Nchi imemshinda na Chama chake kimemshinda; aombe wawekezaji?

Nchi imemshinda..kivipi? toa vigezo na measurement
Chama imemshinda..kivipi? toa vigezo na measurment?
otherwise hizo ni wishes zako ndugu...nchi inaende mbele tunachoona na malalamiko na uwazi katika kuendesha serikali..lol msitake kuturudisha huko kwa |Nyerere siri siri kila kitu lol

Mkuu kuna vigezo, mifano na vipimo vya kutosha kabisa kuelezea jinsi nchi inavyomshinda Mkuu wetu.

Nchi imemshinda:
1. Hakuna misingi ya utawala inayoeleweka
2. Hakuna mikakati ya maendeleo yanayoeleweka
3. Hakuna nidhamu ya kiutawala
4. Hakuna kauli yoyote anayoitoa kwa viongozi ndani ya serikali yake inayofanyiwa kazi
5. Hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kwa viongozi wanaokwenda kinyume cha sheria za nchi
6. Kila kiongozi anafanya anavyojisikia mwenyewe. No controls
7. Wananchi wengi wanalalamika kuhusu hali ya uongozi wa nchi na hasa serikali yake
8. Viongozi kukashifiana hadharani
9. Kuwa mkimya katika mambo nyeti yanayohitaji uongozi thabiti kutoka kwake
10. Serikali yake imekosa ufanisi. projects nyingi zimekwama
11. Ufisadi ndio sifa kuu ya kiongozi bora

Chama kimemshinda:
1. Ndio maana ameunda Kamati ya Mwinyi, Kinana na Msekwa ili kumsaidia
2. Viongozi wa chama wamefaraganyika. Hakuna umoja wa kichama tena
3. Visasi vya kisiasa ndio mkakati wa uongozi wa chama
4. Chama kimehama kutoka chama cha wakulima na wafanyakazi hadi kuwa chama cha wafanya biashara, wala rushwa na wasanii
5. Hakuna imani ya CCM inayotumika kukijenga chama. Na wanaojaribu kutumia imani hizo wanakuwa maadui
6. Ahadi zote alizotoa katika kampeni baada ya kuteliwa 2005, hazijatekelezeka. Ikiwa ni pamoja na mpasuko wa Zanzibar. Ushirikiano/Uhisiano kati ya Bara na visiwani unadhoofika siku hadi siku
 
Ah!! Unauliza Ndevu kwa Osama. Kwani hujui wewe nchi imemshinda sasa akiongea si ataongeza machungu kwa Wadanganyika??
 
Take it from me;
Kwa jinsi hali ilivyo, kila upande 'utapoteza mtu' muhimu, halafu mambo yanaendele kuwa 'CCM oyee' ..... kama kawaida!
Tusubiri na kuona
 
Inasikitisha maana mambo yanayofanyika sasa ndani ya nchi hii yanasikitisha. Jk hawezi kusema lolote lile. Kila mtu anasema lake hata kama si msemaji. Ebu fikiria suala la kupanda kwa bei za umeme, kuwalipa dowans, katiba mpya. Maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana sasa aseme nini. Pole sana jk, kwanini usiachie ngazi?
 
kwani alichaguliwa kuwa raisi?
si mmempa ulaji afanyeje sasa?

kama ni kuongoza alishindwa toka zamani,na chanzo cha matatizo ya watanzania alisema hakijui lakini bado "akapewa" muda mwingine wa kula raha kwanini mumsumbue kuja kuongelea matatizo yenu?

Mnataka aanguke tena mpate la kusema?
Ebu mwacheni mwenzenu apunge upepo bana!
 
MIAFRIKA NDIVYO TULIVYOO. umaskini wetu tunautaka wenyewe!!! sasa nchi inayumba, aaaaaghhhhhh CCM wameibaka demokrasia wakaiba kura kwa Msaada wa KIVUITU wa bongo(NEC) wakawapa miaka mingine ya kuiba. nadhani sasa hivi adui yangu wa kwanza ni CCM
 
Inasikitisha maana mambo yanayofanyika sasa ndani ya nchi hii yanasikitisha. Jk hawezi kusema lolote lile. Kila mtu anasema lake hata kama si msemaji. Ebu fikiria suala la kupanda kwa bei za umeme, kuwalipa dowans, katiba mpya. Maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana sasa aseme nini. Pole sana jk, kwanini usiachie ngazi?
HAwezi kuachia ngazi................. akitoka tu ataingia kusiko na wanamtandao wake.............
 
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.
 
Inasikitisha maana mambo yanayofanyika sasa ndani ya nchi hii yanasikitisha. Jk hawezi kusema lolote lile. Kila mtu anasema lake hata kama si msemaji. Ebu fikiria suala la kupanda kwa bei za umeme, kuwalipa dowans, katiba mpya. Maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana sasa aseme nini. Pole sana jk, kwanini usiachie ngazi?

mkuu..... kula tano kwa kuchoshwa....... i am impressed with your impulse as an infant here at JF.... please usimuulize kwa nini asiachie ngazi..... toa maagizo yako direct ..... kwani JK hakuchaguliwa ligitimately.... toa mawazo pia tumfanyeje JK sasa...
 
Wabongo tutegemee maumivu makubwa saana, awamu ya kwanza JK alihitaji sana kura za watz ili kupata kipindi cha pili lakini hakuwajibika sana sana aliwajibika kwa mafisadi wenzake, sasa kapata kipndi cha pili ambapo hahitaji tena kura zenu mnategemea nini kama siyo ufisadi uliotukuka? Kibaya zaidi ni kuwa hivi sasa mambo yamemkalia vibaya mno JK kuliko watu wanavyo fikiri any time anaweza kuachia ngazi sasa cha kufanya ni kujichukulia chake mapema kama unavyoona shinikizo la AGl kuilipa Dowans fasta , hi hela ni ya JK na genge lake.TUMELIWA WATZ.
 
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.

Source an evidences please!!?
 
ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda. Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.
Hapo kwenye red .................. yale yale ya DOWANS NI GENGE LA WAHUNI WACHACHE WALIOAMUA KUTAFUNA RASLIMALI ZA NCHI BILA HURUMA...................... kumbe chama kizima kina majibu ya namna hii........ hadi wewe mjumbe wa shina unamajibu hayo........!!!
 
Jamaa nchi ilishamshinda tangu mwanzo. Nguvu ya dola na fedha vikamrudisha madarakani. sasa anaumbuka. hayo ya kuwalipa dowans, mambo ya kwenye weekleaks, ni baadhi tu ya mengi tutakayosikia. just wait.
 
Inasikitisha maana mambo yanayofanyika sasa ndani ya nchi hii yanasikitisha. Jk hawezi kusema lolote lile. Kila mtu anasema lake hata kama si msemaji. Ebu fikiria suala la kupanda kwa bei za umeme, kuwalipa dowans, katiba mpya. Maisha bora kwa kila mtanzania yameshindikana sasa aseme nini. Pole sana jk, kwanini usiachie ngazi?

Niulizieni kwa Invizible kama naweza KUGONGA thanks 100 kwa post moja.... maana headingi ya hii imekaa vizuri MNOOO
 
PHP:
[QUOTE]ngw'anangwa una lako jambo dhidi ya JK. Jakaya nchi haijamshinda.  Ameleta mabadiliko mengi ya kiuchumi na demokrasia imepanuka katika  kipindi chake. Uhuru wa vyombo vya habari umekuwa na ndio maana mpo hapa  JF mnaandika. JK is one of the most successiful and fantastic african  leaders ever happen. Ana historia kubwa ndani na nje ya nchi. Nashangaa  eti mnapomfananisha SLAA na JK. Hata Prof Lipumba alisema kuwa kama SLAA  ni kichuguu basi yeye ni mlima kilimanjaro. JK oyee! Tujengee  mabarabara mwanangu watanyamaza tu hawa. Wewe fanya kazi kwa mujibu wa  sheria. Sisi tupo pamoja nawe. Hizi ni zama zako fanya kazi. Watanzania  wengi wanakuunga mkono isipokuwa mafisadi wachache wasiojua siasa.[/QUOTE]

charity boy. nina opinion mbili kaombe kazi ya utangazaji radio uhuru au certificate ya uhazili magogoni!
 
Back
Top Bottom