Nchi imekusanya zaidi ya trilion moja mwezi septemba ila imeshindwa kuwalipa wastaafu

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Katika kutoa taarifa za makusanyo pale Morogoro Msemaji wa Serikali amesema Serikali kwa mwezi Septemba mwaka huu serikali imekusanya Tilion 1 na zaidi cha ajabu Wastaafu wana miezi 11 wengine 12 hawajalipwa MAFAO acha pensheni MAFAO, je, kuna ukweli wowote wa makusanyo haya au kuna kitu nyuma ya pazia,

Kama kweli Tanzania inaweza ikakusanya Trilioni 1 na zaidi na isiwe na uwezo wa Kuwalipa wastaafu MAFAO yao kila mwezi wanapokuwa wamestaafu hii maana yake nini. Leo tarehe 2 mwezi 10 Benki hamna MAFAO ya wastaafu ambao sasa wamekaa miezi 12 wakisubiria Je serikali inataarifa ya hawa wastaafu kwamba wanakula nini na familia zao au wanaishije. Basi niishauri serikali iseme tu kwamba hawana fedha za kulipa MAFAO kwa wastaafu ambao wameshakaa sasa miezi 12 na kushuka chini.

Leo nimeona scout wemegawiwa pesa za soda na nauli, nadhani Wastaafu wangekuwa wanalipwa fedha zao kila mwezi kama MAFAO fedha hisi za kugawa bure kama zawadi kwa wana michezo kama wa Taifa stars na ma scout nadhani zisingekuwa zinapatikana tuwe wakweli.

Kwako Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Jenista Mhagama na Waziri mnao wakilisha watumishi wanao staafu kuna umuhimu wenu kujitafakari kwa kuonyesha kujali maslahi yenu binafsi na kuingiza siasa kwenye swala hili. Mungu anawaona
 
duh!!!! so km wanakusanya trilioni ilitakiwa wawe hawadaiwi popote pale maana trilioni ni nyingi sana inatosha everything
 
Wanasiasa hawaaminiki kila mtumishi anatetea kazi Yake.
Kazi ipo timedanganywa vingi. Nchi zilizo endelea na katiba kama KENYA mambo Kama haya kuto kuwalipa watu Mafao yao wanapelekana Mahakaman,
Mahakama itao tamko watu walipwe.
 
Kuna mambo yanauzi sana!! Ukiangalaia serikali inavyotapakanya fedha kwa issue zisizo na kichwa wala miguu halafu wanashindwa kuwalipa wastaafu inasikitisha sana.
 
Katika kutoa taarifa za makusanyo pale Morogoro Msemaji wa Serikali amesema Serikali kwa mwezi Septemba mwaka huu serikali imekusanya Tilion 1 na zaidi cha ajabu Wastaafu wana miezi 11 wengine 12 hawajalipwa MAFAO acha pensheni MAFAO, je, kuna ukweli wowote wa makusanyo haya au kuna kitu nyuma ya pazia,

Kama kweli Tanzania inaweza ikakusanya Trilioni 1 na zaidi na isiwe na uwezo wa Kuwalipa wastaafu MAFAO yao kila mwezi wanapokuwa wamestaafu hii maana yake nini. Leo tarehe 2 mwezi 10 Benki hamna MAFAO ya wastaafu ambao sasa wamekaa miezi 12 wakisubiria Je serikali inataarifa ya hawa wastaafu kwamba wanakula nini na familia zao au wanaishije. Basi niishauri serikali iseme tu kwamba hawana fedha za kulipa MAFAO kwa wastaafu ambao wameshakaa sasa miezi 12 na kushuka chini.

Leo nimeona scout wemegawiwa pesa za soda na nauli, nadhani Wastaafu wangekuwa wanalipwa fedha zao kila mwezi kama MAFAO fedha hisi za kugawa bure kama zawadi kwa wana michezo kama wa Taifa stars na ma scout nadhani zisingekuwa zinapatikana tuwe wakweli.

Kwako Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Jenista Mhagama na Waziri mnao wakilisha watumishi wanao staafu kuna umuhimu wenu kujitafakari kwa kuonyesha kujali maslahi yenu binafsi na kuingiza siasa kwenye swala hili. Mungu anawaona
Serikali ya CCM unaitofautisha vipi na kina Alex Massawe wakati ndio walikuwa wafadhili wake wakubwa?
 
duh!!!! so km wanakusanya trilioni ilitakiwa wawe hawadaiwi popote pale maana trilioni ni nyingi sana inatosha everything
Swala ni madai ya wastaafu si pesa zao waliwakata kwenye mishahara wakawawekea, kudaiwa kwingine sawa ila maslahi ya wananchi wake zingatie ndio maisha yao baada ya kustaaf lazima waishi hizi sio pesa za kuwekeza kwenye miradi ni za kuwasaidia waendelee na maisha yao ya kawaida na kila siku
 
Wanasiasa hawaaminiki kila mtumishi anatetea kazi Yake.
Kazi ipo timedanganywa vingi. Nchi zilizo endelea na katiba kama KENYA mambo Kama haya kuto kuwalipa watu Mafao yao wanapelekana Mahakaman,
Mahakama itao tamko watu walipwe.
Hata mahakama ikitoa tamko pesa wanazo, bado wataiambia mahakama kuhusu matatizo ya fedha ila wanajisahau kwamba wanajinadi kukusanya sana
 
Katika kutoa taarifa za makusanyo pale Morogoro Msemaji wa Serikali amesema Serikali kwa mwezi Septemba mwaka huu serikali imekusanya Tilion 1 na zaidi cha ajabu Wastaafu wana miezi 11 wengine 12 hawajalipwa MAFAO acha pensheni MAFAO, je, kuna ukweli wowote wa makusanyo haya au kuna kitu nyuma ya pazia,

Kama kweli Tanzania inaweza ikakusanya Trilioni 1 na zaidi na isiwe na uwezo wa Kuwalipa wastaafu MAFAO yao kila mwezi wanapokuwa wamestaafu hii maana yake nini. Leo tarehe 2 mwezi 10 Benki hamna MAFAO ya wastaafu ambao sasa wamekaa miezi 12 wakisubiria Je serikali inataarifa ya hawa wastaafu kwamba wanakula nini na familia zao au wanaishije. Basi niishauri serikali iseme tu kwamba hawana fedha za kulipa MAFAO kwa wastaafu ambao wameshakaa sasa miezi 12 na kushuka chini.

Leo nimeona scout wemegawiwa pesa za soda na nauli, nadhani Wastaafu wangekuwa wanalipwa fedha zao kila mwezi kama MAFAO fedha hisi za kugawa bure kama zawadi kwa wana michezo kama wa Taifa stars na ma scout nadhani zisingekuwa zinapatikana tuwe wakweli.

Kwako Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Jenista Mhagama na Waziri mnao wakilisha watumishi wanao staafu kuna umuhimu wenu kujitafakari kwa kuonyesha kujali maslahi yenu binafsi na kuingiza siasa kwenye swala hili. Mungu anawaona
Maandalizi ya uchaguzi ujao
 
Swala ni madai ya wastaafu si pesa zao waliwakata kwenye mishahara wakawawekea, kudaiwa kwingine sawa ila maslahi ya wananchi wake zingatie ndio maisha yao baada ya kustaaf lazima waishi hizi sio pesa za kuwekeza kwenye miradi ni za kuwasaidia waendelee na maisha yao ya kawaida na kila siku
issue tu wawape watu haki zao basi ila swala la wao kuwekeza maeneo mbalimbali ndio iko hvyo dunian kote mkuu bila kufanya hvyo hii mifuko haiwezi kuexist, halafu kwani mwenye jukumu la kuwalipa wastaafu hizo stahiki zao ni serikali au mifuko husika? mifuko iliokusanya pesa toka kwa wanachama wake ndio ina jukumu la kutimiza hayo makubaliano ya kuwalipa watapostaafu na serikali so mkuu wacha serikali iendelee kukusanya matrilioni
 
issue tu wawape watu haki zao basi ila swala la wao kuwekeza maeneo mbalimbali ndio iko hvyo dunian kote mkuu bila kufanya hvyo hii mifuko haiwezi kuexist, halafu kwani mwenye jukumu la kuwalipa wastaafu hizo stahiki zao ni serikali au mifuko husika? mifuko iliokusanya pesa toka kwa wanachama wake ndio ina jukumu la kutimiza hayo makubaliano ya kuwalipa watapostaafu na serikali so mkuu wacha serikali iendelee kukusanya matrilioni
Hivi unaelewa iyo mifuko ilipeleka wapi pesa za wanachama mpaka imeanza kshindwa kuwalipa kwa muda na kwa wakati unaelewa au
 
Hivi unaelewa iyo mifuko ilipeleka wapi pesa za wanachama mpaka imeanza kshindwa kuwalipa kwa muda na kwa wakati unaelewa au
uweke sawa hili kwanza, anayepaswa kuwalipa wastaafu ni mifuko hii ambayo hawa wastaafu ni wanachama wake kusema kuwa serikali inakusanya trilioni kwa mwezi na kutumia baadhi ya pesa kwe skauti ila haiwalipi wastaafu inakuwa taabu kidogo maana anayepaswa kuwalipa hao watu ni mifuko, wastaafu wanaidai mifuko na mifuko inawadai wadeni wake including serikali
 
duh!!!! so km wanakusanya trilioni ilitakiwa wawe hawadaiwi popote pale maana trilioni ni nyingi sana inatosha everything
Babuuuu elewa alichosema OP wastaafu nao wawe kipaumbele walipwe pesa zao waliitumikia nchi kwa uadilifu na kupitia magumu yote ya kazi mpaka kufikia kustaafu sasa kwa nini wacheleweshewe pesa zao? Walipwe pesa zao.
 
Babuuuu elewa alichosema OP wastaafu nao wawe kipaumbele walipwe pesa zao waliitumikia nchi kwa uadilifu na kupitia magumu yote ya kazi mpaka kufikia kustaafu sasa kwa nini wacheleweshewe pesa zao? Walipwe pesa zao.
babuu anaetakiwa kuwalipa wastaafu ni nani kwani?
 
Nina mwanafamilia ambaye alistaafu 2020, alilipwa baada ya miezi kumi na mbili, lakini wakati anastaafu alikuwa anadai arrears baada ya kupandishwa cheo 2015, hadi leo hajalipwa.
Anailaani serikali ya ccm vibaya mnoo?
 
Katika kutoa taarifa za makusanyo pale Morogoro Msemaji wa Serikali amesema Serikali kwa mwezi Septemba mwaka huu serikali imekusanya Tilion 1 na zaidi cha ajabu Wastaafu wana miezi 11 wengine 12 hawajalipwa MAFAO acha pensheni MAFAO, je, kuna ukweli wowote wa makusanyo haya au kuna kitu nyuma ya pazia,

Kama kweli Tanzania inaweza ikakusanya Trilioni 1 na zaidi na isiwe na uwezo wa Kuwalipa wastaafu MAFAO yao kila mwezi wanapokuwa wamestaafu hii maana yake nini. Leo tarehe 2 mwezi 10 Benki hamna MAFAO ya wastaafu ambao sasa wamekaa miezi 12 wakisubiria Je serikali inataarifa ya hawa wastaafu kwamba wanakula nini na familia zao au wanaishije. Basi niishauri serikali iseme tu kwamba hawana fedha za kulipa MAFAO kwa wastaafu ambao wameshakaa sasa miezi 12 na kushuka chini.

Leo nimeona scout wemegawiwa pesa za soda na nauli, nadhani Wastaafu wangekuwa wanalipwa fedha zao kila mwezi kama MAFAO fedha hisi za kugawa bure kama zawadi kwa wana michezo kama wa Taifa stars na ma scout nadhani zisingekuwa zinapatikana tuwe wakweli.

Kwako Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, Jenista Mhagama na Waziri mnao wakilisha watumishi wanao staafu kuna umuhimu wenu kujitafakari kwa kuonyesha kujali maslahi yenu binafsi na kuingiza siasa kwenye swala hili. Mungu anawaona
Kuongoza nchi ni kazi sanaa
Huku wamachinga, huku wastaafu,
 
Back
Top Bottom