Nchi imesimama soon inazimia

Nchi imesimama soon inazimia

Ndugu yangu umelalamika tu hujatoa suluhu. Toa mapendekezo tufanyeje?
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
Leta ulinganisho na Bajeti ya yule Mwendazake tuone.
 
Pamoja na mabaya yake, jiwe kaijenga sana TZ
Mbona sijaona alichojenga? Unamlinganisha na nani?
Screenshot_20230322-182232.jpg
 
Mama anahusika kwa 100%, panapokuwa na kitu kizuri anasifika yeye badala ya wasaidizi wake, panapokuwa na uchafu mnasema wasaidizi wake.
Bibi kapewa kiatu oversize, mule CCM kuna vijamaa vijanjajanja sana mule. Vinapiga, vinatukanwa stupid halafu vinapiga tena 😁.
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
Nchi karibu inazima ndio maana Kikwete anaomba msaada wa wananchi kumuombea Chief Hangaya anusuruke na mafuriko yanayoweza kumsomba!! Utabiri wa blai Ndugai hauko mbali ; we anagalia tu jirani zetu hapo Zambia madeni yanavyo wapeleka puta!! Waswahilini wanasema "UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA NA WEWE ANZA KUJITIA MAJI UJUE ZAMU YAKO INAKUJA"!
 
Back
Top Bottom