Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Mjumbe hauwawi...ujumbe wako umemfikiaSi mpaka apite,.we mwambie me nipo napambana na hali ya magu,.akipenda aniongezee mtaji nifungue kagenge,.lol
Mjumbe hauwawi...ujumbe wako umemfikiaSi mpaka apite,.we mwambie me nipo napambana na hali ya magu,.akipenda aniongezee mtaji nifungue kagenge,.lol
InshAllah shoo wanguu...😉Mjumbe hauwawi...ujumbe wako umemfikia
Nnunulie basi na mimi shem wangu,watu wanishangae na mm khaa,.
Umeninyimaaa....Nnunulie basi na mimi shem wangu,watu wanishangae na mm khaa,.
Amin!InshAllah shoo wanguu...![]()
Nini...🙄🙄
hivi unaijua DAR vizuri???Kwa Dar unayoizungumzia:
1) Barabara ambazo hazikuwa gazipitiki zinafanyiwa ukarabati
2) Shule za Serikali ambazo kawaida ya watoto kusongamana, kukaa chini, walimu kufanyia kazi chini ya miti au chumba kimoja, hali inabadilika.
3) Hospitali, Vituo vya Afya, na Zahanati ambako kila aina ya uovu usiolingana na usafi wa afya ulionekana, mambo siyo hivyo tena.
Kwa Tanzania bakuri lilokuwa linatalembezwa kuomba misaada, sasa limesafishwa na kufungiwa kabatini.
AU unaishi nchi gani ambayo umetembelea mitaa hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wananchi wa kipato cha chini walie na hali ngumu ya maisha halafu wewe useme walikuwa wanadeka?
Sijawahi kuona ukitoa kauli insensitive kama hii!.
Acha dharau mkuu, unaweza kuitetea serikali ya CCM kwa mambo mengine lakini siyo at the expense ya well being ya watu!
Hivi dindili ni nini?wanaoshindwa kufanya biashara ni wale wanaofanya waliokuwa wakifanya biashara kiujanja ujanja kwa kukwepa kodi, nikiwa kama mwananchi mwema sijutii kuwapoteza wafanyabiasha wasio na faida kwa taifa langu.
hivi unaijua DAR vizuri???
ulishatembelea shule zote uone watoto wanavyokaa chini?? walimu je?? mmeajiri lini baada ya kutumbua??
kule mahospitalin wajawzito wanapoambiwa wakajinunulie vifaa na bado wanalala 3 kitanda kimoja hujaona??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli hali ni mbaya mno
Mzee Mwanakijiji; with due respect to you. Ninaelewa mtu kama stroke au jingalao kuandika ulichokiandika. You may have changed your views -for that you commanded respect and admiration- rightly and I dare say deservedly.
But I never thought you would stoop so low that you would insult so many Tanzanians that way! Kuna mkulima gani (na tunaambiwa 70% ya Watanzania ni small-hold farmers) aliezoea vya kunyonga? Ina maana workforce yote kabisa nchi hii (waalimu, field agronomists, manesi na lower cadres wote) walikuwa "wapiga dili". Am sorry Sir, but I thought you were more intelligent than that!!
Hivi mtu maskini unamnyang'anya nini hadi alie? Maskini anakosa nini? maskini anachotamani ni kwenda juu.. watu wa chini wanalalamika nini wakati walikuwa tayari chini; wao matumaini yao ni kwenda juu. Angalia maelfu ya vijana walioajiriwa kwenye miradi mbalimbali ya ujenzi... watu ambao walikuwa hawajui wataishi vipi leo wanaweza kufanya kamradi kao kakalipa..na hapa ndio watu wanakosea.. wanafikiria kulalamika "maisha magumu" kunatosha kubadilisha tu serikali.. watu wakiona mahitaji yao mbalimbali yanaanza kutimizwa wataona tofauti...
Hakuna maisha magumu ambayo watu wanalalamika sasa hivi ambayo yameanza juzi tu; uwe mwangalifu kudhania kuwa watu wote Tanzania hasa walio wengi wanaonalalamika na kuwa kwao maisha yamekuwa magumu zaidi sasa hivi kuliko wakati wa JK. Hili si kweli...
Tabia mbaya tuu😏😏
Wanaoibeza Serikali iliyoko madarakani hawana hoja dhabiti ni kulalamika tu. Isitoshe hawatoi sera/mikakati mbadala ya maendeleo au kukuza uchumi. Wanaamini mchawi wa matatizo yao ni Rais Magufuli badala ya kuchambua kwa kina ubora na udhaifu wa Ilani ya CCM ya Uchaguzi, 2015 na kwa kiwango gani imetekelezwa na Serikali yake.Hivi mtu maskini unamnyang'anya nini hadi alie? Maskini anakosa nini? maskini anachotamani ni kwenda juu.. watu wa chini wanalalamika nini wakati walikuwa tayari chini; wao matumaini yao ni kwenda juu. Angalia maelfu ya vijana walioajiriwa kwenye miradi mbalimbali ya ujenzi... watu ambao walikuwa hawajui wataishi vipi leo wanaweza kufanya kamradi kao kakalipa..na hapa ndio watu wanakosea.. wanafikiria kulalamika "maisha magumu" kunatosha kubadilisha tu serikali.. watu wakiona mahitaji yao mbalimbali yanaanza kutimizwa wataona tofauti...
Hakuna maisha magumu ambayo watu wanalalamika sasa hivi ambayo yameanza juzi tu; uwe mwangalifu kudhania kuwa watu wote Tanzania hasa walio wengi wanaonalalamika na kuwa kwao maisha yamekuwa magumu zaidi sasa hivi kuliko wakati wa JK. Hili si kweli...