Nchi kadhaa duniani zaanza kuchukua hatua dhidi ya Israeli juu ya operesheni yake ya kijeshi huko Rafah ambayo yaua wapestina wengi

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,939
20,400
Israeli bado yaendelea na operesheni yake katika mji wa Rafah ulioko shemu ya Khan Younis ambayo ipo sehemu ya kusini mwa mji wa Gaza yenye wapestina wapatao milioni 1.4

Operesheni hiyo imeanza kutoa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina pamoja ya idadi ingine ya vifo inotokea katika Ukanda wa Magharibi ambako walowezi wa kiyahudi wamekuwa wakiendesha operesheni yao dhidi ya wapalestina popote pale walipo.

Hadi sasa idadi rasmi ya wapelestina walouawa katika operesheni ya Israeli imefikia 28,473.

Leo hii waandishi wawili wa habari wa Al-Jazeera wamejeruhiwa vibaya kwa risasi na wanajeshi wa IDF walipokuwa kazini.

Yafuatayo yametokea mida hii na zifuatazo ni hatua ambazo nchi kadhaa duniani zimeamua kuchukua dhsidi ya Israeli baada ya kuona kuwa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina ikuiendelea kuongezeka.

1. Mfalme Abdulah wa Jordan ametoa kauli akiwa ziarani mjini Washington mbele ya raisi Joe Biden kwamba operesheni ya Israeli huko Rafah haiwezi kuvumiliwa.

2. China imetoa tamko kuitaka Israeli kusitisha mara moja operesheni yake hiyo huko Rafah.

3. Uingereza imewawekea vikwazo walowezi wa kiyahudi ambao wamekuwa wakiendelea na operesheni yao dhidi ya wapalestina na kupora ardhi kinguvu huko ukanda wa Magharibi au West Bank.

4. Ufaransa imewawekea vikwazo walowezi wapatoa 28 wa kiyahudi (kwa mujibu wa ofisi ya mambo ya nje) Ikumbukwe kuwa walowezi wengi wa kiyahudi wamekuwa na urai pacha wa nchi mbalimbali za Ulaya.

5. Afrika Kusini imeitisha kikao katika mahakama ya Umoja wa Mataifa kujqdili yanoendelea huko Rafah.

6. Italy nayo imetoa kauli kwamba Operesheni ya majeshi ya Israeli huko Rafah imezidi malengo halisi na wapalestina waso na hatia wengi wanauawa.

7. CIA na Mossad jioni hii wakutana na mawaziri wakuu wa Qatar na Misri kujadili namna ya kusitisha operesheni ya Israeli na kubadilishana wafungwa kati ya Israeli na Hamas.
 
Kufuga magaidi Kuna gharama take ndio maana Tanzania haikuwavumikia ingawa baadha ya watu walipiga kelele kuwatetea
Hata kufuga watu mlio kwisha barikiwa kuna gharama kubwa
Sijui kwanini rais wenu (wetu) kaenda Vatican kwa yule kubwa la wabarikiwa
 
Mzozo wa Gaza usiulete kwa namna unayoifikiria wewe.
Gaidi halisi USA na Israel.
Kama unabisha tujadili kimantiki.
Utapoteza muda wako hakuna mtu wakujadiliana nae hapo
Yeye anajua kubarikiwa tu ndio suala la kujadiliana kwalo
 
Kama walimkalia kimya Urusi basi watulie hivyo hivyo, hatutaki UNAFIKI , ukraine alivamiwa bila sababu hata hakurusha hata jiwe ndan ya Urusi ila alivamiwa watoto kwa wazee waliuliwa ni Ulaya pekee ndo walisimama na ukraine, ila wengi wetu tulikaa kimya akiwepo huyo mfalme wa Dubai , SA , China na wengineo wengi , WATULIE KAMA WALIVYO MYAUDI AMTOE MTU KINYESiii
 
Utapoteza muda wako hakuna mtu wakujadiliana nae hapo
Yeye anajua kubarikiwa tu ndio suala la kujadiliana kwalo
we mpuuz ulishangiliaa kuuawa kwa waisrael 1400 kisha kushikwa mateka raia wengine , je leo mnajibiwa , Kwanin MNATIA HURUMA ?
 
we mpuuz ulishangiliaa kuuawa kwa waisrael 1400 kisha kushikwa mateka raia wengine , je leo mnajibiwa , Kwanin MNATIA HURUMA ?
Anaetia huruma nani kijana ukishapewa baraka unaona sifa kuita watu majina ya hovyo
Hamas waliua magaidi na lile lilikua ni jambo la kupongezwa kuanzia siku ile leo kesho mpaka kiama
 
Haya Mayahudi ni majitu majinga sana. Badala ya kupambana na wababe wao Hamas! Yenyewe yako busy kulipua majengo na kuua raia wasio na hatia, kwa kisingizio cha kupambana na hao Hamas.
Hao magaidi hata sare tu hawana sasa tofauti yao na hao raia ni nini wakati wanakaa pamoja sasa kwa mazingira hayo mnataka Israel wafanye nini wakati risasi pia hazibagui kati ya raia na magaidi.
 
Back
Top Bottom