Nchi imesimama soon inazimia

Nchi imesimama soon inazimia

Wanaona rais mama,makamu hajui kuongea ni mpole,Wazir mkuu msemaji-semaji tuu sio mtendaji... kunawatu wanachoweza zaidi nikuchonga nywele na kuongea kiukiongozi lkn nikama walimu wa darasa tuu
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
We kahangaike na maisha yako huna unalojua umejaa tu chuki na serikali ya mama. Bajeti yenyewe hata husikilizagi au pengine huelewi kinachojadiliwa. 2025 utakuwa umechoka wewe.
 
Wanaona rais mama,makamu hajui kuongea ni mpole,Wazir mkuu msemaji-semaji tuu sio mtendaji... kunawatu wanachoweza zaidi nikuchonga nywele na kuongea kiukiongozi lkn nikama walimu wa darasa tuu
ulitaka mama awe rais? mwambie agombee 2025, mipoyoyo tu nyie
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
CCM Hoiiiiiii!
 
ulitaka mama awe rais? mwambie agombee 2025, mipoyoyo tu nyie
We lofa tuu swala sio mama swala nimajizi na mengi nisisi wanaume...mtangulizi wamama mwenyewe alikuwa "sifu" ila alitaka aibe yeye mwenyewe. Mama Yuko imara tatizo matendaji majina na wananchi wasiojielewa.
Walimu walipaswa kuandamana kupinga wizi mkubwa huku shule ziko hoi nawatoto wanashinda njaa,hivyo hivyo madaktari,manesi nk.
Wananchi hamuwezi kupinga mafisadi mnachojua kumpigia kelele rais,Wewe umefanya Nini kukataa wizi mkubwa na utensaji mbovu
 
Wanaona rais mama,makamu hajui kuongea ni mpole,Wazir mkuu msemaji-semaji tuu sio mtendaji... kunawatu wanachoweza zaidi nikuchonga nywele na kuongea kiukiongozi lkn nikama walimu wa darasa tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
FB_IMG_1681537418693.jpg
 
We lofa tuu swala sio mama swala nimajizi na mengi nisisi wanaume...mtangulizi wamama mwenyewe alikuwa "sifu" ila alitaka aibe yeye mwenyewe. Mama Yuko imara tatizo matendaji majina na wananchi wasiojielewa.
Walimu walipaswa kuandamana kupinga wizi mkubwa huku shule ziko hoi nawatoto wanashinda njaa,hivyo hivyo madaktari,manesi nk.
Wananchi hamuwezi kupinga mafisadi mnachojua kumpigia kelele rais,Wewe umefanya Nini kukataa wizi mkubwa na utensaji mbovu
Mama anahusika kwa 100%, panapokuwa na kitu kizuri anasifika yeye badala ya wasaidizi wake, panapokuwa na uchafu mnasema wasaidizi wake.
Viongozi wote wa chini wanaangalia juu wanaiga tabia yako. Anafaidika kwa yote yanayoendelea Kwasasa.
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
Na wewe amka kapige usizubae kulalamika hakutakusaidia lolote, inuka nenda kazipige!
 
Sasa hivi ukijaribu kukosoa utaitwa sukuma gang as if wote humu ni politician.wacha wale kabisa.
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
sisi wana chato hatuna cha ku comment hapa
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
Katiba inasema Rais akifa Makamu wa Rais atashika urais kipindi chote. Ndicho kilichowapata vumilieni shindano iwaingie
 
Back
Top Bottom