Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,711
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.
2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.
3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi
4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.
5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.
Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.
3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi
4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.
5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.
Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..