Nchi imekauka, mambo hayaendi...

Nchi imekauka, mambo hayaendi...

Awamu hii mtu hafanyi biashara ili apate faida
Anafanya biashara ili alinde mtaji wake tu
Kila kukicha ni bora ya jana,ndio kwanza ni miaka mi3 tu,bado miaka 7 inatusubiri.
Safari hii nikunyooshwa hadi ukiitwa unaitikia “Abeee!!!”
Kama kweli, kabla ya Serikali inayoongozwa na Magufuli, watu walitajirika, utajiri ungeonekana kila mahali. Lakini kila kona ya nchi vijijini umaskini ulinuka huku mijini tukishuhudia majumba ya fahari, maduka makubwa yenye bidhaa za nje, na utitiri wa machinga wakitembeza bidhaa za nje.

Isitoshe huduma za jamii ziliendelea kudorora kiasi cha kufanya ongezeko la rushwa ili mwananchi aweze kuzipata.

Ndiyo nchi tunayotaka iendelee kuwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
950acae0-09a7-41bc-b24a-173d2cf3bcce.jpg
 
Juzi nilikuwa napiga stori na jamaa zangu fulani ni mafundi ujenzi. Jamaa anasema ameshakaa miezi 8 bila kupata tenda yoyote ya kujenga hata ukuta wala choo. Kiukweli hali ni mbaya sana mtaani. Ila kuna watu wanasema wanaolalamika walikuwa wapiga dili.
 
Nimepita katika mitaa kadhaa ya jiji la dar es salaam.
Nilichokiona kinasikitisha, Mitaa michafu, watu wamekondeana, fremu zimefungwa na zilizofunguliwa wateja ni wa kuhesabu.

Ukizunguuka ukaenda kwa wauza chipsi mafuta wameyachomea chipsi wameyarudia hata mara tano yamekuwa meusi tiii, wanakwambia brother hali ni ngumu hatuwezi kumwaga yale tuliyokwisha tumia.

Ukienda kwa mama ntilie, unawaona jinsi watu wanavyohustle, vijana wanawakopa, hela ya kula ngumu na wanakwambia wanakula mlo mmoja kwa siku.

Siku hizi kuangalia TV majumbani imeshakuwa anasa, hela ya king'amuzi kila mwezi mtihani!

Hali ni ngumu kitaa, hali ni mbaya sana. Nchi imekauka kaukau

Hivi viongozi wa serikali wanalijua hili?. Hivi wako aware na hali ya kiuchumi ya wananchi wao?

Serikali ilijue hili kuwa hali ni mbaya mtaani, data na Takwimu za makusanyo na kukua kwa uchumi hazitusaidii sisi wananchi, matangazo yenu hayajatranslate kwenye hali halisi huku kitaa!

Na hii ni Dar, Jiji kubwa vipi huko mikoani?
Acha kulia lia, kila sehemu hivi hivi, hujui kinachoendelea duniani wewe, unadhani viongozi ndo wanaleta raha?
Angalia pia Venezuela, hapo Zambia hadi wamebadirisha currency, Nigeria vivyo hivyo nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kweli, kabla ya Serikali inayoongozwa na Magufuli, watu walitajirika, utajiri ungeonekana kila mahali. Lakini kila kona ya nchi vijijini umaskini ulinuka huku mijini tukishuhudia majumba ya fahari, maduka makubwa yenye bidhaa za nje, na utitiri wa machinga wakitembeza bidhaa za nje.

Isitoshe huduma za jamii ziliendelea kudorora kiasi cha kufanya ongezeko la rushwa ili mwananchi aweze kuzipata.

Ndiyo nchi tunayotaka iendelee kuwa?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kulikuwa na nafuu, sasa hivi hali mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa.

Kama ni mgonjwa basi katoka wodini kapelekwa ICU
 
Kuna dada mmoja alikuwa anafanya kazi kwenye hotel kubwa sana hapa Dar, nilimuomba tukafyatuane, akanitolea nje kuwa ana mchumba kamaliza chuo anatafuta kazi na akipata wataanza kuishi pamoja na kufunga ndoa, aisee yule dada akapunguzwa kazi pamoja na watu wengine huku mchumba wake hajapata kazi mpaka leo, siku moja nikamkuta bar zetu hizi za kawaida za uswahilini, aisee alinichangamkia huyo huwezi amini kuwa alinitolea nje, nikaomba kwa mara nyingine tena, yaani nilichukua mzigo kiulaini kama nanawa vile, sasa uliza shughuli yake nilikuwa napiga mechi kama ugomvi, cha kushangaza kesho yake tena yupo kwenye meza mpaka leo hii ni mchepuko wangu
kwa hiyo mkuu umepata unemployment benefit kwa huyo shemela?
 
Ple kwa kuwa uzembe umekutawala Fanya Kazi utaona tofauti
Watu wengi hukimbilia kusema fanya kazi. Ushajiuliza wafanye kazi gani? Hakuna binadamu yyte asiyependa kufanya kazi na asiyependa hela. Watu wapo vijiweni nenda ukawaambie kuna kazi ya kuchimba choo uone watakavyokukimbilia. Watu wanafanya kazi lkn hela haionekani.
Tumia kichwa chako kufikiri lkn ukitumia kichwa cha wanaccm ndiyo matokeo yake haya utaishia fanyeni kazi.
Masikini utakuta ww hapo ni muajiriwa, unasubiria mwisho wa mwezi pesa ingie kwenye account. Km umeajiriwa acha hiyo kazi halafu ingia kitaa ufanye kazi maana huku kazi ni nyingi sana
 
Acha kulia lia, kila sehemu hivi hivi, hujui kinachoendelea duniani wewe, unadhani viongozi ndo wanaleta raha?
Angalia pia Venezuela, hapo Zambia hadi wamebadirisha currency, Nigeria vivyo hivyo nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana tena pole sana.
Nyie ni wale watu wanaopenda kujifananisha na watu wengine. Ww ukiwa masikini halafu ukimuona jirani yako masikini roho yako inaridhika.
 
Kama kweli, kabla ya Serikali inayoongozwa na Magufuli, watu walitajirika, utajiri ungeonekana kila mahali. Lakini kila kona ya nchi vijijini umaskini ulinuka huku mijini tukishuhudia majumba ya fahari, maduka makubwa yenye bidhaa za nje, na utitiri wa machinga wakitembeza bidhaa za nje.

Isitoshe huduma za jamii ziliendelea kudorora kiasi cha kufanya ongezeko la rushwa ili mwananchi aweze kuzipata.

Ndiyo nchi tunayotaka iendelee kuwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi cha kikwete mgonjwa alikuwa wodini ila kwa kipindi cha Makufuli mgonjwa kapelekwa ICU
Huoni mpaka Ruge amekuwa omba omba
 
Acha ujinga wewe, toka hapo kwa shemeji yako! Mimi nipo MWanza, nafuga kuku wa kienyeji, nina oda ya mayai ya kienyeji hadi wateja nawakimbia....kwasasa hivi nazalisha tray 2 tu kwa siku.(2 X 15,000 X 28) jibu unalo mwenyewe.
Kama utaweza njoo nikupe mitetea 3 na jogoo moja kisha baada ya miezi 6 urudi hapa jf uandike upuuzi wako.
Pole sana naona umejibu kwa mhemuko kuliko uhalisia wenyewe. Nafikiri lbd utakuwa jiwe mwenyewe au ni mwanaccm anayetetea chama chake.
Wazungu wanasema NO RESEARCH NO RIGHT TO SAY. Alichokiandika bibie na ww kipo tofauti kbsa km kwenye mtihani una marks 2 za kupotezea wino. Soma tena alichoandika bibie halafu soma ulichokiandika ww. Kwa watu km nyinyi ndiyo maana ikawekwa dvn 5
 
Nimepita katika mitaa kadhaa ya jiji la dar es salaam.
Nilichokiona kinasikitisha, Mitaa michafu, watu wamekondeana, fremu zimefungwa na zilizofunguliwa wateja ni wa kuhesabu.

Ukizunguuka ukaenda kwa wauza chipsi mafuta wameyachomea chipsi wameyarudia hata mara tano yamekuwa meusi tiii, wanakwambia brother hali ni ngumu hatuwezi kumwaga yale tuliyokwisha tumia.

Ukienda kwa mama ntilie, unawaona jinsi watu wanavyohustle, vijana wanawakopa, hela ya kula ngumu na wanakwambia wanakula mlo mmoja kwa siku.

Hali ni ngumu kitaa, hali ni mbaya sana. Nchi imekauka kaukau
Serikali ilijue hili kuwa hali ni mbaya mtaani, data na Takwimu za makusanyo na kukua kwa uchumi hazitusaidii sisi wananchi, matangazo yenu hayajatranslate kwenye hali halisi huku kitaa!
Na hii ni Dar, Jiji kubwa vipi huko mikoani?
Naishi Dar, mtaani ninakoishi ni mtaa wa wafanyabiashara,ukweli kabisa, wengi wamejenga awamu hii, maghorofa na nyumba nzuri nzuri, Binafsi toka mwaka jana nimeingia kwenye ufugaji wa kuku wa nyama, kawaida nilikuwa nafuga kuku wa kiswahili nilikuwa napata pesa, lakini sio kama kuku wa nyama, ndani ya wiki 4 ukiuza hawa kuku Unaiona pesa na unafanya kitu.
 
Naishi Dar, mtaani ninakoishi ni mtaa wa wafanyabiashara,ukweli kabisa, wengi wamejenga awamu hii, maghorofa na nyumba nzuri nzuri, Binafsi toka mwaka jana nimeingia kwenye ufugaji wa kuku wa nyama, kawaida nilikuwa nafuga kuku wa kiswahili nilikuwa napata pesa, lakini sio kama kuku wa nyama, ndani ya wiki 4 ukiuza hawa kuku Unaiona pesa na unafanya kitu.

Siyo kila mtu ni mfugaji wa kuku wa nyama.!

Ni majuzi tu mzigo wa vifaranga ulikuwa adimu ni balaa!. Kodi kodi kodi
 
Back
Top Bottom