? Kama kweli wewe ni mwanaume si uanzishe huo UASI wako halafu tuone kama HUJANYAKULIWA na wasiojulikana na siku chache baadaye tukuokote ufukweni mwili wako ukiwa kwenye mifuko ya SANDARUSI.
 
Sawa ,lakini alitoka au hakutoka ?
Kumbe ndo maana mkaenda kumuuguzia bwana yule makao makuu ya umoja wa ulaya ,EU ili kutafuta huruma ya wakoloni, jinga Sana chagadema, imebuma na zengwe zenu zitaendelea kubuma mpaka akili itakapo wakaa Sawa
 
Mkuu ,Vita ni Akili.Hilo la Msituni ni wewe unafikiria hivyo ,unaweza kupigwa hata Nyumbani kwako .
Akili hiyo mngeitumia kuokoa jahazi lenu, matokeo yake akili hiyo kutwa kucha mnaichambia, "pathetic "
 
Back
Top Bottom