Nchi imesimama soon inazimia

Nchi imesimama soon inazimia

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,711
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
 
Hii nchi inakwenda kufilisika kwa ufisadi nashangaa bado pana watu wanoko.

Unajifanya mzalendo kuwakusanyia wakanunue mabus , malori na kuzificha nje. Tugawane mbao kila mmoja akafie mbele.
 
bluepixelanimations-r4.jpg
 
Mm nasubiri zamu yangu tu ya kulamba asali
Nadhani kwa sasa hili ndio la msingi kuliko yote, nafasi yako ikija wala usiongee na mtu, jiwekee hazina duniani ili uzidi kuheshimika. Wenzetu wanajineemesha na wanapata heshima kwa njia zote.
 
Back
Top Bottom