Walio na kamba za kujipimia ni wachache mkuu wakiwemo wanasihasa na waliokalia kibubu akina madelu, watumishi wengi wakiwemo walimu ni mwendo wa kilio cha kusaga meno.Yani tamani ningekuwa nimeajiriwa serikalini, na mimi nijichotee tu
Walio na kamba za kujipimia ni wachache mkuu wakiwemo wanasihasa na waliokalia kibubu akina madelu, watumishi wengi wakiwemo walimu ni mwendo wa kilio cha kusaga meno.Yani tamani ningekuwa nimeajiriwa serikalini, na mimi nijichotee tu
Umeshajipatia nakala ya kitabu kilochozinduliwa jana boss? Kitabu kinakwenda kwa jina la " I am the state"1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.
2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.
3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi
4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.
5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.
Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huenda isifike maana muda unakwenda mbioMm nasubiri zamu yangu tu ya kulamba asali
Formula ya mapato ya Serikali 60% matumizi ya kawaida 40% miradi ya MaendeleoUtakufa wewe. Nchi sasa hivi ina amani
KAMA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA NI KUBWA KULIKO YA MAENDELEO unatarajia nini?1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.
2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.
3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi
4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.
5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.
Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
Umepata nakala ya kitabu Cha am the state. 😂😂1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.
2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.
3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi
4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.
5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.
Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
Hat wewe nyumbani kwako ni hivyo hivyo. Ni jambo la kawaida tunapata pesa tuzitimie asilimia kidogo tuna weka akiba.KAMA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA NI KUBWA KULIKO YA MAENDELEO unatarajia nini?
Wale waandishi naweza sema ni wapumbavu .. ivi mkoa gani Tanzania hii ambao haukupata mgao wa maendeleo enzi za Jiwe.. Jiwe amepelaka barabara za lami na taa za barabarani hadi kwa wachawi sumbawanga..Umepata nakala ya kitabu Cha am the state. [emoji23][emoji23]
Huyo jiwe wenu alitengeneza system yeyote ya kupambana na ufisadi? Ametunga sheria za kipumbavu za kumlinda yeye akaacha sheria za kumaliza ufisad afu mnamsifia?Wale waandishi naweza sema ni wapumbavu .. ivi mkoa gani Tanzania hii ambao haukupata mgao wa maendeleo enzi za Jiwe.. Jiwe amepelaka barabara za lami na taa za barabarani hadi kwa wachawi sumbawanga..