Wewe acha kumtetea huyo mtu wako.Tatizo kubwa ni yeye na wasaidizi wake wanafanya anachokitaka.Kwenye Korosho, Mimi nilishakuja na Mada hapa. Kwamba. Waliomshauri Raisi, wanatakiwa kuwa Gerezani na Viboko Juu. Kumbuka Raisi siyo mfanyabiashara, ila Ana washauri wa biashara na mishahara wanalipwa. Hawa hawana tofauti yoyote na Wahujumu uchumi.
Anashaurika? Si ameshasema anawatukanaga...!!Kwenye Korosho, Mimi nilishakuja na Mada hapa. Kwamba. Waliomshauri Raisi, wanatakiwa kuwa Gerezani na Viboko Juu. Kumbuka Raisi siyo mfanyabiashara, ila Ana washauri wa biashara na mishahara wanalipwa. Hawa hawana tofauti yoyote na Wahujumu uchumi.
Siyo suluhisho... ishu hapa ni ONE MAN SHOW..... Fikiria zile amburence "zilizookotwa" bandarini...Nakubaliana na wewe mkuu, Dawa ni kupanga safu mpya kabisa. Hawa waliokuwepo ni mtandao wa Kishetani. Ni watu wenye Choyo wivu na Roho za kwanini kwa wafanyabiashara wa Nchi Hii. Pls, Mheshimiwa Raisi. Fukuza haraka hawa watu, hawana wanachokusaidia, wameshakujengea uadui mkubwa na Wafanyabiasha.
Ni kweli mkuu, yeye ndiye anayetoa target. Lakini kumbuka hata huyu anayepewa target ni lazima awe na akili ya kukusanya kodi na kuiboresha hali ya huyo anayemlipa kodi. Ili mwakani akusanye zaidi. Sasa Kama unakusanya kodi na huyu anayekupa kodi unamwacha hoi masikini, unategemea nini mwakani? Bado kuna tatizo kubwa.Yeye ndie anaewapa target ya kukusanya kwa mda flan so huwez kumuexlude kwenye hili, yeye ndie chanzo cha tatizo tuuseme ukweli.
Mambo mengine siyo ya kufukua sana Mkuu, mengine tupotezee. Wakati mwingine tuisaidie Nchi yetu kiushauri tu. Ipo Siku watasikia.hilo la One Man Show, yeye mwenyewe ameshastuka anaingia Chaka. Sasa hivi anabadilika sana.Siyo suluhisho... ishu hapa ni ONE MAN SHOW..... |Fikiria zile amburence "zilizookotwa" bandarini...
Swali ni Zuri Mkuu. Ni kweli inawezekana bidhaa zikapitia bandari ya Mombasa au Dar. Lakini kumbuka mtoza kodi ni Mamlaka ya Mapato Uganda. URA. Kuhusu thamani ya pesa hakawezi kusababisha bidhaa iuzwe rahisi Nchi nyingine. Kumbuka, hizi bidhaa zote zinatoka China na zote zinanunuliwa kwa DolaMkuu sio ishu ya thaman ya sh na pesa ya uganda ndio znamata hapo
Na una uhakika kwamba hzo bidhaa znapita bandar ya dsm na sio mombasa au kwingne,..
Mambo ni meng,labda niwe sjaelewa injinia mim na maswal ya kodi wap na wap
Usimtoe mheshimiwa wako kwenye hili kwani linamhusisha 100%.Hawa mambuzi ndio wanaomkwamisha mheshimiwa
Nini umeona ndo alama ya kubadilika kwake? Unakumbuka maneno ya mbunge wa KILWA Bwana BWEGE..!!??? Mwishooooooooooooooooooooniiiiiiiiiiiiiiiiiiii mtabadilika.... Tunawajua nyie CCM...... Mwisho wakunukuuMambo mengine siyo ya kufukua sana Mkuu, mengine tupotezee. Wakati mwingine tuisaidie Nchi yetu kiushauri tu. Ipo Siku watasikia.hilo la One Man Show, yeye mwenyewe ameshastuka anaingia Chaka. Sasa hivi anabadilika sana.
Wakati anahangaika kuwafanya matajiri waishi kama mashetani, ALITEGEMEA AKINA SISI WA LIULI MBINGA, WA KYERWA KAGERA, WA KISHUMUNDU KILIMANJAO, etc... TUISHI KAMA NANI?Usimtoe mheshimiwa wako kwenye hili kwani linamhusisha 100%.
Yeye ndiye muasisi wa wafanyabiashara kuishi kama mashetani. Yametimia sasa