Nchi imemshinda na Chama chake kimemshinda; aombe wawekezaji?

Inaonekana Watanzania wengi wanaipenda CCM iendelee kuongoza nchi ndio maana wengi wa wachangiaji humu wanaudhika sana na mambo yanayotekea CCM kwa sasa

nakupa tano mkuu....

wanaipenda na wangetamani ibadilike tatizo ni kuwa haiwezi na wao hawawezi kuibadilisha...na mbaya zaidi wanaogopa mabadiliko yatakayoleta chama mbadala...hawako tayari kwa hilo.
 
Mambo yanayoendelea yananifanya niulize kama mkuu wetu ana nia ya kuongoza taifa au ndio keshaamua kuwa kwa vile hagombei mwakani basi anatuacha tushuhudie mazingaombwe haya. Au anajiandaa kutafuta wawekezaji waje kusaidia CCM?

ikifikia hatua raia tukawekezwa ehe eh ehe !!!!!!!
 
Kikwete anatumikia dhambi aliyoifanya wakati anaingia ikulu na dhambi hiyo ya ubaguzi na kuwapaka watu matope kwa kutumia mbinu chafu na majambazi kamwe atazijutia milele. Sasa hivi nimegundua kuwa si lazima nchi kuwa na raisi. Kumbe nci inaweza kujiongoza tu.

Hata mtoto wa darasa la pili anaweza kuwa rais si anakaa na kunyamaza tu!
 
kikwete anatumikia dhambi aliyoifanya wakati anaingia ikulu na dhambi hiyo ya ubaguzi na kuwapaka watu matope kwa kutumia mbinu chafu na majambazi kamwe atazijutia milele. Sasa hivi nimegundua kuwa si lazima nchi kuwa na raisi. Kumbe nci inaweza kujiongoza tu.

Hata mtoto wa darasa la pili anaweza kuwa rais si anakaa na kunyamaza tu!

makubwa!!! Una maana taifa linajiendea tu kama ndege kwenye auto pilot? Hata hivyo kumbuka, kwenye auto pilot ni komputa ndiyo huwa imeshika madaraka ya pilot!!
 
Labda taarifa ya kamati ya Mwinyi itakapowasilishwa kwenye NEC itaamuliwa kwenda kwenye Congress (kumbuka wana congress mwakani kwa ajili ya uteuzi wa mgobea Urais na Mwenza). Huko wamejaa wajumbe wa Lowassa ujue. Lowassa ndio mwenye CCM. Sitta ana bunge. Ingawa hana sustainability ya kulidhibiti Bunge. Nimeshangaa kusikia hata mama Mushashu spoke against wana mgambo wa ufisadi. Kamati ya Uongozi ya wabunge wa CCM is with Lowassa pia.

Tuwaache hawa jamaa wajipasukie. Nimesema kwa sasa CCM ni threat to national security!
Well said Mheshimiwa dogo.
Nilishawaambia wadau hapa kuwa asasi ya mapinduzi ni Limited company na inagawa dividends kwa shareholders kila mwisho wa era.

Ila Ninyi wapinzani mbona mlelala sana?? Kuna usultani ktk vyama vyenu. nawashihi mubadilike na mtupeleke kwenye neema ya kweli. Tupo pamoja nanyi ila msipojipanga tutaendelea kuumia kwa kura zetu wenyewe.
 
keshaamua kuwa kwa vile hagombei mwakani basi anatuacha tushuhudie mazingaombwe haya
.
The source ni "telephathy", "precognition", "preamonition" or just imagining things and thinking aloud?.

Jana umesema kitu kuhusu Sitta na tarehe 7, kabla haijafika hiyo tarehe, jamaa kaufyata, wengine wetu usikute they are are "seers" who can see the future!.
 
Hili ni tatizo la kuchagua watu kwa namna moja ama nyingine wamekataa tamaa ya maisha ya kwamba eiza umri wao ni mkubwa sana kiasi kwamba anaona kujisumbua kote kwa nini ama ana ugonjwa unaomsumbua kwa namna yake anahisi umri wa kuishi ni mfupi kwa nini kujisumbua.

Hivyo naonelea wabunge waongeze kasheria haka
1.umri wa mgombea uwe limited kwa wazee kama ulivyolimited kwa vijana.
2.mgombea yoyote kutoka chama chochote apimwe kabla ya kugombea kama ana magonjwa ya kudumu asiruhusiwe.
 
CCM is in turmoil na tusipoangalia nchi inaelekea kusambaratika! In my over 45 years of watching the Tanzania political scene I have never seen such political vitriol as what is going on now in Dodoma. It shows either lack of leadership in CCM or democracy has been allowed to the maximum level. Such levels of democracy however could lead to anarchy and one hopes there is somebody over there who can patch up these fault lines which are clearly emerging!
 
Why r u concerned? As a person crying for change, i would imagined u having a drink to this turmoil!! mbona hueleweki? Badala ya kubeba silaha na kumwangamiza adui akiwa chini, wewe unamwambia amka!! Muache muungwana akae kimya, acha watukanane, for in the end, it all this works to the best interests of upinzani!

Am actually starting to like Kikwete. Maybe that's his method of bringing change...

I like Kikwete. He has some kind of unique management style that people with simple mind like me and you cannot easily understand!!!!

Tiba
 
Jamani nadhani muungwana anaelewa kila kinachoendelea, na wadau wake walipomuuliza siku za nyuma kidogo juu ya mikutano ya kina EL, RA, Guninita inayofanyika huko Bagamoyo alijibu-"kila kitu tunakifahamu".
Pili nadhani huwezi kuchukua maamuzi mazito bila ushahidi, na nafikiri muungwana emotional intellienge (A good leader lazima awe/aonekane kuwa na reasonable EI) yake iko vizuri, ndio maana kaunda tume ya mzee ruksa. Ripoti hii ya kina mzee ruksa italeta taarifa ambazo ndio zinaweza kuwa msingi wa maamuzi mazito na sio kelele za kwenye mkutano za akina Mngeja, Guninita n.k ndio
Tatu, tetesi za bungeni kuhusu kuhoji wabunge kupokea posho zinapotoshwa,kinachotafutwa sio posho mbili bali, kuna wabunge hasa walioko ktk kamati za ki-sekta, wanavuta mafungu makubwa mno ili kuficha siri za watendaji (inakisiwa kuna mmoja/kundi limevuta shs 300mil)-hili tumeambiwa ndio hasa kinachotafutwa katika hoja hii ya kuhoji wabunge.
 
jamaa sio kuwa hiyo ni staili ya uongozi, la hasha, jamaa anaprove kuwa alilazimishwa na kundi fulani kugombea uraisi, ilikuwa sio dhamila yake kuwa raisi wa Tanzania, this proves kutokana na jamaa jinsi anavoongoza---kwa sababu kama angekuwa kweli yeye ndio anayekalia hiyo oval office nafikiri angekuwa na sauti ya hata kuwanyamazisha akina sophia simba wasiropoke tu. Lakini kama kuna vijana pembeni wanacontrol the button then how the guy is gonna voke out, pia i dont think is one of his incompetence, i dont hink so-------some other guys are pressing the button and the guy stands them and can't come to say enough is enough and lets start focusing on our strategies for wakulima na wafanyakazi and the poors out of the list.

Inanishangaza sana.
 
Mambo yanayoendelea yananifanya niulize kama mkuu wetu ana nia ya kuongoza taifa au ndio keshaamua kuwa kwa vile hagombei mwakani basi anatuacha tushuhudie mazingaombwe haya. Au anajiandaa kutafuta wawekezaji waje kusaidia CCM?

Hivi hakuna mCCM anayejiamini na na kumweleza waziwazi Kikwete kuwa Nchi imemshinda?

Bila hivyo huyu mswahili atang'ang'ania bila kujali nchi na chama chake vinapoporomoka.
 
Shida nyingine ni kwamba maoni haya tunayatoa humu pekee. Tunapaswa kupiga kelele kwa mwangwi mkubwa ili wakoloni hawa waone haya wakimbie
 
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=rudsvrKu5Bc&feature=related[/ame]

Usia wa baba
 
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=_S-nYyq6nDY&feature=related[/ame]

Mnaochonga sana sikilizeni hii
 
Am actually starting to like Kikwete. Maybe that's his method of bringing change...

Yes it is the truth
whether we like it or not change MUST come
through what ever rout method or shape.
usisikitike wakijiongezea posho za vikao , Wakanunua mashangingi, Wakasaini Mikataba mibovu nk. sababu hivyo ndivvyo vitu vitakavyo wagonganisha na kuleta mabadiliko!
 
Why r u concerned? As a person crying for change, i would imagined u having a drink to this turmoil!! mbona hueleweki? Badala ya kubeba silaha na kumwangamiza adui akiwa chini, wewe unamwambia amka!! Muache muungwana akae kimya, acha watukanane, for in the end, it all this works to the best interests of upinzani!

Am actually starting to like Kikwete. Maybe that's his method of bringing change...

Siamini kuwa kuachia hali hii iendelee ndio suluhu. Inabidi (bila kujali chama kinachoongoza) kutetea maslahi ya nchi. Kumbuka, kila upuuzi unaofanywa na viongozi, husababisha hasara na maafa kwa wasiona uwezo (hasa vijijini), akina mama na watoto.

Natamani sana upinzani ungeweza kuona opportunity inayojitokeza kwa CCM kufarakana. Ila hakuna dalili yoyote ya wapinzani kufaidika na hali ya kisiasa ilivyo nchini kwa sasa. Nadhani SWOT analysis (kama wanaitumia) haiwasaidii kabisa. Na hii ndio inayosababisha wananchi wabaki wakitegemea mageuzi kutoka ndani ya CCM.
 
Back
Top Bottom