Kwa sisi tuliofatilia hali ya kisiasa na kijamii kuanzia kuingia kwake madarakani 2015 na uchaguzi wa muhula wa pili 2020 tulijua kabisa na kubashiri janga linaloenda kuikabiri nchi yetu.
Kwa sisi tulioona na kushuhudi uhuni ule wa uchaguzi, matumizi mabaya ya fedha kudhibiti Haki na demokrasia nchini tulijua kabisa baada ya uchaguzi hali ya kiuchumi itakuwa mbaya sana. Nyote ni mashuhuda sasa.
Nchi nzima si wanaccm, chadema wala Chauma. Si wanasiasa hadi wasio na siasa wote wameichukia ccm hasa iliyokita mizizi na fikra za John Pombe magufuli, fikra za kikandamizaji.
Kwa wale tuliosikia zile tetesi kwamba Hayati alikodisha vikosi vya cyber kuja kuchakachua mifumo mingi ya kiteknolojia na internet ili kurahisisha mazingira ya kushinda uchaguzi tuliwaza kabisa kuwa kama ni kweli hizo pesa anazowalipa zinatoka wapi? au ndio amekomba pesa zote za hazina? Kuna wengine wanafika mbali na kusema huenda pesa alizokopa world bank na Uchina kwa ajili yanujenzi wa SGR na Stigler ndio hizo zilitumika ktk mikakati michafu ya uchaguzi october 2020 na hivyo tunalipa ghalama.
Sasa Awamu ya sita imetuchanganya. Huwezi kumjua Mpiga mapambio wa zamani na mpinzani wa zamani. Wote wamekuwa kitu kimoja. Adui wao amekuwa mmona tu, naye ni CCM.
Asante sana CCM kwa kutuunganisha. Sasa ongeza na tozo zingine ili tujenge nchi kwa haraka zaidi.
CCM nambali one.
Kwa sisi tulioona na kushuhudi uhuni ule wa uchaguzi, matumizi mabaya ya fedha kudhibiti Haki na demokrasia nchini tulijua kabisa baada ya uchaguzi hali ya kiuchumi itakuwa mbaya sana. Nyote ni mashuhuda sasa.
Nchi nzima si wanaccm, chadema wala Chauma. Si wanasiasa hadi wasio na siasa wote wameichukia ccm hasa iliyokita mizizi na fikra za John Pombe magufuli, fikra za kikandamizaji.
Kwa wale tuliosikia zile tetesi kwamba Hayati alikodisha vikosi vya cyber kuja kuchakachua mifumo mingi ya kiteknolojia na internet ili kurahisisha mazingira ya kushinda uchaguzi tuliwaza kabisa kuwa kama ni kweli hizo pesa anazowalipa zinatoka wapi? au ndio amekomba pesa zote za hazina? Kuna wengine wanafika mbali na kusema huenda pesa alizokopa world bank na Uchina kwa ajili yanujenzi wa SGR na Stigler ndio hizo zilitumika ktk mikakati michafu ya uchaguzi october 2020 na hivyo tunalipa ghalama.
Sasa Awamu ya sita imetuchanganya. Huwezi kumjua Mpiga mapambio wa zamani na mpinzani wa zamani. Wote wamekuwa kitu kimoja. Adui wao amekuwa mmona tu, naye ni CCM.
Asante sana CCM kwa kutuunganisha. Sasa ongeza na tozo zingine ili tujenge nchi kwa haraka zaidi.
CCM nambali one.