Nchi ya Ajabu: Nimewaona Wafanyabiashara wa Tanzania wamekuja Kampala kununua Bidhaa za China

Tra lazima wakubali wanahitaji kujisafisha wenyewe, hawana ubunifu, kwa mfano simu za mkononi Watanzania wanakwenda kununua kenya, pia wakongo, Wanyarwanda na hata Wazambia, wafute kodi ya simu ili wateja waje wengi Karikoo pia hotel zitarudisha badhi yake zitapata wageni zitakuwa kodi
 
Binafsi nakiri kwamba ktk mkakati wa kuhakikisha Bandari ya Tanga inakufa kiuchumi Mimi nilishiriki Kama kinara namba moja. Master plan. Na kilichosababosha ni dharau ya kamishna mmoja tu aliyekuwa pale wakati ule. Na nilimtaarifu wazi wazi kwamba, kwa kuwa amenidharau kwa kiwango kile nilitaka kumwonyesha kuwa najua mambo mengi kuliko yeye. Na baada ya miezi 6 tu bandari ilikufa. Mpaka Leo, ananiita Kamanda . Na sasa hivi kazi Hana. Anatia huruma. Na mpaka Leo bandari ya Tanga iko hoi. Kifupi sipendi dharau!. Na nikiamua iamke pia itaamka. Ni Suala la ushirikiano tu.
Mimi ni interested party kwa issues involved with powers, as a matter of interest,
  1. Master Plan ya Bandari ya Tanga inasema nini au inaonyesha nini?.
  2. Ulishiriki kama Kinara number moja kwa upande upi?
  3. Kwenye Bandari ya Tanga, wewe mwenzetu ulikuwa nani hadi ukiamua ife ikafa na ukiamua ifufuke, itafufuka?
  4. Jee ulifanya nini hadi bandari ya Tanga ikafa within 6 months?
  5. Huyo Kamishna wa TRA alikufanyia dharau gani hadi ukakasirika bandari ikafa?
  6. Imetokea nini kwa huyo Kamishna uliyekudharau hadi akapoteza kazi?.
  7. Kunahitajika kufanyike nini ili uweze kuamua Bandari ya Tanga iamke?,
  8. Ukiamua iamke, itaamka baada ya muda gani?.
  9. Jee pia ukiamua, Kamishna anaweza kurejeshwa kazini?.
  10. Hizo powers ulizonazo ni powers za aina gani?

P
 
Kwenye Korosho, Mimi nilishakuja na Mada hapa. Kwamba. Waliomshauri Raisi, wanatakiwa kuwa Gerezani na Viboko Juu. Kumbuka Raisi siyo mfanyabiashara, ila Ana washauri wa biashara na mishahara wanalipwa. Hawa hawana tofauti yoyote na Wahujumu uchumi.
Unamjua Jiiwe au unamsikia?Marehemu raisi wa kwanza walimpachika jina la HAAMBILIKI huyu nae anatatizo la kuamini kuwa washauri wake wanamdanganya kumbuka alishasema ukimshauri na akagundua umemshauri vibaya anakutimua hivyo anaachwa aamue mwenyewe.
 
Back
Top Bottom