As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,544
Hali ikiendelea hivi kuna siku wananchi watachokaNimepita katika mitaa kadhaa ya jiji la dar es salaam.
Nilichokiona kinasikitisha, Mitaa michafu, watu wamekondeana, fremu zimefungwa na zilizofunguliwa wateja ni wa kuhesabu.
Ukizunguuka ukaenda kwa wauza chipsi mafuta wameyachomea chipsi wameyarudia hata mara tano yamekuwa meusi tiii, wanakwambia brother hali ni ngumu hatuwezi kumwaga yale tuliyokwisha tumia.
Ukienda kwa mama ntilie, unawaona jinsi watu wanavyohustle, vijana wanawakopa, hela ya kula ngumu na wanakwambia wanakula mlo mmoja kwa siku.
Siku hizi kuangalia TV majumbani imeshakuwa anasa, hela ya king'amuzi kila mwezi mtihani!
Hali ni ngumu kitaa, hali ni mbaya sana. Nchi imekauka kaukau
Hivi viongozi wa serikali wanalijua hili?. Hivi wako aware na hali ya kiuchumi ya wananchi wao?
Serikali ilijue hili kuwa hali ni mbaya mtaani, data na Takwimu za makusanyo na kukua kwa uchumi hazitusaidii sisi wananchi, matangazo yenu hayajatranslate kwenye hali halisi huku kitaa!
Na hii ni Dar, Jiji kubwa vipi huko mikoani?

Mikoani watu wanachapa kazi na maisha yamekuwa mazuri zaidi,dar watu walizoea kuishi kiujanja ujanja,fanyeni kazi hamtalalamika kuwa maisha ni magumu.Nimepita katika mitaa kadhaa ya jiji la dar es salaam.
Nilichokiona kinasikitisha, Mitaa michafu, watu wamekondeana, fremu zimefungwa na zilizofunguliwa wateja ni wa kuhesabu.
Ukizunguuka ukaenda kwa wauza chipsi mafuta wameyachomea chipsi wameyarudia hata mara tano yamekuwa meusi tiii, wanakwambia brother hali ni ngumu hatuwezi kumwaga yale tuliyokwisha tumia.
Ukienda kwa mama ntilie, unawaona jinsi watu wanavyohustle, vijana wanawakopa, hela ya kula ngumu na wanakwambia wanakula mlo mmoja kwa siku.
Siku hizi kuangalia TV majumbani imeshakuwa anasa, hela ya king'amuzi kila mwezi mtihani!
Hali ni ngumu kitaa, hali ni mbaya sana. Nchi imekauka kaukau
Hivi viongozi wa serikali wanalijua hili?. Hivi wako aware na hali ya kiuchumi ya wananchi wao?
Serikali ilijue hili kuwa hali ni mbaya mtaani, data na Takwimu za makusanyo na kukua kwa uchumi hazitusaidii sisi wananchi, matangazo yenu hayajatranslate kwenye hali halisi huku kitaa!
Na hii ni Dar, Jiji kubwa vipi huko mikoani?
Sisi huku mikeka inatema tuuu, tunakula na kusaza, wewe endelea kulaum serikli... Unashindwa kuelewa usemi wa kila zama na shetani wakePle kwa kuwa uzembe umekutawala Fanya Kazi utaona tofauti
ni wazi utakuwa na shida ya kutafsiri ujumbe unaokuwemo kwenye maandishi fikirishi, pole sana.Pole sana. Kwahiyo ww unafurahia kuona Tanzania inakuwa km Venezuela, Shida ya wafrika wengi wamezoea shida umasikini. Ukiona ww unalala njaa na tajiri jirani yako analala njaa roho yako inaridhika.
Sikulaumu ila una roho ya kimasikini na umezoea shida
Ndiyo maana napenda JF maana ukiwa na stress zinaondoka ghafulaKuna dada mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye hotel kubwa sana hapa Dar, nilimuomba tukafyatuane, akanitolea nje kuwa ana mchumba kamaliza chuo anatafuta kazi na akipata wataanza kuishi pamoja na kufunga ndoa, aisee yule dada akapunguzwa kazi pamoja na watu wengine huku mchumba wake hajapata kazi mpaka leo, siku moja nikamkuta bar zetu hizi za kawaida za uswahilini, aisee alinichangamkia huyo huwezi amini kuwa alinitolea nje, nikaomba kwa mara nyingine tena, yaani nilichukua mzigo kiulaini kama nanawa vile, sasa uliza shughuli yake nilikuwa napiga mechi kama ugomvi, cha kushangaza kesho yake tena yupo kwenye meza mpaka leo hii ni mchepuko wangu
tahira wewe sio mzimawanaoshindwa kufanya biashara ni wale wanaofanya waliokuwa wakifanya biashara kiujanja ujanja kwa kukwepa kodi, nikiwa kama mwananchi mwema sijutii kuwapoteza wafanyabiasha wasio na faida kwa taifa langu.
Ukiiangalia DSM! Ukamuangalia "Mtoto pendwa!" Huwezi kubisha! Witchcraft is real!Ukweli na ukwelini....siti yangu
Nimepita katika mitaa kadhaa ya jiji la dar es salaam.
Nilichokiona kinasikitisha, Mitaa michafu, watu wamekondeana, fremu zimefungwa na zilizofunguliwa wateja ni wa kuhesabu.
Ukizunguuka ukaenda kwa wauza chipsi mafuta wameyachomea chipsi wameyarudia hata mara tano yamekuwa meusi tiii, wanakwambia brother hali ni ngumu hatuwezi kumwaga yale tuliyokwisha tumia.
Ukienda kwa mama ntilie, unawaona jinsi watu wanavyohustle, vijana wanawakopa, hela ya kula ngumu na wanakwambia wanakula mlo mmoja kwa siku.
Siku hizi kuangalia TV majumbani imeshakuwa anasa, hela ya king'amuzi kila mwezi mtihani!
Hali ni ngumu kitaa, hali ni mbaya sana. Nchi imekauka kaukau
Hivi viongozi wa serikali wanalijua hili?. Hivi wako aware na hali ya kiuchumi ya wananchi wao?
Serikali ilijue hili kuwa hali ni mbaya mtaani, data na Takwimu za makusanyo na kukua kwa uchumi hazitusaidii sisi wananchi, matangazo yenu hayajatranslate kwenye hali halisi huku kitaa!
Na hii ni Dar, Jiji kubwa vipi huko mikoani?
Kuna dada mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye hotel kubwa sana hapa Dar, nilimuomba tukafyatuane, akanitolea nje kuwa ana mchumba kamaliza chuo anatafuta kazi na akipata wataanza kuishi pamoja na kufunga ndoa, aisee yule dada akapunguzwa kazi pamoja na watu wengine huku mchumba wake hajapata kazi mpaka leo, siku moja nikamkuta bar zetu hizi za kawaida za uswahilini, aisee alinichangamkia huyo huwezi amini kuwa alinitolea nje, nikaomba kwa mara nyingine tena, yaani nilichukua mzigo kiulaini kama nanawa vile, sasa uliza shughuli yake nilikuwa napiga mechi kama ugomvi, cha kushangaza kesho yake tena yupo kwenye meza mpaka leo hii ni mchepuko wangu
Unaijua dhambi wewe, dhambi ni kuua watu wasio na hatia hapo tunapeana rahaUNAJITANGAZIA ZINAA DHAMBI ISIYOFUTIKA UMEFANYA ZINAA DHAMBI YA KWANZA HALAFU UMEITANGAZA DHAMBI YA PILI NA KILA ANAESOMA WEWE UNAANDIKIWA DHAMBI MPAKA MAANDISHI YAFUTIKE POLE SANA KABURINI UTAKIONA
Sent from my iPhone using JamiiForums
Inawezekana kabisa hukujua ni kwa kiasi gani ufisadi ulikuwa unaendesha uchumi; hivi mnafikiri tulikuwa tunapinga ufisadi ili ili kila mtu aishi tu kwa raha.. au mlidhani ukiushambulia ufisadi nini kitatokea. Tanzania haijafika mahali bado kabisa pa kuweza kuwa pepo ya wengi... ufisadi uliharibu siyo tu watu wa serikali; uliathiri hadi wakulima na watoto ambao hawajazaliwa bado. Madhara ya ufisadi yalikuwa ni mapana mno na hata sasa bado hazijachukuliwa hatua zote sahihi na stahiki kusahihisha mfumo wetu. Kwamba hali ni ngumu ili lilitarajiwa.
Kikaragosi cha dikteta. Povu linakutoka kumtetea kichaa jiwe wakati yeye mwenyewe ni mwizi na fisadi tena wa trillions. Miaka zaidi ya 20 ndani ya serikali hata siku moja hakuwahi kukemea ufisadi kwani naye alikuwa busy kufanya yake kwa kukwapua huku na kule na kufisadi.
Hizo frame na mabanda ambayo yapo wazi yanatumia uchawi au?Fahamu kua katika kila biashara 100 ,90 hufa mwaka wa kwanza na zilizobakia hufa ndani ya miaka japo kuna chache ambazo huishi zaidi ya hapo. Kufa na kuzaliwa na biashara si jambo la juzi wala jana na haliwezi kuhusishwa na Jiwe moja kwa moja.Juzi moja nimepita Liberty,kirumba sokoni,mpaka Lumumba hakuna aliye na unafuu,kama huku wameanza kuwazomea viongoz wa Jiwe majukwani akina Anjelina Mabula hahahaha! hali sio nzuri,mabanda ya kuku yalishafungwa,frame kibao ziko off,gharama za uendeshaji wa biashara ipo juu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu weka mchanganuo wa kimahesabuTunaposema hali imekuwa ngumu hatumaanishi huko nyuma ilikuwa nyepesi Bali ilikuwa ni afadhali maana ukipata elfu kumi ulikuwa unaweza kula hata siku 3 ila Leo ukiamka na sh elfu kumi ikifika SAA NNE asubuhi imekwisha.
Na pia kuipata tena ni kazi sana.
Wajinga mnasinginzia watu walikuwa wapiga dili
Msamehe bure huyu mzee anajua mapungufu ya nduguye lakini ndio hivyo damu nzito kuliko majiIna maana ripoti kama ile ya Makinikia, iliyosheheni taarifa za kitafiti, iliyoelezea kula mhusika kahusikaje katika conspiracy ya kuuza kuingia mikataba mibovu haitoshi kuwa reference katika mkono wa sheria?
Basi haikuwa sahihi kutaja majina ya watu kama hakuna ushahidi wa kutosha dhidi yao!.
Nchi hii ukiniambia kuwa Ufisadi ulikuwa ni Seth, Rugemalira na Malkia wa meno ya tembo peke yao nakuona kuwa umeamua kuwa Spin doctor tu.
Katika nchi hii kubwa namna hii na kwa kiwango cha Ufisadi mliotuaminisha haiwezekani mafisadi wakawa watu watatu tu, certainly hawewezi kuwa watu 20 peke yao!.
Na kama kwa miaka Mitatu kwenda minne ya kukaa madarakani uchunguzi wako umeishia Kuwajua Watu wawili watatu kuwa ndiyo Mafisadi basi inaonekana kuwa Huuchimbui Ufisadi vya kutosha na kwa hiyo hoja yako kuwa unapambana na ufisadi ni Muflisi