Nchi imemshinda na Chama chake kimemshinda; aombe wawekezaji?

ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.

Red: Hapo vipi, baada ya uchaguzi nani kati ya SLAA na LIPUMBA alionekana kichuguu?
Green: watanzania wengi ni mil. 5 alizoambulia?
Pamoja na kuchakachua alipata hizo, asingechakachua? Angepata less than Lipumba!!
 
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.


Wewe naona umekunywa gongo, tena iliyochangannywa na m....v... au wewe ni house boy kwa jamaaa ndo maana unakula bure unadhani maisha haya ni rahisi?
Watu wanalalamika maisha mabaya,wewe unaleta mambo ya kirabuni kwenu huko m...n...z. kama hii kwako ndo demokrasia sisi hatuitaki bora udikteta utakao tuletea maisha mazuri. Watu tuna hasira zetu unatuchefua. Hatutaki longolongo, tunataka mabadiliko ya kiuchumi siyo unaleta mambo ya demokrasi, uhuru wa habari sijui ninininini.. Haya yote ni upuuzi mtupu kwani tuliwambia sisi tunakula vyombo vya habari au huo uhuru?

Rais yupo yupo tu hata kitu kimoja cha maana hakuna, kila project kubwa zote ni zile zilizoanza wakati wa NKAPA, Dar mji mchafu NO SEWAGE system watu wanaishi na mavi nyumbani kwao... Dar Jiji lenye wakazi karibu 4m lakini nikama 40% ndo wana pata maji safi tena kwa mgao. Hakuna solution ya mafoleni hapa Dar hakuna. Kilimo kwanza ni wimbo wa jukwaani tu matrekta yamepaki pale mwenge badala ya kupelekwa vijjini japo watu wakakopeshwa baada ya muda si mrefu litageuzwa dili la mafisadi walewale. Watu wanachezea mali ya hii nchi kama ni yao na hakuna mtu wa kuwakemea. Mfumuko wa bei ndo usiseme, Bei za utilities ni ghari na zinapandishwa tu kihorela bila hata kuhoji kwanini wapandishe bei, kwani tatitzo hasa ni nini. Tanesco hawakusanyi madeni, na watumiaji wakubwa wa umeme hawalipi wanatoa rushwa tu kwa wafanyakazi madeni yanfutwa kinyamela.

Tuambie nini substantial kiuchumi kimefanyika kuwaletea nafuu ya maisha watanzania katika kipindi cha jk? Au na wewe unakubaliana na figures za BOT ambazo hata siku moja hazijawahi kuonyesha hali halisi ya maisha ya watnzania wa kawaida labda wao wenyewe peke yao tu.

Ninakuomba unywe gongo yako ukalale kuliko kututapikia hapa!
 
Walimu 16,000 sekondari kukosa ajira ni kashfa
Wednesday, 29 December 2010 20:44
Mwananchi

ghasia.jpg

Waziri wa menejimenti na utumishi wa umma, Hawa Ghasia

HABARI kwamba walimu 16,000 waliohitimu shahada ya kwanza na stashahada mwaka huu hawajapata ajira ni za kushangaza na kusikitisha sana. Tunasema ni za kushangaza na kusikitisha kwa sababu zinatokea wakati shule za sekondari zikikabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu, kiasi cha baadhi ya shule kuwa na mwalimu mmoja.

Inajulikana kwamba katika hali ya kawaida, walimu wanapohitimu mafunzo, Serikali huwapangia vituo vya kazi ndani ya miezi miwili, lakini katika hali ya kushangaza mwaka huu walimu hao wamesubiri zaidi ya miezi tisa bila kuelezwa lolote kuhusu hatima ya ajira zao. Hali hiyo imewalazimu walimu hao kuhangaika huku na kule wakitafuta ajira za muda mitaani, ili kukabiliana na ugumu wa maisha.

Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimethibitisha kuwapo kwa hali hiyo, ambayo inasemekana imetokana na Serikali kuwa kimya na kuficha ukweli kwamba haina fedha za kuwaajiri walimu hao hivi sasa, pengine hadi Januari mwakani. Hii ni hali inayoweza kuwaweka walimu hao katika mtafaruku na kuwafanya baadhi yao waachane na kazi hiyo na kutafuta ajira mahali pengine.

Jambo linalowashangaza wengi ni kuona walimu wa shule za msingi wanapata ajira kila wanapomaliza mafunzo yao vyuoni, lakini walimu wa sekondari wanaachwa wakitangatanga mitaani, pamoja na ukweli kuwa bajeti ya Serikali ilitolewa tangu Juni mwaka huu. Tunaungana na CWT kupuuza madai ya Serikali kwamba kilichokwamisha ajira za walimu hao ni uchambuzi wa majina ya walimu waliokwenda kusoma au kujiendeleza kielimu, kwa sababu vibali vya walimu hao vinatolewa na serikali yenyewe, hivyo taarifa zao zinafahamika vyema kwa mamlaka zote husika.

Pia tunadhani kuwa maelezo ya waziri anayehusika na menejimenti na utumishi wa umma, Hawa Ghasia, kwamba walimu hao wavute subira hadi Januari mwakani wakati wizara yake inafanya uchambuzi wa majina hayo kabla ya kuwapangia vituo vya kazi, yanadhihirisha uzembe kwa sababu wizara hiyo ilikuwa na muda mwingi wa kufanya kazi hiyo wakati walimu hao walipokuwa vyuoni.

Sisi tunadhani kuwa udhalilishaji wa walimu hao wanaohitajika sana katika sekondari zetu nchini ni kashfa kubwa kwa wizara hiyo ya Waziri Ghasia, kwani inaonekana wazi kwamba kuna uzembe ndani ya wizara yake kutokana na wafanyakazi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa mazoea na kwa wakati wao.
 
mkuu..... kula tano kwa kuchoshwa....... i am impressed with your impulse as an infant here at JF.... please usimuulize kwa nini asiachie ngazi..... toa maagizo yako direct ..... kwani JK hakuchaguliwa ligitimately.... toa mawazo pia tumfanyeje JK sasa...
,hh
 
mkwere ni mfuasi wa shetani. I hate him than hell. Ukiniuliza nichague motoni na mkwere, nitachagua moton. That guy is disgustin devil worshiper,three mansons,iluminant and black mafia. Ndugu zangu wanaishi na njaa then yeye anajichekesha chekesha utafikiri yupo kwenye mashindano ya u model.
 
mkwere ni mfuasi wa shetani. I hate him than hell. Ukiniuliza nichague motoni na mkwere, nitachagua moton. That guy is disgustin devil worshiper,three mansons,iluminant and black mafia. Ndugu zangu wanaishi na njaa then yeye anajichekesha chekesha utafikiri yupo kwenye mashindano ya u model.
 
Na tena wakati mh Ghasia akisema serikali haina pesa aah Mkulo akapanda ndege mpaka Dom kuhudhuria mahafali ya chuo cha mipango wakati kesha mtuma dereva atangulize shangingi lake ili atese nalo mjini.

Serikali ina pesa sema matumizi ndo hayawekwi hadharani.
 
Walimu 16,000 sekondari kukosa ajira ni kashfa
Wednesday, 29 December 2010 20:44
Mwananchi

ghasia.jpg

Waziri wa menejimenti na utumishi wa umma, Hawa Ghasia

HABARI kwamba walimu 16,000 waliohitimu shahada ya kwanza na stashahada mwaka huu hawajapata ajira ni za kushangaza na kusikitisha sana. Tunasema ni za kushangaza na kusikitisha kwa sababu zinatokea wakati shule za sekondari zikikabiliwa na upungufu mkubwa wa walimu, kiasi cha baadhi ya shule kuwa na mwalimu mmoja.

Inajulikana kwamba katika hali ya kawaida, walimu wanapohitimu mafunzo, Serikali huwapangia vituo vya kazi ndani ya miezi miwili, lakini katika hali ya kushangaza mwaka huu walimu hao wamesubiri zaidi ya miezi tisa bila kuelezwa lolote kuhusu hatima ya ajira zao. Hali hiyo imewalazimu walimu hao kuhangaika huku na kule wakitafuta ajira za muda mitaani, ili kukabiliana na ugumu wa maisha.

Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kimethibitisha kuwapo kwa hali hiyo, ambayo inasemekana imetokana na Serikali kuwa kimya na kuficha ukweli kwamba haina fedha za kuwaajiri walimu hao hivi sasa, pengine hadi Januari mwakani. Hii ni hali inayoweza kuwaweka walimu hao katika mtafaruku na kuwafanya baadhi yao waachane na kazi hiyo na kutafuta ajira mahali pengine.

Jambo linalowashangaza wengi ni kuona walimu wa shule za msingi wanapata ajira kila wanapomaliza mafunzo yao vyuoni, lakini walimu wa sekondari wanaachwa wakitangatanga mitaani, pamoja na ukweli kuwa bajeti ya Serikali ilitolewa tangu Juni mwaka huu. Tunaungana na CWT kupuuza madai ya Serikali kwamba kilichokwamisha ajira za walimu hao ni uchambuzi wa majina ya walimu waliokwenda kusoma au kujiendeleza kielimu, kwa sababu vibali vya walimu hao vinatolewa na serikali yenyewe, hivyo taarifa zao zinafahamika vyema kwa mamlaka zote husika.

Pia tunadhani kuwa maelezo ya waziri anayehusika na menejimenti na utumishi wa umma, Hawa Ghasia, kwamba walimu hao wavute subira hadi Januari mwakani wakati wizara yake inafanya uchambuzi wa majina hayo kabla ya kuwapangia vituo vya kazi, yanadhihirisha uzembe kwa sababu wizara hiyo ilikuwa na muda mwingi wa kufanya kazi hiyo wakati walimu hao walipokuwa vyuoni.

Sisi tunadhani kuwa udhalilishaji wa walimu hao wanaohitajika sana katika sekondari zetu nchini ni kashfa kubwa kwa wizara hiyo ya Waziri Ghasia, kwani inaonekana wazi kwamba kuna uzembe ndani ya wizara yake kutokana na wafanyakazi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa mazoea na kwa wakati wao.

serikali iseme ukweli tuu inaonekana mafungu yalikwenda kwenye uchaguzi
 
mkwere ni mfuasi wa shetani. I hate him than hell. Ukiniuliza nichague motoni na mkwere, nitachagua moton. That guy is disgustin devil worshiper,three mansons,iluminant and black mafia. Ndugu zangu wanaishi na njaa then yeye anajichekesha chekesha utafikiri yupo kwenye mashindano ya u model.

umechanganyikiwa wewe
 
Inasikitisha maana mambo yanayofanyika sasa ndani ya nchi hii yanasikitisha. Jk hawezi kusema lolote lile. Kila mtu anasema lake hata kama si msemaji. Ebu fikiria suala la kupanda kwa bei za umeme, kuwalipa dowans, katiba mpya. Maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana sasa aseme nini. Pole sana jk, kwanini usiachie ngazi?

Rais hatakiwi kuwa mzungumzaji sana, ni vitendo . Yeye sio mzungumzaji pekee wa serikali, waziri mkuu ameisha zungumza kwa niamba ya serikali, wewe wataka nini sasa ?.
 
Ingawa nampenda Mkwere lakin sina jinsi kumpa live kuwa nchi imemuelemea, hebu angalia serikali yake imeshindwa kuajiri walimu wapya waliomaliza diploma mwaka jana mwezi wa tano, ameshindwa pia kuajiri walimu wa digrii waliomaliza mwaka jana mwezi wa wa nane, na pia eameshindwa kuajiri mafamasia,manesi,na madaktari waliomaliza mwaka jana mwezi wa nane, yeye kama muajiri mkuu hajazungumzia lolote mpaka muda huu, angalia pia migomo ya vyuo vikuu UD,UDOM wakati kwenye kampeni aliahidi kutengeneza account maalum kwa ajili ya kutatua matatizo hayo, na cha ajabu zaidi hajatoa tamko lolote juu ya mauaji ya Arusha, na mbaya zaidi waziri wake anaserma wanaandaa riport, hebu angalia Obama, walivyouawa wale watu alitoa tamko on sport, wana JF tunamsaidiaje the presidenT?
 
Namshauri akamuulize shekhe Yahya kitu cha kufanya na kifuatacho mbeleni baada ya kushindwa kutimiza hata ahadi moja
hadi sasa miezi minne toka uchaguzi.Kilichosomamiwa na serikali yake kwa sasa ni kulipa umeme wa Dowans,sijui kama hii
ilikuwepo kwenye ahadi alizokuwa anazitoa wakati wa kuomba kura..!!??Akanyage wapi?Apite wapi kila mahali hakuna mtu
anaetaka kumwona wala kumsikia.Sasa hivi Ikulu ndio eneo lililo baki la yeye kutabasamu akiingia mikoani na tabasamu
lake watu wooote wamenuna na wanamachungu kibao.Namsikitikia sana baba anayejilazimisha kuwa baba wakati watoto
hawamthamini tena.Mimi kama mimi sina lakumsaidia namshauri asome asome dira kwenye matunguli ya mitambiko yake
na shke wake anayemsaidia kusoma ramani ya what is nect in his life...shekhe Yahya.
 
Iliishamshinda kitambo ni kama vile kuna mtu mwingine anaongoza kwa niaba yake au kuna mtu ambaye mwenyewe nguvu zaidi yake wanam-remote control
 
Back
Top Bottom