OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Aiko kwere mzee ..tutasanuana manPamoja chalii angu,all the best.
Aiko kwere mzee ..tutasanuana manPamoja chalii angu,all the best.
Inaonekana unaishi kwa hofu sana mkuu ..ukiwa hivi ufiki popote mkuu.Wangapi wanaletwa maiti??
Wangapi wanafungwa kwenye miti unafhani hatuna habari eeeh
We mkimbizi unatetea litumbo lako
Israel is a big deal for other reasons. Vitabu vikongwe ndio vimeandika Sana habari zake.Ningependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Nazungumzia watoto wakike wanafanyiwa ukatili wa kufa mtu hukoInaonekana unaishi kwa hofu sana mkuu ..ukiwa hivi ufiki popote mkuu.
1. Rabbi mkuu wa Israel aliwaita watu weusi nyaniNingependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Mkuu maisha yako yote unavyo IAngalia Saudia world cup lini umeona haina mchezaji mweusi? Tunisia inabeba kombe la Africa kiungo wao mkabaji mweusi, Hao misri wanabeba kombe la Africa winga teleza ile alikuwa je?mtu mweusi huko iran, Iraq, Libya na saudia hana raha kabisaa.mtu mweusi aliyevuma misri ni beki namba mbili wa Al Ahly mwaka 1982 Rabia Yasin tuu , utadhania hakuna watu weusi. Huko Libya na Iraq ndo kabisaa hata udiwani hawaupati.nashangaa kwa nini Somali, Sudan,mali,senegal ni wanachama wa Aab League!
Mkuu maisha yako yote unavyo IAngalia Saudia world cup lini umeona haina mchezaji mweusi? Tunisia inabeba kombe la Africa kiungo wao mkabaji mweusi, Hao misri wanabeba kombe la Africa winga teleza ile alikuwa je?
Qatar leo hii wanaenda world cup na karibia nusu ya kikosi weusi
Hizo myth za kwamba watu weusi wanaonewa sijui zinatoka wapi..!! Wengi tunajishtukia wenyewe tu ..hakuna mtu mwenyew time na mtu mweusi kwenye dunia hii ya sasa.Mkuu maisha yako yote unavyo IAngalia Saudia world cup lini umeona haina mchezaji mweusi? Tunisia inabeba kombe la Africa kiungo wao mkabaji mweusi, Hao misri wanabeba kombe la Africa winga teleza ile alikuwa je?
Qatar leo hii wanaenda world cup na karibia nusu ya kikosi weusi
Hujaona ukatili wanaofanyiwa ma hausiGeli huko huko nyumbani tz umeona kwa mwarabu tu. Huko tz ndo balaa na mshahara mbuzi wakati huku ausGeli tu analamba mshahara wa mtu wa degree hapo bongo. Wachache waliofanyiwa ukatili usifanye ukajumuisha wote. Kuna wadada huku wa kazi za ndani wanaishi furesh tu na kila siku nakutananao masokoni sasa wewe unaesema kuna ukatili wakati uko hapo tandale kwa buza hujui chochote labda umehadisiwa tu.Nazungumzia watoto wakike wanafanyiwa ukatili wa kufa mtu huko
Wewe huko Israel umefika mkuu au unabwabwaja tu hapa baadae ya kushiba makande.1. Rabbi mkuu wa Israel aliwaita watu weusi nyani
Rabbi mkuu ni equivalent ya askofu mkuu ama sheikh mkuu.Chief rabbi calls black people 'monkeys'
Rabbi Yitzhak Yosef's comments denounced as 'racially charged' and 'utterly unacceptable' by Anti-Defamation Leaguewww.independent.co.uk
2. Wa Ethiopia wayahudi waliokwenda Israel wanawake wao walipewa dawa za kufunga vizazi ili wasizaliane.
Ethiopian women in Israel 'given contraceptive without consent'
Israel's health ministry is investigating claims that Ethiopian immigrants have unwittingly had Depo-Provera jabs for yearswww.theguardian.com
3. Israel hawataki wakimbizi weusi wengine wanawalipa ili waondoke nchini mwao.
Israel: African migrants told to leave or face imprisonment
The UN refugee agency says the plan to deport thousands violates international and Israeli laws.www.bbc.com
4. Kuna ofa zinatolewa Israel raia ukimkamata mkimbizi mweusi unapewa hela kama milioni 20.
Israel will pay new civilian immigration inspectors $9,000 bonuses to expel African migrants
An advertisement called for civilians with a bachelor's degree and a valid driver's license to crack down on "illegal aliens"qz.com
5.hata hao polisi weusi wa Israel hawana hadhi, kila siku wanapigwa na weupe.
Huyu ndie raisi chotara wa Oman alietawala Miongo kadhaaUkipata majibu uniulizie hali ya ubaguzi wa mtu mweusi Saudia, Oman na Waarabu kwa ujumla
Na sio Soka tu kama unavyo sema michezo yote, Ukienda Olympic wa kenya kibao wana represent nchi za kiarabu.Nchi nyingi za waarabu au Middle East kama anavyotaka wengi wa wachezaji ni weusi maana ndio wenye uwezo mzuri na mahiri kwenye riyadha zote
Kuna dada Namfahamu toka hapa TZ yupo Omani Ana decorate kumbi za harusi, kwa harusi moja anapata mpaka milioni 50.Hizo myth za kwamba watu weusi wanaonewa sijui zinatoka wapi..!! Wengi tunajishtukia wenyewe tu ..hakuna mtu mwenyew time na mtu mweusi kwenye dunia hii ya sasa.
Umechelewa Sana kufahamu kuwa Israel hii tunayoijua sio taifa teuleNingependa kufahamu taifa la Israel lina sera gani kuhusu mtu mweusi?
Je, mliowahi kufika huko, level ya ubaguzi wa rangi ikoje?
Je, unapatikanaji wa huduma katika public areas ukoje kwa mtu mweusi?
Nawasilisha
Wacha usengeUkipata majibu uniulizie hali ya ubaguzi wa mtu mweusi Saudia, Oman na Waarabu kwa ujumla
Mbona wazungu wanawabagua hamuwafanyi chochote?Magufuli alivyokuwa akiwabagua wapinzani hamuoni hadi akatabiri kufika mwaka 2020 hawatakuwepo lakini yeye ndiye hayupo. Ubaguzi upo pote tu na hauna kwao kama alivyowahi kusema Mwl. Nyerere.
Kuja kutoka kwenye huu ujinga itakuchukua mda sana. Huu ugonjwa mbaya sana. Unatumia biblia na mavitabu ya dini ya wazungu ku judge waafrika. Unakosea sana. Acha kujidharau aisee otherwise labda ww sio african.Nikuambie ukweli mchungu, ngozi nyeusi toka Africa ina laana ya asili. Wanapenda umbea, kusengenya, ngono, na roho mbaya ya uchawi. Utasikia rais fukuza huyu, fukuza yule wanachotaka ni kuona mwingine anaingia kwenye shida kama za kwake. Africa countries are shitholes.
Mfanyakazi wa ndani auwa mama na watoto wawiliUkipata majibu uniulizie hali ya ubaguzi wa mtu mweusi Saudia, Oman na Waarabu kwa ujumla
Hujaona ukatili wanaofanyiwa ma hausiGeli huko huko nyumbani tz umeona kwa mwarabu tu. Huko tz ndo balaa na mshahara mbuzi wakati huku ausGeli tu analamba mshahara wa mtu wa degree hapo bongo. Wachache waliofanyiwa ukatili usifanye ukajumuisha wote. Kuna wadada huku wa kazi za ndani wanaishi furesh tu na kila siku nakutananao masokoni sasa wewe unaesema kuna ukatili wakati uko hapo tandale kwa buza hujui chochote labda umehadisiwa tu.
Waarabu.wameua watz.wangapi???Mfanyakazi wa ndani auwa mama na watoto wawili
Huyu Einstein ana chuki na waarabu, na hiyo ipo kwenye damu. Sio kwamba hajui ubaguzi na ukatili unaoendelea huku, anajua lakini anajitoa ufahamu, na kama nilivyosema chuki ipo kwenye damu huyu jamaa.
Cheki hapa mkuu