Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
Nimepita katika mitaa kadhaa ya jiji la dar es salaam.
Nilichokiona kinasikitisha, Mitaa michafu, watu wamekondeana, fremu zimefungwa na zilizofunguliwa wateja ni wa kuhesabu.
Na hii ni Dar, Jiji kubwa vipi huko mikoani?
Hii ni dalili ya watu waliokuwa wamedeka katika mfumo wa utawala wa kifisadi... kama ulikuwa unanyongewa kila siku sasa unaambiwa chinja... hujui kisu kinashikwa vipi.. Jiji la Dar lina matatizo yake na hayaishi leo.. mojawapo ni kuwa watu wake wamezoea uchafu kiasi kwamba kuishi bila uchafu kunaonekana ni kama kuwa "mzungu" au kuwa majuu!


