Nchi imesimama soon inazimia

Nchi imesimama soon inazimia

1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
Umeshajipatia nakala ya kitabu kilochozinduliwa jana boss? Kitabu kinakwenda kwa jina la " I am the state"
 
Nchi hii ni ya Kula tu!!!!!! hakuna lolote la maana with such corrupt cabinet utasubiri Sana, Cha zaidi mno maendeleo wanayojua ni kujenga madarasa tuu eti hayo nfo maendeleo fedha zingine wanaweka mifukoni mwao.
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
KAMA BAJETI YA MATUMIZI YA KAWAIDA NI KUBWA KULIKO YA MAENDELEO unatarajia nini?
 
1. Bajeti ya serikali ni ya kula, kujilipa posho, kununua magari.

2. Upigani ndio story kubwa sinazo pigwa hata kwenye ofisi za wakubwa.

3. Hakuna mtu anamwogopa kiongozi

4.Hakuna miradi mipya ya maendeleo na waliyo ikuta inasuasua sana.

5. Kwenye halmashauri pesa zote zinaishia kwenye posho.

Tutafika 2025 tumechoka sana na tukiongezewa hadi 2030 tukufe kabisa..
Umepata nakala ya kitabu Cha am the state. 😂😂
 
Umepata nakala ya kitabu Cha am the state. [emoji23][emoji23]
Wale waandishi naweza sema ni wapumbavu .. ivi mkoa gani Tanzania hii ambao haukupata mgao wa maendeleo enzi za Jiwe.. Jiwe amepelaka barabara za lami na taa za barabarani hadi kwa wachawi sumbawanga..
 
Wanajenga madarasa,shule, mabweni, zahanati, vituo vya afya
Wameajiri
 
Wale waandishi naweza sema ni wapumbavu .. ivi mkoa gani Tanzania hii ambao haukupata mgao wa maendeleo enzi za Jiwe.. Jiwe amepelaka barabara za lami na taa za barabarani hadi kwa wachawi sumbawanga..
Huyo jiwe wenu alitengeneza system yeyote ya kupambana na ufisadi? Ametunga sheria za kipumbavu za kumlinda yeye akaacha sheria za kumaliza ufisad afu mnamsifia?
Ni suala la muda hata wale WATUMISHI HEWA WATARUDI! HUWEZI KUMALIZA TATIZO BILA KUTENGENEZA CONTROL MECHANISM
 
Back
Top Bottom