Nchi yangu inaniandaa kuwa muasi

Nchi yangu inaniandaa kuwa muasi

Kama kijana nayeipenda nchi yangu, nayependa amani, demokrasia na maendeleo nafanyaje?

Nafanyaje Askari wanaposherehekea ushindi wa dhulma wa chama tawala kwa kuimba 'soldier nyakua'?

Nafanyaje mheshimiwa rais anapotoa ilani ya kumshughulikia Mkurugenzi atakayemtangaza mpinzani kuwa mshindi kwenye uchaguzi?

Nafanyaje napoona viongozi wangu wa chama, wapenda demokrasia na amani, wakidhalilishwa na polisi kila leo,wakinyang'anywa Mali zao kwa nguvu, wakilazimika kuzunguka mahakamani kila uchao na wakidhalilishwa wao na familia zao?

Nafanyaje napoona vijana wenzangu wa Rika wakishawishiwa na kushawishika kwamba demokrasia haina nafasi Bali siasa za visasi, hujuma na matumizi ya nguvu ya dola ndio mtindo wa kileo?

Nitaendeleaje kuamini katika uchaguzi huru na wa haki wakati tume yenyewe ya uchaguzi haiamini Wala vyombo vya dola haviamini?

Kwanini wakati wa apartheid vijana wa Afrika kusini walikuja kujifunza hapa mbinu za uasi?
Kwanini hawakuitisha tu mikutano ya siasa nchini kwao na kwenda kupiga kura?

When democracy has no chance, it is the responsibility of everyone and anyone to give it a chance!

SOLDIER NYAKUA, NYAKUA!
Wewe kama kijana endelea kusema/kudai kwa njia ya amani. Baadae watafahamu ustaarabu. Kuhusu wapigania uhuru kuja kujifunza hapa kwetu ni kwa sababu ya nidhamu na utu uliokuwepo wakati huo lkn nadahani wewe unazungumzia ya leo. Kijana wangu YA KALE HAYAPO
 
Sasa bro ulitakiwa kujua kitu kimoja katika mapambano. Kiasili mapamo ya kumtoa mtawala huwa hayataki kushindwa na yanataka maandalizi.

Musa pale alikuwa anandoa uovu sababu alikuwa na uwezo wa kufanya,na ndio maana baada ya tukio hilo hapakutokea umwagaji damu.

Yaani aliondoa uovu bila kuruhusu uovu mwingine utokee.

Sasa nyinyi mnaotaka kuasi mnaweza kufanya kama lile alilofanya Musa ? Yaani mnaweza kuondoa uovu bila kusababisha hatari kubwa zaidi kutokea ?

Na hapa ndipo siri ya mapambano ambayo wengi hawaijui.

Nasubiri jibu.
Aliondoa uovu bila kuruhusu uovu mwingine utokee? Pathetic
Kwani baada ya kumuua yule muisraeli mateso ya waisraeli utumwani yaliisha?
Amri ya kuua kila mtoto wa kiume iliondolewa?
Tukio Lile lilimzuia Mungu kuua kila mzaliwa wa kwanza kwenye uzao wa wa Misri?
Au Lilizuia Mungu kuwaangamiza Farao na Jeshi lake katikati ya bahari?
 
Aliondoa uovu bila kuruhusu uovu mwingine utokee? Pathetic
Kwani baada ya kumuua yule muisraeli mateso ya waisraeli utumwani yaliisha?
Amri ya kuua kila mtoto wa kiume iliondolewa?
Tukio Lile lilimzuia Mungu kuua kila mzaliwa wa kwanza kwenye uzao wa wa Misri?
Au Lilizuia Mungu kuwaangamiza Farao na Jeshi lake katikati ya bahari?
Nazungumzia tukio lile hasa. Huko kwengine ni mambo mengine.

Ila je ushawahi kuona mtume kashindwa katika jamii yake ?

Unajua nini kilimkuta firauni na watu wake ? Jibu unalo.

Turudi katika hoja ya msingi,ua kuangalia maslahi na ufisadi.
 
Kumbe ndo maana mkaenda kumuuguzia bwana yule makao makuu ya umoja wa ulaya ,EU ili kutafuta huruma ya wakoloni, jinga Sana chagadema, imebuma na zengwe zenu zitaendelea kubuma mpaka akili itakapo wakaa Sawa

Haujajibu Swali bado ,alitoka au hakutoka ?
 
Hii ni shibe baada ya kula kiporo cha makande, ukiwa umening'iniza kende juu ya mti. Hivi sifa ya kua mwana ufipa ni kufikiri kwa kutumia kijambio?
 
Nazungumzia tukio lile hasa. Huko kwengine ni mambo mengine.

Ila je ushawahi kuona mtume kashindwa katika jamii yake ?

Unajua nini kilimkuta firauni na watu wake ? Jibu unalo.

Turudi katika hoja ya msingi,ua kuangalia maslahi na ufisadi.
Samahani ile upeo wa uelewa wetu ni tofauti sana kiasi kwamba hatuwezi kujadili.
Labda nikufundishe
 
Mnaoshabikia uasi na vurugu mna hamu ya kubaka na kubakiwa ndugu zenu wa kike bila sheria kuchukua mkondo wake. Vita si lelemama kama mtoa mada anavyojaribu kueleza. Omba sana usije ukaishi katika nchi isiyo na utawala wa sheria.
 
Mimi huwa naotaga
Najiotesha kuwa sniper,
Natungua mtu kwa mbali,
Alaf napita tunnel kwa tunnel,
Mpaka baharini;navaa suit kuogelea.
 
Msio ijua history na Ukweli wa mambo hua nawaonea huruma Sana.
Gaddafi hakutolewa na nguvu ya umma, bali ni mabeberu wakitumia NATO, na walibya wanajuta kwa sasa, kama hujui Jambo ni bora kunyamaza kulinda heshima yako kuliko Kuonyesha uzuzu wako hadharani

Wewe pia hujui. Mabeberu kwanza hutafuta sababu, kisha huitumia sababu hiyo kufikia lengo. Ni kweli, Libya kulikuwa na maisha mazuri kwa vigezo vya kukamilisha matakwa ya binadamu ya mwili: chakula, makazi, umeme, nyumba.....ila hakukuwa na yale ya kukamilisha matakwa ya binadamu ya kiroho/kifikra: uhuru wa kusema, kupinga, kuafiki, kujumuika.......
Binadamu si kama mnyama anayetosheka tu kwa lile la kwanza. Huenda akavumilia ikiwa hilo la kwanza halipo hadi hapo litakapopatikana, ataanza kuomba hili la kiroho na kifikra. Lakini aghalabu, kukosekana kwa la kwanza huwa pia ni sababu ya kuomba hili la pili kwa haraka, maana linapokosekana la kwanza huwa pia kuna dhuluma na ujeuri wa kuzuia hili la pili! Na ukifika wakati huo hata umpe binadamu mikate kumi ya bure kila siku, hilo halitamtosha. Mifano mizuri iko kutoka Iran ( hii hata Mabeberu hawakujiingiza, watu wenyewe tu). Na....natabiri hayo hayo yatatokea Saudi Arabia, Ethiopiana Tanzania ( kama hatutageuza mkondo. Wenzetu Ethiopia wameanza). Hii ni "sunna" ya binadamu!
 
Funga siku 40, Mwenyezi Mungu mwepesi wa kutoa mwongozo kwa waja wake wanao dhulumiwa.
 
Nadhani hapa Africa, hasa hizi nchi za maziwa makuu tunahitaji au Great lakes spring au East Africa spring remminescent to Arab spring.
Hili eneo limejaa viongozi vichaa vichaa wanaoumiza sana raia wao.
 
Nadhani hapa Africa, hasa hizi nchi za maziwa makuu tunahitaji au Great lakes spring au East Africa spring remminescent to Arab spring.
Hili eneo limejaa viongozi vichaa vichaa wanaoumiza sana raia wao.
 
Kama kijana nayeipenda nchi yangu, nayependa amani, demokrasia na maendeleo nafanyaje?

Nafanyaje Askari wanaposherehekea ushindi wa dhulma wa chama tawala kwa kuimba 'soldier nyakua'?

Nafanyaje mheshimiwa rais anapotoa ilani ya kumshughulikia Mkurugenzi atakayemtangaza mpinzani kuwa mshindi kwenye uchaguzi?

Nafanyaje napoona viongozi wangu wa chama, wapenda demokrasia na amani, wakidhalilishwa na polisi kila leo,wakinyang'anywa Mali zao kwa nguvu, wakilazimika kuzunguka mahakamani kila uchao na wakidhalilishwa wao na familia zao?

Nafanyaje napoona vijana wenzangu wa Rika wakishawishiwa na kushawishika kwamba demokrasia haina nafasi Bali siasa za visasi, hujuma na matumizi ya nguvu ya dola ndio mtindo wa kileo?

Nitaendeleaje kuamini katika uchaguzi huru na wa haki wakati tume yenyewe ya uchaguzi haiamini Wala vyombo vya dola haviamini?

Kwanini wakati wa apartheid vijana wa Afrika kusini walikuja kujifunza hapa mbinu za uasi?
Kwanini hawakuitisha tu mikutano ya siasa nchini kwao na kwenda kupiga kura?

When democracy has no chance, it is the responsibility of everyone and anyone to give it a chance!

SOLDIER NYAKUA, NYAKUA!
Uasi wa mtandaoni, ha ha ha.
 
Kama kijana nayeipenda nchi yangu, nayependa amani, demokrasia na maendeleo nafanyaje?

Nafanyaje Askari wanaposherehekea ushindi wa dhulma wa chama tawala kwa kuimba 'soldier nyakua'?

Nafanyaje mheshimiwa rais anapotoa ilani ya kumshughulikia Mkurugenzi atakayemtangaza mpinzani kuwa mshindi kwenye uchaguzi?

Nafanyaje napoona viongozi wangu wa chama, wapenda demokrasia na amani, wakidhalilishwa na polisi kila leo,wakinyang'anywa Mali zao kwa nguvu, wakilazimika kuzunguka mahakamani kila uchao na wakidhalilishwa wao na familia zao?

Nafanyaje napoona vijana wenzangu wa Rika wakishawishiwa na kushawishika kwamba demokrasia haina nafasi Bali siasa za visasi, hujuma na matumizi ya nguvu ya dola ndio mtindo wa kileo?

Nitaendeleaje kuamini katika uchaguzi huru na wa haki wakati tume yenyewe ya uchaguzi haiamini Wala vyombo vya dola haviamini?

Kwanini wakati wa apartheid vijana wa Afrika kusini walikuja kujifunza hapa mbinu za uasi?
Kwanini hawakuitisha tu mikutano ya siasa nchini kwao na kwenda kupiga kura?

When democracy has no chance, it is the responsibility of everyone and anyone to give it a chance!

SOLDIER NYAKUA, NYAKUA!
Naunga mkono hoja kaka, shetani yuko ndani ya nyumba na anatuvuruga tunamwangalia tu, hakika sasa ni haki kufanya yale ndugu zetu waliyafanya Kibiti, tulikosea kuacha kuwaunga mkono!
 
Wewe pia hujui. Mabeberu kwanza hutafuta sababu, kisha huitumia sababu hiyo kufikia lengo. Ni kweli, Libya kulikuwa na maisha mazuri kwa vigezo vya kukamilisha matakwa ya binadamu ya mwili: chakula, makazi, umeme, nyumba.....ila hakukuwa na yale ya kukamilisha matakwa ya binadamu ya kiroho/kifikra: uhuru wa kusema, kupinga, kuafiki, kujumuika.......
Binadamu si kama mnyama anayetosheka tu kwa lile la kwanza. Huenda akavumilia ikiwa hilo la kwanza halipo hadi hapo litakapopatikana, ataanza kuomba hili la kiroho na kifikra. Lakini aghalabu, kukosekana kwa la kwanza huwa pia ni sababu ya kuomba hili la pili kwa haraka, maana linapokosekana la kwanza huwa pia kuna dhuluma na ujeuri wa kuzuia hili la pili! Na ukifika wakati huo hata umpe binadamu mikate kumi ya bure kila siku, hilo halitamtosha. Mifano mizuri iko kutoka Iran ( hii hata Mabeberu hawakujiingiza, watu wenyewe tu). Na....natabiri hayo hayo yatatokea Saudi Arabia, Ethiopiana Tanzania ( kama hatutageuza mkondo. Wenzetu Ethiopia wameanza). Hii ni "sunna" ya binadamu!
Si kila anaetabiri yuko sahihi, Sana Sana wengi wa mfano wako hutawaliwa na emotional zenu, kama mwanadamu haridhiki mpaka Siku ya kufa, ukiwa mtawala, utaridhisha nchi nzima?, makundi ya vipanga hayakosi anywhere in the world, cha msingi ni kukaza tu, mtaongea lugha, nahau zote, ila kibano ndo tatizo, hamkuzoea kula na vipofu, ulafi uliwazidi
 
hio democracy imekua miss used sana.inabidi tuvumilie tu.sioni sababu ya kupiga kelele,unapewa uhuru wa kuongea unaishia kumwaga matusi,

unataka kuasi taifa wakati taifa limekusomesha,linakupa matibabu,kura unapiga,inabidi ukomae na uliempigia kura,kama yeye kaasi,basi ujue wewe na yeye nyote waasi.
Tatizo wanapeana ujinga na kusifiana upuuzi upuuzi tu.
 
Back
Top Bottom